CCM: Bado kuna tofauti kubwa kati ya Tanzania ya Magufuli na Tanzania ya Rais Samia Suluhu

Miradi ya Samia iko wapi
Hakuna miradi ya Samia. Bali kuna miradi ya Serikali. Rais anapopata madaraka na kuacha kumaliza miradi aliyoanzisha mtangulizi wake ni KICHAA.

Magufuli alishindwa kumaliza Bomba la Gesi na bamdari ya Bagamoyo
 
Chama kinamchagua mtu aliyeshindwa kuongoza mkoa wa Arusha kushika eti nafasi ya juu.

Kijana makonda anadai Arusha ilikwama kila mahala Sasa anapambana kuikwamua LAKINI shangaa aliyekuwa RC Chuga kapandishwa cheo kapewa cheo kikubwa chamani.

Huu ni uthibitisho wawazi kuwa tunaviongozi wasio kabisa na uwezo ila majina,kujipendekeza na kujuana ndiyo vinawabeba!!

Huwa najiuliza hivi mazaa akipewa tuu mwendokasi asimamie atawezaa? Acha bandari,Acha ATCL hiyo tuu UDART asingeweza lolote Sasa anafukuzaje watu kazi kwa kushindwa kuongoza wakati mwenyewe tukimpima hawezi kuongoza hata wilaya.
😞😞😞😞 this is a very sad TZ!!! Alafu tunaulizana eti kwanini hatuendeleiiiii???😂😂😂 Daaah!!
 
Nina amini katika kuandaa Dira ya Taifa ili kila kiongozi akiwa madarakani aifuate.

Hili la kusema yule ni bora kuliko yule, maana yake ni kwamba nchi inamtegemea mtu badala ya dira ya Taifa.

Ugonjwa mkubwa Tanzania ni ukosefu wa mipango.
Hapo Umenena.

Hata hivyo hatuwezi kuendelea kwa kufanya Ulinganishi na nchi zingine na kupuuzia Uzalendo.
 
Hivi wewe mwenyewe unaelewa ukuchoandika hapo? Mbona kama maji na mafuta yamechanganyika
 
Hata Idd Amin Dadah alitrend zaidi ya Mwalimu Nyerere
Issue ni untrend kwa nini
 
Uzi toka ijumaa una siku nne unalike 2

Nadhan umeona Jinsi unaempigia debe alivo hakubaliki Hata ccm wenzio wameshindwa kulike😂😂😂
Kuelewa huelewi hata kuona huoni
 

Attachments

  • D7282773-048D-4428-8983-0D3038529B6B.jpeg
    808.9 KB · Views: 2
Hakuna miradi ya Samia. Bali kuna miradi ya Serikali. Rais anapopata madaraka na kuacha kumaliza miradi aliyoanzisha mtangulizi wake ni KICHAA.

Magufuli alishindwa kumaliza Bomba la Gesi na bamdari ya Bagamoyo

Sasa hivi vimemalizwa?
 
wengine tumeshawasahau hata kabla hawajafa, legacy inajijenga yenyewe JPM will remain in history for many decades haijjengwi na phd za kununua.
 
Nina amini katika kuandaa Dira ya Taifa ili kila kiongozi akiwa madarakani aifuate.

Hili la kusema yule ni bora kuliko yule, maana yake ni kwamba nchi inamtegemea mtu badala ya dira ya Taifa.

Ugonjwa mkubwa Tanzania ni ukosefu wa mipango.
Kabisa
 
Tofauti kuu ni moja tu yule alikuwa Baba bora na huyu ni mama bora... mwenye D 2 amenielewa
 
Maana yake ni kwamba sasa tupo kwenye business as usual.
 
inahitajika nguvu na akili kubwa ya kupunguza operational cost. Maana mama anajitahidi sana kutafuta pesa kwa njia zote lakini kwa ground hakuna effects ya hizo pesa. maisha yanazidi kuwa aghari, petroli kila mwezi ewura anapandisha, Ajira hazionekani zinaonekana kwenye makabarasha ya viongozi wa ccm tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…