Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,210
Wakuu inaonekana sasa kuwa CCM kama chama, kimeanzisha na kuimarisha propaganda [kudanganya au ku-mislead watu], kutumia mamluki na baadhi ya waliohongwa na kupenyezwa kwenye vyombo vya habari, kuvitumia vyombo vilivyonunuliwa na waliokiteka chama, kufanya mabadiliko katika safu yake. Hapa JF ndio ajabu wamekuja watu hata ambao wanasahau post walizopost mwezi mmoja au miezi mwili iliyopita, lakini sasa wamenza kutangaza kile ambacho katika baadhi ya duru za kisiasa huwa zinasema ni "kumpaka lipstick Nguruwe", au "kuweka mvinyo wa zamani kwenye chupa mpya".
Tulio wengi katika jukwaa hili inawezekana ni wazalendo, wenye uchungu na tunaoipenda Tanzania, na tunajua ni CCM ipi ilivyokuwa Chama cha wakulima na wafanyakazi, ni CCM ipi ilivyokuwa inafanya kazi kwa maslahi ya Tanzania. Na tunajua kabisa kuwa CCM ile haipo tena, kuna vijana wengi kama Nape Nnauye wanaomba Mungu na wengine wanajitahidi sana kujaribu kukirudisha chama kwenye njia yake, kazi ambayo kimsingi ni "daunting task". Ni ngumu kwa kuwa mafisadi wanajua (kwa sasa) wana karata zote.
Sijui kama kuna mtu yeyote mwenye akili timamu anayeamini kuwa Mzee Mangula na Mzee Kinana wanaweza kuwashinda mafisadi, na kuifanya CCM kiwe chama cha Mapinduzi, chama cha wakulima na wafanyakazi, chama cha kutetea haki na kinachoweza kuleta Maendeleo ya nchi. As of now I remain extremely pessimistic, because most of what they are currently doing is merely cosmetic. It does not show any sign that there are significant steps and deliberate efforts in rooting out the system that supports corruption and favoritism and personalization of the party and her offices.
Lakini tatizo kubwa linalokiathiri chama toka JK ashike hatamu ni "internal skirmishes" ambazo kufikia 2014 zitakuwa mapambano wazi, kwa kuwa mafisadi wameapa kuwa chama hakirudi kwa CCM asili, kwa kuwa kikirudi huko hawatakuwa salama. Na CCM asili ambao wameaza kuonekana in the form of upinzani, wameanza kuonesha haja ya kurudi kwenye malengo ya kuanzisha Chama. Yaani CCM iwe chama cha kuendeleza nchi, sio kuifilisi nchi kama sasa, iwe chama cha kutoa leadership na sio kuficha fighting for survival.
Mpaka sasa ukiangalia Tanzania inayoongozwa na CCM, utaona kuwa hakuna malengo halisi ya kuifanya Tanzania ipige hatua, ni tofauti sana na CCM 20 years ago wakati viongozi walikuwa wanatamba kuwa we have managed to have a country with lowest illiteracy rates, lowest crime rates, lowest rates of malnutrition, fairly good hospitals etc etc…sasa hivi kila kitu kiko chini, kilicho juu ni ripoti ya World Bank inayosema Tanzania ina miasha bora sana.
Kenya ukiangalia maendeleo waliyopiga katika miaka mitano huwezi kuamini kama ni jirani zetu, licha ya ukabila na vurugu za mapigano yao. Sawa na Rwanda. Mwezi uliopita nilitamani kulia nilipokuwa napita Nairobi na kunaglia barabara ya Thika. Nikajiuliza why not Tanzania which is relatively peaceful, secure and stable. Kenya na Rwanda si Ulaya, If the can do it why not us????
Nigependa tujadili kama kwenye strategy wanayotumia CCM kwa sasa ni healthy, kama kweli itasaidia kutuondolea matatizo ya sasa.
Kama kweli CCM ambayo inataka kuendelea kutawala, ni lazima irudi kwenye msingi wa kuanzishwa kwake. Ni lazima kisiwe chama cha kuwahurumia mafisadi, chama cha kulinda wezi wa mali za taifa, kiwe chama cha wakulima na wafanyakazi, chama cha kuendelea nchi na kulinda utu na heshi ya mtanzania, na zaidi ya yote kuifanya Tanzania ambayo tumepewa na mungu, kuwa juu ya yote ya vyama na ubinafsi wa watu. By doing so CCM ita regain real legitimacy, the one it had wakati wa Abeid Karume, Julius Nyerere, Rashid Kawawa, Edward Sokoine etc etc…hizi blah blah za kwenye media haziwezi kuturudishia CCM inayotakiwa.
Tulio wengi katika jukwaa hili inawezekana ni wazalendo, wenye uchungu na tunaoipenda Tanzania, na tunajua ni CCM ipi ilivyokuwa Chama cha wakulima na wafanyakazi, ni CCM ipi ilivyokuwa inafanya kazi kwa maslahi ya Tanzania. Na tunajua kabisa kuwa CCM ile haipo tena, kuna vijana wengi kama Nape Nnauye wanaomba Mungu na wengine wanajitahidi sana kujaribu kukirudisha chama kwenye njia yake, kazi ambayo kimsingi ni "daunting task". Ni ngumu kwa kuwa mafisadi wanajua (kwa sasa) wana karata zote.
Sijui kama kuna mtu yeyote mwenye akili timamu anayeamini kuwa Mzee Mangula na Mzee Kinana wanaweza kuwashinda mafisadi, na kuifanya CCM kiwe chama cha Mapinduzi, chama cha wakulima na wafanyakazi, chama cha kutetea haki na kinachoweza kuleta Maendeleo ya nchi. As of now I remain extremely pessimistic, because most of what they are currently doing is merely cosmetic. It does not show any sign that there are significant steps and deliberate efforts in rooting out the system that supports corruption and favoritism and personalization of the party and her offices.
Lakini tatizo kubwa linalokiathiri chama toka JK ashike hatamu ni "internal skirmishes" ambazo kufikia 2014 zitakuwa mapambano wazi, kwa kuwa mafisadi wameapa kuwa chama hakirudi kwa CCM asili, kwa kuwa kikirudi huko hawatakuwa salama. Na CCM asili ambao wameaza kuonekana in the form of upinzani, wameanza kuonesha haja ya kurudi kwenye malengo ya kuanzisha Chama. Yaani CCM iwe chama cha kuendeleza nchi, sio kuifilisi nchi kama sasa, iwe chama cha kutoa leadership na sio kuficha fighting for survival.
Mpaka sasa ukiangalia Tanzania inayoongozwa na CCM, utaona kuwa hakuna malengo halisi ya kuifanya Tanzania ipige hatua, ni tofauti sana na CCM 20 years ago wakati viongozi walikuwa wanatamba kuwa we have managed to have a country with lowest illiteracy rates, lowest crime rates, lowest rates of malnutrition, fairly good hospitals etc etc…sasa hivi kila kitu kiko chini, kilicho juu ni ripoti ya World Bank inayosema Tanzania ina miasha bora sana.
Kenya ukiangalia maendeleo waliyopiga katika miaka mitano huwezi kuamini kama ni jirani zetu, licha ya ukabila na vurugu za mapigano yao. Sawa na Rwanda. Mwezi uliopita nilitamani kulia nilipokuwa napita Nairobi na kunaglia barabara ya Thika. Nikajiuliza why not Tanzania which is relatively peaceful, secure and stable. Kenya na Rwanda si Ulaya, If the can do it why not us????
Nigependa tujadili kama kwenye strategy wanayotumia CCM kwa sasa ni healthy, kama kweli itasaidia kutuondolea matatizo ya sasa.
Kama kweli CCM ambayo inataka kuendelea kutawala, ni lazima irudi kwenye msingi wa kuanzishwa kwake. Ni lazima kisiwe chama cha kuwahurumia mafisadi, chama cha kulinda wezi wa mali za taifa, kiwe chama cha wakulima na wafanyakazi, chama cha kuendelea nchi na kulinda utu na heshi ya mtanzania, na zaidi ya yote kuifanya Tanzania ambayo tumepewa na mungu, kuwa juu ya yote ya vyama na ubinafsi wa watu. By doing so CCM ita regain real legitimacy, the one it had wakati wa Abeid Karume, Julius Nyerere, Rashid Kawawa, Edward Sokoine etc etc…hizi blah blah za kwenye media haziwezi kuturudishia CCM inayotakiwa.