jaxonwaziri
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 375
- 195
Hawa jamaa wameanza kuchanganyikiwa, angalia yafuatayo:
Kinana: Elimu Bure haiwezekani
Kikwete: Elimu Bure haiwezekani
Prof. Magembe: Elimu bure ni sera ya CCM, wanafunzi wakimaliza darasa la saba wooote watakwenda sekondari bila kufanyiwa mchujo(a.k.a kufanya mtihani)
My Take: Hawa jamaa wana nia ya dhati kwa maendeleo ya Taifa? Hawa jamaa wana nia ya dhati kuimarisha elimu yetu ili iwe "ELIMU BORA" na wala si "BORA ELIMU"?
CHONDE CHONDE WATANZANIA TUKAPIGE KURA JUMAPILI 31ST OCTOBER 2010 TUUONDOE UDHALIMU HUU WA CCM NA MASWAHIBA WAKE
TUMCHAGUE DR SLAA KWA WINGI KUWA RAIS WETU KWA MIAKA MITANO IJAYO!
Kinana: Elimu Bure haiwezekani
Kikwete: Elimu Bure haiwezekani
Prof. Magembe: Elimu bure ni sera ya CCM, wanafunzi wakimaliza darasa la saba wooote watakwenda sekondari bila kufanyiwa mchujo(a.k.a kufanya mtihani)
My Take: Hawa jamaa wana nia ya dhati kwa maendeleo ya Taifa? Hawa jamaa wana nia ya dhati kuimarisha elimu yetu ili iwe "ELIMU BORA" na wala si "BORA ELIMU"?
CHONDE CHONDE WATANZANIA TUKAPIGE KURA JUMAPILI 31ST OCTOBER 2010 TUUONDOE UDHALIMU HUU WA CCM NA MASWAHIBA WAKE
TUMCHAGUE DR SLAA KWA WINGI KUWA RAIS WETU KWA MIAKA MITANO IJAYO!