bwananyama
Member
- Dec 31, 2013
- 21
- 6
Uhalali wa serikali 3 jaji warioba ameutolea ufafanuz mbele ya kikwete.Sasa watz wa CCM nawashangaa! 1)Tatizo nn? 2)Au kama ser 3 zitakuwepo ninyi kama chama mtakosa nn? 3) Tunajua tuhuma za kifasadi na mafisad weng na mtandao imara kwenye hili,je Ser3 michongo itakwama?