CCM, Angelina Mabula na Stanslaus Mabula, hizo nyumba zilizouzwa na Jiji la Mwanza zinaenda kuwa ajenda ya kwanza ya wapinzani. Mtatikiswa!

CCM, Angelina Mabula na Stanslaus Mabula, hizo nyumba zilizouzwa na Jiji la Mwanza zinaenda kuwa ajenda ya kwanza ya wapinzani. Mtatikiswa!

Tena mtu mwenyewe hana hata credibility za kuhoji, watu wameuza mashirika, watu wameuza loliondo, wameuza gesi mtu anaumia na viwanja viwili vya mwanza
Kuna makundi mawili la kwanza ni wale waliokosa mgao kundi la pili ni hater wa jiji la mwanza wanaotaka mwanza mjini paendelee kuwa na vichuguu katikati ya mji ili wapate muda wa kupondea.
 
Kama mwananchi , Kwani kuwa RC inaondoa uananchi wake?

Mtaenda kueleza hayo mbele ya mahakama uone kwenye macho ya sheria kama yana mashiko!

Usije ukasema wengi wanaibaga na hawakamatwi, ngoja na mie niibe kidogo ukimatwa linakuwa lako hilo! [emoji108]
Kama mnaweza mkaipeleka halmashauri na baraza la madiwani mahakamani then your right.
 
Kuna makundi mawili la kwanza ni wale waliokosa mgao kundi la pili ni hater wa jiji la mwanza wanaotaka mwanza mjini paendelee kuwa na vichuguu katikati ya mji ili wapate muda wa kupondea.



Nimecheka Kwa sauti wakati si mazuri [emoji38]

Jina lako ni gumu kulitamka linaukakasi wa kimaadili,

[emoji14][emoji28]
 
Kuna makundi mawili la kwanza ni wale waliokosa mgao kundi la pili ni hater wa jiji la mwanza wanaotaka mwanza mjini paendelee kuwa na vichuguu katikati ya mji ili wapate muda wa kupondea.
Makundi ni mawili tu, kundi lako wewe na wezi na vibaka wenzio, na kundi la wananchi wakiongozwa na samia
 
Hakuna panapovuja we pimbi endelea tu kulala


Nakusamehe bure [emoji3][emoji28]

Umevugwa wewe!

Pole Sana!

Lakini sasa naona kama badala ya kujisaidia wewe binafsi badala yake unazidi kuifanya mind yako kuelemewa! [emoji848]

Ushauri;
1. Ongeza kiwango chako cha imani na kupata mafunzo ya Neno la Mungu
2. Fanya mazoezi regularly (kutembea)

3. Fanya meditation kila siku kwa dakika 10

4. Kula vyakula kiasi kidogo tena vyenye lishe

N.k
 
Makundi ni mawili tu, kundi lako wewe na wezi na vibaka wenzio, na kundi la wananchi wakiongozwa na samia
Nyie wananchi sijui ndio chawa mnataka nini, je hicho kiwanja kinawahusu ata kingeuzwa bilioni 1000 hizo pesa ungeletewa wewe mwanachi kajamba nani.
 
Hakuna panapovuja we pimbi endelea tu kulala, kwa sababu hakuna paa



Nitamwambia Maxsence Melo CEO aweke mkakati maalumu wahuni na washenzi Kama wewe wasiishie kuwapiga ban tu Bali wawapige embargo !

JF iwe sehemu wa waungwa na wastaarabu ambao wanalumbana kwa hoja na sio matusi.

Sijui nimpatie hii ID yako sekunde hii maana nina namba yake ya mobile! [emoji4]
 
Nyie wananchi sijui ndio chawa mnataka nini, je hicho kiwanja kinawahusu ata kingeuzwa bilioni 1000 hizo pesa ungeletewa wewe mwanachi kajamba nani.
Kinatuhusu, nyie wezi mnaona hicho ni Mali yenu? Yaani mzazi wako amekusomesha uje ufanye wizi maofisini? Na unarudi kumsabahi na kumuachia Hela za matumizi za wizi
 
Nitamwambia Maxsence Melo CEO aweke mkakati maalumu wahuni na washenzi Kama wewe wasiishie kuwapiga ban tu Bali wawapige embargo !

JF iwe sehemu wa waungwa na wastaarabu ambao wanalumbana kwa hoja na sio matusi.

Sijui nimpatie hii ID yako sekunde hii maana nina namba yake ya mobile! [emoji4]
Acheni tabia za kuchongeana huo sio uungwana.
 
Kinatuhusu, nyie wezi mnaona hicho ni Mali yenu? Yaani mzazi wako amekusomesha uje ufanye wizi maofisini? Na unarudi kumsabahi na kumuachia Hela za matumizi za wizi
Tumeshauza na haitobadili kitu.
 
Rais Samia amefungulia mikutano ya hadhara, na katika majiji ambayo Chadema wanajiwinda kuyadhibiti ni Mwanza, Arusha, Mbeya na Dar es salaam. Wanatafuta ajenda nzito za kutikisa na kuwashika wananchi.

Arusha walifanya tukio, Sasa hivi wote wananyea debe, angalau wanaarusha wanaelewa hatua zimechukuliwa.

Kwa Jiji la Mwanza, Mkurugenzi wa Jiji na maafisa ardhi nao hawajachelewa kuwapa wapinzani ajenda.

Kuna habari kwamba Jiji la mwanza limeuza nyumba zake katikati ya Jiji kwa bei ya kutupa, bila kufuata taratibu.

Maeneo hayo yameuzwa wakati machinga mjini hawana maeneo ya biashara, wameenda kutupwa igoma nyamongolo huko ambako hakuna wateja, na kiloleli, na bila kuzingatia maelekezo ya Rais ya ubia kati ya sekta binafsi na Serikali, kiasi kwamba wangeongea na taasisi yoyote ile au mtu binafsi, akawekeza, wakawa wanakula faida, na eneo likabali lao.

Ni kwamba, wanamwanza wameibiwa.

Stanslaus Mabula, wewe ndio mbunge wa Nyamagana, bila shaka unalijua Jimbo linakuwaga la moto, hasa ukizingatia "sponsor kafa".

Angelina Mabula, wewe ndio Waziri wa hiyo ardhi ya serikali iliyouzwa, na uhamishaji miliki usingefanyika bila kupitia Ofisi za ardhi. Na sijui kwa nini kama mamlaka ya serikali inapotaka kuuza ardhi isitakiwe kupata Kibali Cha Waziri wa Ardhi au Waziri Mkuu! Au Rais! Uwepo udhibiti.

Mna kazi moja tu, kuirudisha ardhi hiyo, hatutaki Rais aanze kupata shida kupata kura za Mwanza wakati alishanyoosha mapito yake kwa miradi mikubwa ya maendeleo.

Ni hapohapo mwanza machinga aliyekuwa anauza ndizi, Jiji lilimwaga ndizi zake na kumpiga, Leo Jiji Lina ardhi hapohapo katikati ya mji linaiuza!

Njia moja tu, kurejesha hizo nyumba, na Kila Afisa aliyehusika apelekwe mahakamani, wanamwanza wataridhika wakiwaona wahusika wanapanda kizimbani, na kupelekwa gereza la Butimba.
Chadema isahau kabisa jiji la Mwanza kwa sababu ni washirika wa uharifu na waharifu pamoja na kuingia mkenge kumbagaza hayati JPM
 
Back
Top Bottom