Kuna ujumbe umenifikia sasa hivi kutoka namba 078049550 kupitia mtandao wa zain usemao...
Kwenye bold hapo ni kwamba shibuda ndiye anayeshikiliwa isivyo halali mpaka sasa, hivyo wanavyosema kuwa mjumbe wa kampeni wa slaa amekamatwa huo ni uwongo na kuchafuana kama walivyo wachafu.
Wakuu nimeweka hii namba hapo kwani utata wake ni kwamba ina tarakimu tano badala ya sita hivyo naamini kuna NIAmbaya makusudi imefanywa na hata hao wenye mtandao (ZAIN) kupitisha huu ujumbe.
Pili ni kwamba mimi ninaomba msaada wa kisheria niweze kushtaki maana ujumbe huu maana sijui mtumaji ana lengo gani na mimi.
nimejaribu kumpigia mwenye namba simpati. kama kuna mtaalam anaweza kuipata chanzo ya hii namba tumwanike hapa jukwaani
[/QUOTE
Prof Nkoma amekubali uprof wake uchakachuliwe na vilaza wa chichiem...inatia huruma sana,mwaka mzima watu wanaregister number ili kulinda usalama wa matumizi ya simu...leo anaruhusu watu watumie namba fake kutuma sms chochezi.......
its hard to say but its the truth you are stupid, may be not but why are you doing this to us? tumekukosa nini hasa.....aigrrrrrrrrri aaaaaaaaaaaaaah! inaniumiza sana ndugu zangu,nchi imeachwa iendeshwe na watoto wa mgombea,halafu wanahistoria ya kutumia madawa ya kulevya! leo wanatoa amri huku na kule halafu maprof waliosoma kwa kodi za wazee wetu wanatekeleza ili kuwafurahisha..... hivi mnamjua Mungu ninyi watu, take your time and know God...