CCM, Angelina Mabula na Stanslaus Mabula, hizo nyumba zilizouzwa na Jiji la Mwanza zinaenda kuwa ajenda ya kwanza ya wapinzani. Mtatikiswa!

Kuna uozo au hakuna? Maana naona unazunguka tuu wala hujibu unachoulizwa..
Mara mgao, mara serikali yote imeoza, mara sijui nini..!! JIbu hoja acha longolongo
Unataka nijibu ishu ni kwamba tumeuza hivyo vichuguu viwili kwa bei nusu na order imetoka juu.... Haya unataka nini kingine.
 
Na nyie mmeanza kujenga nini? Kila siku maneno tu ya kiswahili na huyo mkuu wa mkoa amekutana na watoto wa mjini zaidi yake.
 
Kama hoja ni hizi ikulu mtaisikia kwenye radio
 
Duh! Kumbe hela ya mauzo wamegawana? Mh Mpango lishughulikie hili.
 
Na nyie mmeanza kujenga nini? Kila siku maneno tu ya kiswahili na huyo mkuu wa mkoa amekutana na watoto wa mjini zaidi yake.
Sasa Malima kazaliwa Dar, wewe umekulia milimani huko unajiita mtoto wa mjini?

Mtoto wa Waziri, tena wa fedha, Ofisi ya msajili wa hazina ilikuwa chini yake, alishakuwa Waziri, anajua taratibu zote za mali za serikali.
 
Kuna uozo au hakuna? Maana naona unazunguka tuu wala hujibu unachoulizwa..
Mara mgao, mara serikali yote imeoza, mara sijui nini..!! JIbu hoja acha longolongo
Inaonekana ozo upo, ndio maana Adam Malima alitaka apewe chochote ili kuficha huo uozo, bahati mbaya akakataa kwa kudhani kuna pesa mingi zaidi ya aliyotaka kupewa.

The best thing about this ni kwamba, inaonekana Malima kwa kudhani amekataa pesa aliyopewa atakuwa amejiweka kwenye nafasi nzuri, kumbe kuna wahusika wengine juu ambao watatakiwa kuhusishwa kwenye hili suala.
 
Hakika mkuu na mambo ndio yapo hivi hapa ofisini.
 
Unataka nijibu ishu ni kwamba tumeuza hivyo vichuguu viwili kwa bei nusu na order imetoka juu.... Haya unataka nini kingine.
Mnakiri mmeuza kwa nusu bei, na huyo wa juu mtasema ni nani, maana maafisa ardhi kwa Sasa Kila wakiuza kiwanja ca serikali wanasema amenunua ridhiwani kikwete na ndiye kawapa order, Kila mmoja atatoa hesabu yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…