CCM asanteni sana kwa hii dancing style

Tunawadhukuru kwa kweli mmetuonyesha dancing style ya kufua mtu. Yunaifanyia mazoezi na tutakutana rena ulingoni 2020.
Umeandika haraka mnoo "Tunawadhukuru,Yunaifanyia kazi,rena!!!!......punguza munkari..ila tumekuelewa
 

siyo kizazi hiki,.....kwa sasa itabidi muendelee kunung'unika na kulalamika kama kawaida...wanajua waswahili waoga sana kuingia barabarani..ni watu wa kulalamika tu...ndiyo maana wanafanya vyovyote ili washinde....labda mpaka kizazi cha tano
 
Tunawashukuru kwa kweli mmetuonyesha dancing style ya kufua mtu. Tunaifanyia mazoezi na tutakutana tena ulingoni 2020.
Wewe unaharibu chit-chat kwa kuleta siasa huku. Ulianza na thread ya kununua makada wa chama sijui sasa hivi unatuletea habari za dance ya ccm, kwanini usianzishe mada hizi jukwaa la siasa?
 
Eti mtamwaga damu ....hivi mnadhani ni rahisi eeeh kwenda kupigwa risasi huku unajiona kisa matumbo ya wengine .......endeleeni kuziendekeza siasa hizo mnaacha zitawafanya kua wehu
 
siyo kizazi hiki,.....kwa sasa itabidi muendelee kunung'unika na kulalamika kama kawaida...wanajua waswahili waoga sana kuingia barabarani..ni watu wa kulalamika tu...ndiyo maana wanafanya vyovyote ili washinde....labda mpaka kizazi cha tano

Wala haitaanzia kwenye Upinzani, itaanzia ndani ya CCM yenyewe na hawatakuwa na pakushika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…