Pre GE2025 CCM asilimia 95 tunamuunga Mkono Mbowe. Hatumtaki Lissu. Tunataka Mbowe agombee na Urais

Pre GE2025 CCM asilimia 95 tunamuunga Mkono Mbowe. Hatumtaki Lissu. Tunataka Mbowe agombee na Urais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Ndiyo. Hatumtaki Lissu CHADEMA sababu Lissu atakiua chama.na Lissu ataleta migogoro CHADEMA. Sisi CCM Tukifikiria hilo tunaona si sawa. Si jambo jema.

Kama nasi tutaruhusiwa kupiga kura basi tutamchagua Mbowe. Na tumeshaelekezana kuwa KAMANDA ANATOSHA. TUNAENDA NA MWAMBA.

Lissu ni mtu asiyefaa kuwa kiongozi. Huwa anaongea kile anachoamini haijalishi nyie mtajisikiaje. Kisha Lissu hana pesa. Mbangaizaji tu. Mbowe ni Billionea. Ana pesa Mbwa haruki. Lissu hana kitu. Anabangaiza tu.

Soma Pia: Wanachama, Viongozi CHADEMA wagawanyika kambi tofauti, hofu ya mpasuko yaongezeka

CCM Tunataka CHADEMA iwe na uongozi mzuri. Tunamtaka Mbowe na Wenje. Hawa ni viongozi wanaofaa sana. Hawa ndo wataivukisha Chadema. Hata Urais tunataka agombee Mbowe. Mbowe ndo anaweza mshinda Samia. Lissu hawezi mshinda Samia. Acheni kuwaza ujinga.

Mbowe ni mwanademokrasia anakifahamu chama ndani nje. Amekilea. Na bila yeye Chadema kitakufa. Nawaambia hivi. Ukisoma nyuzi za sisi wana CCM humu za kumponda Lissu ni nyingi kuliko za kumsifia Samia. Sababu tumeona Mbowe anafaa sana.
 
Ndiyo. Hatumtaki Lissu Chadema sababu Lissu atakiua chama.na lissu ataleta migogoro Chadema. Sisi CCM Tukifikiria hilo tunaona si sawa. Si jambo jema.

Kama nasi tutaruhusiwa kupiga kura basi tutamchagua Mbowe. Na tumeshaelekezana kuwa KAMANDA ANATOSHA. TUNAENDA NA MWAMBA.

Lissu ni mtu asiyefaa kuwa kiongozi. Huwa anaongea kile anachoamini haijalishi nyie mtajisikiaje. Kisha Lissu hana pesa. Mbangaizaji tu. Mbowe ni Billionea. Ana pesa Mbwa haruki. Lissu hana kitu. Anabangaiza tu.

CCM Tunataka Chadema iwe na uongozi mzuri. Tunamtaka Mbowe na Wenje. Hawa ni viongozi wanaofaa sana. Hawa ndo wataivukisha Chadema. Hata Urais tunataka agombee Mbowe. Mbowe ndo anaweza mshinda Samia. Lissu hawezi mshinda Samia. Acheni kuwaza ujinga.

Mbowe ni mwanademokrasia anakifahamu chama ndani nje. Amekilea. Na bila yeye Chadema kitakufa. Nawaambia hivi. Ukisoma nyuzi za sisi wana CCM humu za kumponda Lissu ni nyingi kuliko za kumsifia Samia. Sababu tumeona Mbowe anafaa sana.
Ccm haina mamlaka ya kuwachagulia chadema kiongozi, kioa mtu apambanie upande wake
 
The the the the thee
20250104_053518.jpg
 
Ndiyo. Hatumtaki Lissu CHADEMA sababu Lissu atakiua chama.na Lissu ataleta migogoro CHADEMA. Sisi CCM Tukifikiria hilo tunaona si sawa. Si jambo jema.

Kama nasi tutaruhusiwa kupiga kura basi tutamchagua Mbowe. Na tumeshaelekezana kuwa KAMANDA ANATOSHA. TUNAENDA NA MWAMBA.

Lissu ni mtu asiyefaa kuwa kiongozi. Huwa anaongea kile anachoamini haijalishi nyie mtajisikiaje. Kisha Lissu hana pesa. Mbangaizaji tu. Mbowe ni Billionea. Ana pesa Mbwa haruki. Lissu hana kitu. Anabangaiza tu.

Soma Pia: Wanachama, Viongozi CHADEMA wagawanyika kambi tofauti, hofu ya mpasuko yaongezeka

CCM Tunataka CHADEMA iwe na uongozi mzuri. Tunamtaka Mbowe na Wenje. Hawa ni viongozi wanaofaa sana. Hawa ndo wataivukisha Chadema. Hata Urais tunataka agombee Mbowe. Mbowe ndo anaweza mshinda Samia. Lissu hawezi mshinda Samia. Acheni kuwaza ujinga.

Mbowe ni mwanademokrasia anakifahamu chama ndani nje. Amekilea. Na bila yeye Chadema kitakufa. Nawaambia hivi. Ukisoma nyuzi za sisi wana CCM humu za kumponda Lissu ni nyingi kuliko za kumsifia Samia. Sababu tumeona Mbowe anafaa sana.
Munamtaka Mbowe na Wenje sababu zinaeleweka vyema kwamba sasa mnaongea nao lugha 1.
 
Ndiyo. Hatumtaki Lissu CHADEMA sababu Lissu atakiua chama.na Lissu ataleta migogoro CHADEMA. Sisi CCM Tukifikiria hilo tunaona si sawa. Si jambo jema.

Kama nasi tutaruhusiwa kupiga kura basi tutamchagua Mbowe. Na tumeshaelekezana kuwa KAMANDA ANATOSHA. TUNAENDA NA MWAMBA.

Lissu ni mtu asiyefaa kuwa kiongozi. Huwa anaongea kile anachoamini haijalishi nyie mtajisikiaje. Kisha Lissu hana pesa. Mbangaizaji tu. Mbowe ni Billionea. Ana pesa Mbwa haruki. Lissu hana kitu. Anabangaiza tu.

Soma Pia: Wanachama, Viongozi CHADEMA wagawanyika kambi tofauti, hofu ya mpasuko yaongezeka

CCM Tunataka CHADEMA iwe na uongozi mzuri. Tunamtaka Mbowe na Wenje. Hawa ni viongozi wanaofaa sana. Hawa ndo wataivukisha Chadema. Hata Urais tunataka agombee Mbowe. Mbowe ndo anaweza mshinda Samia. Lissu hawezi mshinda Samia. Acheni kuwaza ujinga.

Mbowe ni mwanademokrasia anakifahamu chama ndani nje. Amekilea. Na bila yeye Chadema kitakufa. Nawaambia hivi. Ukisoma nyuzi za sisi wana CCM humu za kumponda Lissu ni nyingi kuliko za kumsifia Samia. Sababu tumeona Mbowe anafaa sana.
"Mbowe ndo anaweza mshinda Samia. Lissu hawezi mshinda Samia. Acheni kuwaza ujinga."- Kwa hiyo unataka Mwenyekiti wako Raisi Samia ashindwe Uraisi au ni mimi ndo bado sijakuelewa? Kwa nini usimwambie humo humo ndani ya ccm kwamba haumtaki badala ya kumnanga humu kupitia Chadema?
 
Ndiyo. Hatumtaki Lissu CHADEMA sababu Lissu atakiua chama.na Lissu ataleta migogoro CHADEMA. Sisi CCM Tukifikiria hilo tunaona si sawa. Si jambo jema.

Kama nasi tutaruhusiwa kupiga kura basi tutamchagua Mbowe. Na tumeshaelekezana kuwa KAMANDA ANATOSHA. TUNAENDA NA MWAMBA.

Lissu ni mtu asiyefaa kuwa kiongozi. Huwa anaongea kile anachoamini haijalishi nyie mtajisikiaje. Kisha Lissu hana pesa. Mbangaizaji tu. Mbowe ni Billionea. Ana pesa Mbwa haruki. Lissu hana kitu. Anabangaiza tu.

Soma Pia: Wanachama, Viongozi CHADEMA wagawanyika kambi tofauti, hofu ya mpasuko yaongezeka

CCM Tunataka CHADEMA iwe na uongozi mzuri. Tunamtaka Mbowe na Wenje. Hawa ni viongozi wanaofaa sana. Hawa ndo wataivukisha Chadema. Hata Urais tunataka agombee Mbowe. Mbowe ndo anaweza mshinda Samia. Lissu hawezi mshinda Samia. Acheni kuwaza ujinga.

Mbowe ni mwanademokrasia anakifahamu chama ndani nje. Amekilea. Na bila yeye Chadema kitakufa. Nawaambia hivi. Ukisoma nyuzi za sisi wana CCM humu za kumponda Lissu ni nyingi kuliko za kumsifia Samia. Sababu tumeona Mbowe anafaa sana.
Nyie pambaneni na mama yenu na fomu yenu moja
 
Ndiyo. Hatumtaki Lissu CHADEMA sababu Lissu atakiua chama.na Lissu ataleta migogoro CHADEMA. Sisi CCM Tukifikiria hilo tunaona si sawa. Si jambo jema.

Kama nasi tutaruhusiwa kupiga kura basi tutamchagua Mbowe. Na tumeshaelekezana kuwa KAMANDA ANATOSHA. TUNAENDA NA MWAMBA.

Lissu ni mtu asiyefaa kuwa kiongozi. Huwa anaongea kile anachoamini haijalishi nyie mtajisikiaje. Kisha Lissu hana pesa. Mbangaizaji tu. Mbowe ni Billionea. Ana pesa Mbwa haruki. Lissu hana kitu. Anabangaiza tu.

Soma Pia: Wanachama, Viongozi CHADEMA wagawanyika kambi tofauti, hofu ya mpasuko yaongezeka

CCM Tunataka CHADEMA iwe na uongozi mzuri. Tunamtaka Mbowe na Wenje. Hawa ni viongozi wanaofaa sana. Hawa ndo wataivukisha Chadema. Hata Urais tunataka agombee Mbowe. Mbowe ndo anaweza mshinda Samia. Lissu hawezi mshinda Samia. Acheni kuwaza ujinga.

Mbowe ni mwanademokrasia anakifahamu chama ndani nje. Amekilea. Na bila yeye Chadema kitakufa. Nawaambia hivi. Ukisoma nyuzi za sisi wana CCM humu za kumponda Lissu ni nyingi kuliko za kumsifia Samia. Sababu tumeona Mbowe anafaa sana.
Unaamini kuwa CDM watamchagua Mbowe kwa sababu CCM imesema inampenda?

Amandla
 
Magufuli alipata kusema ukiona adui yako anakusifia sana sanuka mapema! Ila ukiona anakuponda ujue hapo umempiga kwenye mshono. Sasa wanachadema kazi kwenu nguli wa falsa kawafungulia code!
 
Ndiyo. Hatumtaki Lissu CHADEMA sababu Lissu atakiua chama.na Lissu ataleta migogoro CHADEMA. Sisi CCM Tukifikiria hilo tunaona si sawa. Si jambo jema.

Kama nasi tutaruhusiwa kupiga kura basi tutamchagua Mbowe. Na tumeshaelekezana kuwa KAMANDA ANATOSHA. TUNAENDA NA MWAMBA.

Lissu ni mtu asiyefaa kuwa kiongozi. Huwa anaongea kile anachoamini haijalishi nyie mtajisikiaje. Kisha Lissu hana pesa. Mbangaizaji tu. Mbowe ni Billionea. Ana pesa Mbwa haruki. Lissu hana kitu. Anabangaiza tu.

Soma Pia: Wanachama, Viongozi CHADEMA wagawanyika kambi tofauti, hofu ya mpasuko yaongezeka

CCM Tunataka CHADEMA iwe na uongozi mzuri. Tunamtaka Mbowe na Wenje. Hawa ni viongozi wanaofaa sana. Hawa ndo wataivukisha Chadema. Hata Urais tunataka agombee Mbowe. Mbowe ndo anaweza mshinda Samia. Lissu hawezi mshinda Samia. Acheni kuwaza ujinga.

Mbowe ni mwanademokrasia anakifahamu chama ndani nje. Amekilea. Na bila yeye Chadema kitakufa. Nawaambia hivi. Ukisoma nyuzi za sisi wana CCM humu za kumponda Lissu ni nyingi kuliko za kumsifia Samia. Sababu tumeona Mbowe anafaa sana.
Lisu hafai kuwa mwenyekiti wa chama Chochote Cha siasa
 
Ndiyo. Hatumtaki Lissu CHADEMA sababu Lissu atakiua chama.na Lissu ataleta migogoro CHADEMA. Sisi CCM Tukifikiria hilo tunaona si sawa. Si jambo jema.

Kama nasi tutaruhusiwa kupiga kura basi tutamchagua Mbowe. Na tumeshaelekezana kuwa KAMANDA ANATOSHA. TUNAENDA NA MWAMBA.

Lissu ni mtu asiyefaa kuwa kiongozi. Huwa anaongea kile anachoamini haijalishi nyie mtajisikiaje. Kisha Lissu hana pesa. Mbangaizaji tu. Mbowe ni Billionea. Ana pesa Mbwa haruki. Lissu hana kitu. Anabangaiza tu.

Soma Pia: Wanachama, Viongozi CHADEMA wagawanyika kambi tofauti, hofu ya mpasuko yaongezeka

CCM Tunataka CHADEMA iwe na uongozi mzuri. Tunamtaka Mbowe na Wenje. Hawa ni viongozi wanaofaa sana. Hawa ndo wataivukisha Chadema. Hata Urais tunataka agombee Mbowe. Mbowe ndo anaweza mshinda Samia. Lissu hawezi mshinda Samia. Acheni kuwaza ujinga.

Mbowe ni mwanademokrasia anakifahamu chama ndani nje. Amekilea. Na bila yeye Chadema kitakufa. Nawaambia hivi. Ukisoma nyuzi za sisi wana CCM humu za kumponda Lissu ni nyingi kuliko za kumsifia Samia. Sababu tumeona Mbowe anafaa sana.
Toka lini paka akamwombea mema panya..? Mtego huu na inatupa picha halisi kuwa mbowe ni kinyago cha mamlaka. Ok ni hivi mbowe akigombea uraisi ategemee kura ambazo hazitafika hata laki moja nchi nzima. Tupo na muda utasema vyema. Kikubwa tubarikiwe uhai tu
 
Lissu akishika Kile Kiti cha Juu cha Chama Ni hatari sana, Mana maamuzi ya Lissu kuna wakati hayawi Compromised kabisa ni mtu tough na hana Fear kabisa na Mamlaka yani Lissu kama Vipepeo hawaku spot mapema na Kumfanya awe sehemu yao basi walifanya Mistake Kubwa sana
 
Back
Top Bottom