Kuna makundi mawili la kwanza ni wale waliokosa mgao kundi la pili ni hater wa jiji la mwanza wanaotaka mwanza mjini paendelee kuwa na vichuguu katikati ya mji ili wapate muda wa kupondea.Tena mtu mwenyewe hana hata credibility za kuhoji, watu wameuza mashirika, watu wameuza loliondo, wameuza gesi mtu anaumia na viwanja viwili vya mwanza
Kama mnaweza mkaipeleka halmashauri na baraza la madiwani mahakamani then your right.Kama mwananchi , Kwani kuwa RC inaondoa uananchi wake?
Mtaenda kueleza hayo mbele ya mahakama uone kwenye macho ya sheria kama yana mashiko!
Usije ukasema wengi wanaibaga na hawakamatwi, ngoja na mie niibe kidogo ukimatwa linakuwa lako hilo! [emoji108]
Kama mnaweza mkaipeleka halmashauri na baraza la madiwani mahakamani then your right.
Hakuna panapovuja we pimbi endelea tu kulala, kwa sababu hakuna paaSawa,
Tuache inyeshe yamkini itaweza kujulikana panapo vuja!
Kuna makundi mawili la kwanza ni wale waliokosa mgao kundi la pili ni hater wa jiji la mwanza wanaotaka mwanza mjini paendelee kuwa na vichuguu katikati ya mji ili wapate muda wa kupondea.
Makundi ni mawili tu, kundi lako wewe na wezi na vibaka wenzio, na kundi la wananchi wakiongozwa na samiaKuna makundi mawili la kwanza ni wale waliokosa mgao kundi la pili ni hater wa jiji la mwanza wanaotaka mwanza mjini paendelee kuwa na vichuguu katikati ya mji ili wapate muda wa kupondea.
Hakuna panapovuja we pimbi endelea tu kulala
Basi nitabadilisha bro, mimi ni mtu mwema sana.Nimecheka Kwa sauti wakati si mazuri [emoji38]
Jina lako ni gumu kulitamka linaukakasi wa kimaadili,
[emoji14][emoji28]
Nyie wananchi sijui ndio chawa mnataka nini, je hicho kiwanja kinawahusu ata kingeuzwa bilioni 1000 hizo pesa ungeletewa wewe mwanachi kajamba nani.Makundi ni mawili tu, kundi lako wewe na wezi na vibaka wenzio, na kundi la wananchi wakiongozwa na samia
Hakuna panapovuja we pimbi endelea tu kulala, kwa sababu hakuna paa
Kinatuhusu, nyie wezi mnaona hicho ni Mali yenu? Yaani mzazi wako amekusomesha uje ufanye wizi maofisini? Na unarudi kumsabahi na kumuachia Hela za matumizi za wiziNyie wananchi sijui ndio chawa mnataka nini, je hicho kiwanja kinawahusu ata kingeuzwa bilioni 1000 hizo pesa ungeletewa wewe mwanachi kajamba nani.
Basi nitabadilisha bro, mimi ni mtu mwema sana.
Acheni tabia za kuchongeana huo sio uungwana.Nitamwambia Maxsence Melo CEO aweke mkakati maalumu wahuni na washenzi Kama wewe wasiishie kuwapiga ban tu Bali wawapige embargo !
JF iwe sehemu wa waungwa na wastaarabu ambao wanalumbana kwa hoja na sio matusi.
Sijui nimpatie hii ID yako sekunde hii maana nina namba yake ya mobile! [emoji4]
Tumeshauza na haitobadili kitu.Kinatuhusu, nyie wezi mnaona hicho ni Mali yenu? Yaani mzazi wako amekusomesha uje ufanye wizi maofisini? Na unarudi kumsabahi na kumuachia Hela za matumizi za wizi
Kama hoja ni hizi ikulu mtaisikia kwenye radio
Hao chadema na hili jamaa lileta uzi wote vichwa wazi.
Chadema isahau kabisa jiji la Mwanza kwa sababu ni washirika wa uharifu na waharifu pamoja na kuingia mkenge kumbagaza hayati JPMRais Samia amefungulia mikutano ya hadhara, na katika majiji ambayo Chadema wanajiwinda kuyadhibiti ni Mwanza, Arusha, Mbeya na Dar es salaam. Wanatafuta ajenda nzito za kutikisa na kuwashika wananchi.
Arusha walifanya tukio, Sasa hivi wote wananyea debe, angalau wanaarusha wanaelewa hatua zimechukuliwa.
Kwa Jiji la Mwanza, Mkurugenzi wa Jiji na maafisa ardhi nao hawajachelewa kuwapa wapinzani ajenda.
Kuna habari kwamba Jiji la mwanza limeuza nyumba zake katikati ya Jiji kwa bei ya kutupa, bila kufuata taratibu.
Maeneo hayo yameuzwa wakati machinga mjini hawana maeneo ya biashara, wameenda kutupwa igoma nyamongolo huko ambako hakuna wateja, na kiloleli, na bila kuzingatia maelekezo ya Rais ya ubia kati ya sekta binafsi na Serikali, kiasi kwamba wangeongea na taasisi yoyote ile au mtu binafsi, akawekeza, wakawa wanakula faida, na eneo likabali lao.
Ni kwamba, wanamwanza wameibiwa.
Stanslaus Mabula, wewe ndio mbunge wa Nyamagana, bila shaka unalijua Jimbo linakuwaga la moto, hasa ukizingatia "sponsor kafa".
Angelina Mabula, wewe ndio Waziri wa hiyo ardhi ya serikali iliyouzwa, na uhamishaji miliki usingefanyika bila kupitia Ofisi za ardhi. Na sijui kwa nini kama mamlaka ya serikali inapotaka kuuza ardhi isitakiwe kupata Kibali Cha Waziri wa Ardhi au Waziri Mkuu! Au Rais! Uwepo udhibiti.
Mna kazi moja tu, kuirudisha ardhi hiyo, hatutaki Rais aanze kupata shida kupata kura za Mwanza wakati alishanyoosha mapito yake kwa miradi mikubwa ya maendeleo.
Ni hapohapo mwanza machinga aliyekuwa anauza ndizi, Jiji lilimwaga ndizi zake na kumpiga, Leo Jiji Lina ardhi hapohapo katikati ya mji linaiuza!
Njia moja tu, kurejesha hizo nyumba, na Kila Afisa aliyehusika apelekwe mahakamani, wanamwanza wataridhika wakiwaona wahusika wanapanda kizimbani, na kupelekwa gereza la Butimba.
Sisi ndio wadau wajiji la mwanza hao chadema tutawaachia manyoya tu.Chadema isahau kabisa jiji la Mwanza kwa sababu ni washirika wa uharifu na waharifu pamoja na kuingia mkenge kumbagaza hayati JPM