Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,485
- Thread starter
-
- #21
Si waanze na hii SHULE hapa waipe jina la Mtu yeyote wa CCM wanayemtaka. Kwa mfano MWIGULU NCHEMBA Primary School, Makamba PS, Pinda PS, JAh-Kaya Primary School, Salma Shule ya Msingi, Shule ya vidudu Abbas Kimbisa, etc.
hapo kwenye bold ndio hasa alipopaswa kuwa na aibu. Ni sawa na hili la katiba mpya, ooh rais ameamua kuleta mabadiliko blah blah blah...tutamkumbuka kwa hilo blah blah blah.. Wakati hiyo ilikuwa ni sehemu ya ilani ya chadema na yeye alizidiwa tu na shinikizo.
Sasa hili la udom nacho ni kichekesho kingine kutoka kwako, eti wazo binafsi, hivi wewe umekuja leo tanzania?
Heshima haiombwi bwana, kama anastahili mbona itakuwa tu haina haja ya kulazimisha kama wanavyofanya! Na hilo halikuwa suala la kuzungumzwa na ccm, kile sio chuo cha ccm ni cha umma. Na lile wazo halikuwa lake, ni vile hujui..
basi maadam umetaja ya chadema...tupendekeze kiitwe slaa !!
Nadhani utaridhika...kwani dar es saaalm inter. Arport si cha public? Kwa nini uliitwa nyerere ? Si heshima kwa baba wa taifa?
Utakataa kama una ubinafsi tu...lakini ana stahili....
Na hilo ni ombi la ccm mkoa dodoma...kama serikali watakubali ama laa ni jambo la kusubiri....
Si unasema katiba ni la chadema? Mbona kalikubali? Wala sio shinikizo....ni ukomavu wa kisiasa wa jk...tukubali ....ana makosa na mapungufu yake lakini jjk..ni mwanasiasa imara na aliekomaa...
Kuna ubaya gani Au lipi la ajabu, Kwani haijatokea hapa duniani. SOKOINE N.K.
katika hali inayodhihirisha kuwa kuna binadamu walizaliwa bila haya, aliyewahi kuwa meya wa jiji la dsm abbas kimbisa, ametoa pendekezo kwenye kikao cha ccm kinachofanyika dodoma kukibadili jina chuo kikuu cha dodoma (udom) na kukiita jakaya kikwete university
akisoma ujumbe ambao bila shaka amepewa na kikwete mwenyewe, kimbisa amesema yeye ni tarishi na hayo anayosoma ni mapendekezo ya watu fulani ambao hakuwataja.
Source: Taarifa ya habari channel ten
nilidhani ni julius kambarage..!
Kumbe ni jakaya??
Ok.kwaheri..
jamani mnyonge mnyopngeni lakini haki yake mpeni, jamaa anastahili kwani amewekeza sana ktk elimu. Shule za kata pamoja na changamoto zake nyingi lakini angalu elimu ya sekondari siyo anasa kama zamani
Katika hali inayodhihirisha kuwa kuna binadamu walizaliwa bila haya, aliyewahi kuwa Meya wa jiji la DSM Abbas Kimbisa, ametoa pendekezo kwenye kikao cha CCM kinachofanyika DODOMA kukibadili jina Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) na kukiita Jakaya Kikwete University
Akisoma ujumbe ambao bila shaka amepewa na Kikwete mwenyewe, Kimbisa amesema yeye ni tarishi na hayo anayosoma ni mapendekezo ya watu fulani ambao hakuwataja.
Source: Taarifa ya habari Channel Ten
Katika hali inayodhihirisha kuwa kuna binadamu walizaliwa bila haya, aliyewahi kuwa Meya wa jiji la DSM Abbas Kimbisa, ametoa pendekezo kwenye kikao cha CCM kinachofanyika DODOMA kukibadili jina Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) na kukiita Jakaya Kikwete University
Akisoma ujumbe ambao bila shaka amepewa na Kikwete mwenyewe, Kimbisa amesema yeye ni tarishi na hayo anayosoma ni mapendekezo ya watu fulani ambao hakuwataja.
Source: Taarifa ya habari Channel Ten
Kwani heshima mpaka kile chuo kiitwe jina lake mbona wapo walipa kodi kibao laikini hawpewi chochote tuache umwinyi bwana kiache kiitwe UDOM.Heshima atapata mbinguni duniani hakuna heshima.chuo kikuu dodoma ni moja kati ya mambo makuu ya maendeleo aliyo yafanya jk ni jitihada binafsi na ushauri wake ali usimamia kwa karibu sana mpaka chuo kile kikaanza kusomesha vijana wa kitanzania....ni chuo ambacho hakimo katika bajesti za serikali
anastahili heshima hio.....
mbona mimi sikumsikia aisee, inawezekana akawa miongoni mwa watu waliosema 'ukweli 10 bora' katika karne iliyoisha na hii!Nimesikiliza Channel Ten eti CCM wanapendekeza UDOM iitwe Kikwete University. Hii si ni dharau kwa Tasinia ya Elimu nchini? Sasa nimeamini maneno ya Karume kuwa ndani ya vikao vyao kuna watu wana akili za samaki.
Jamani Mnyonge mnyopngeni lakini haki yake mpeni, Jamaa anastahili kwani amewekeza sana ktk elimu. Shule za Kata pamoja na changamoto zake nyingi lakini angalu elimu ya sekondari siyo anasa kama zamani
nasikia hata hilo daraja la maragarasi Waha wanataka walibadilishe jina baada ya kugundua kuwa pesa zinazolijenga ni za msaada wenye interest kubwa na 10% kibaoHuo ndio ukengeufu mkubwa... ni sawa na kuwatukana watanzania kwa kumpa heshima hiyo kikwete...
kwa lipi alilolifanya mkuu??? udom imetengenezwa kwa fedha ya ccm au wananchi na wadau mbali mbali??? au ndo umetumwa?? tumia kichwa kufiria na sio mak*****o!!!hakuna ubaya.....anastahili heshima hio
sasa kuna maana gani mtoto anamaliza miaka mnne shule ya kata(nieleweke sio ya walioukata ni ya kata) alafu anapiga div zero!!! si bora angekaa nyumbani afanye biashara kuliko kupoteza 4years!!!! shule walimu hamna,vitabu hakuna, alafu mwisho wa siku wanapiga zero na div four wote.,....ina make sense kweli??? kweli watu wadhaifu watampenda dhaifu!!!!Jamani Mnyonge mnyopngeni lakini haki yake mpeni, Jamaa anastahili kwani amewekeza sana ktk elimu. Shule za Kata pamoja na changamoto zake nyingi lakini angalu elimu ya sekondari siyo anasa kama zamani