jaxonwaziri
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 375
- 195
Hawa jamaa wameanza kuchanganyikiwa, angalia yafuatayo:
Kinana: Elimu Bure haiwezekani
Kikwete: Elimu Bure haiwezekani
Prof. Magembe: Elimu bure ni sera ya CCM, wanafunzi wakimaliza darasa la saba wooote watakwenda sekondari bila kufanyiwa mchujo(a.k.a kufanya mtihani)
[COLOR=blue
Sipati picha kiwango cha elimu kitakuwa kwenye hali gani!!!!!!!!!!
Hawa jamaaa JK, KINANA NA MAGHEMBE ni kama mabendera fulani hivi, kazi yao kujichanganya na kulipinga kila jambo analosema Dr Slaa (RAIS), sielewi hii ni serikali ya CCM kila kitu hakiwezekani maana wao akili zao ni MGANDO na hawako makini kwa kila jambo. CCM sera yake muhimu ni Tanzania bila Rushwa na Ufisadi Haiwezekani.Jama tunahitaji mabadiliko, tujitokeze tarehe 31 ili tumchague Dr Slaa atuletee mabadiliko.