CCM - baada ya kifo, maombolezo na mazishi ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli - tutawakabili CHADEMA, ACT, NCCR, CUF - Ofisi zao watafugia kuku

Unavojishaua as if una uwezo hata wa kuendesha mtaa achilia mbali familia yako... Mama Samia si mtu wa mapambio na misifa... Pole
Huyu bila shaka ni mojawapo wa member wa praise team katika kusifu na kuabudu ambapo kwa sasa hawana kazi baada ya wanayemwabudu kutangulia mbela za haki
 
Akimaliza kukaa
Huyu bila shaka ni mojawapo wa member wa praise team katika kusifu na kuabudu ambapo kwa sasa hawana kazi baada ya wanayemwabudu kutangulia mbela za haki

Huyu bila shaka ni mojawapo wa member wa praise team katika kusifu na kuabudu ambapo kwa sasa hawana kazi baada ya wanayemwabudu kutangulia mbela za haki
Akimaliza kukaa eda akili zitamrudia
 
Mmepata wenyeviti wanne kwa kupigiwa kura hewa,kura za NDIO MZEE TUMEKUBALI UWE MWENYEKITI[emoji3][emoji3]NDIO UNAITA DEMOKRASIA?AISEE LEO BUKU SABA HUPATI
 
Wewe punda unaongea nini? Ebu ondoa usukuma wako huko...Mfalme wenu hayupo tena, madudu yake yameanza kuibuliwa tena. muwe na aibu ninyi.
 
Jah Kaya kashasema jinsi mgombea wenu alivyopatikana 2015, jina alilileta yeye na kwa maamuzi yake akaliweka 5 bora,
 
Sahau - nchi iko imara na hakuna muda wa kuwachekea tena
nani kasema anataka kuchekewa?
uzuri siko na kundi lolote wala upande wa mtu yoyote. so usinihuishe kwenye na makundi au siasa yoyote ile. niko mm kama mm mwananchi wa kawaida tu.
pili narudi hivi ww hauna hati miliki na hii nchi.
hii nchi ni ya watanzania wote.
hivyo vitisho vya nyau havisaidii.
huu ni wkt wa kuunganisha watanzania si kuwatenga kwa itikadi za siasa.

and yes You can go to hell ...b.i.a.t.c.h
 
Mmepata wenyeviti wanne kwa kupigiwa kura hewa,kura za NDIO MZEE TUMEKUBALI UWE MWENYEKITI[emoji3][emoji3]NDIO UNAITA DEMOKRASIA?AISEE LEO BUKU SABA HUPATI
Wakati tunakuwa na wenyeviti 4, ninyi mna mwenyekiti mfalme "King" afu nje mnataka demokrasia - anzieni ndani kisha mje huku.

Tutawafundisha, CCM hatuna kinyongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…