CCM fanyeni kila muwezalo Mh. Zitto Kabwe asirudi Bungeni

CCM fanyeni kila muwezalo Mh. Zitto Kabwe asirudi Bungeni

Japhet mbali

Member
Joined
Dec 29, 2019
Posts
9
Reaction score
13
Japo mimi sio mpenzi wa chama chochote cha siasa ila nakiomba chama cha CCM kilichopo madarakani kufanya kampeni ya haki na yenye nguvu kuhakikisha Ndg. Zitto Kabwe asifanikiwe kupata ushindi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu katika nafasi ya ubunge kwani amekuwa akipinga hata mambo ya msingi ambayo hata sisi tusio na chama tunaona jinsi Mh. Raisi wetu kajitahidi sana katika mambo kadhaa ambayo yanaonekana kuwa na tija katika nchi yetu.

Hivyo ni bora hata timu ya kampeni ya CCM ikaamia katika jimbo atakalogombea Ndg. Zitto ilimradi CCM ilipate jimbo hilo kwa ushindi wa kishindo ili Mh. Rais aendeleze mambo ya msingi yatakayowasaidia wananchi kwa maisha yao ya baadae.
 
Kampeni ya HAKI?. CCM wafanye HAKI? Siku watakapo amua uchaguzi uwe huru na HAKI ndiyo mwisho wao umefika. Haki ni kaburi lao na WANAJUA hilo. Ndiyo maana hata Mh Magufuli utosikia anaagiza Haki itendeke kwenye chaguzi.
 
Atarudi bunge atakuwa amesahau Nini huko? Awamu hii wapinzani watafute biashara nyingine ya kufanya siasa sio issue Tena.
 
You must be crazy.....Eti . Raisi aendeleze mambo ya msingi yatakayowasaidia wananchi kwa maisha yao ya baadae. Zitto anamzuia nini Rais Kutimiza majukumu yake......Kwa taarifa yako bila kuwepo upinzani Bungeni Maendeleo unayoyasema ni Ndoto. Development is all about contradiction.... Haiwezekani watu wote wakaimba wimbo wa Ndio Mzee.....Ngoja Zitto arudi na Ndio hapo hata wewe utajua usiyoyajua....Pia nikushauri achana na Chuki binafsi na Zitto.....
 
You must be crazy.....Eti . Raisi aendeleze mambo ya msingi yatakayowasaidia wananchi kwa maisha yao ya baadae. Zitto anamzuia nini Rais Kutimiza majukumu yake......Kwa taarifa yako bila kuwepo upinzani Bungeni Maendeleo unayoyasema ni Ndoto. Development is all about contradiction.... Haiwezekani watu wote wakaimba wimbo wa Ndio Mzee.....Ngoja Zitto arudi na Ndio hapo hata wewe utajua usiyoyajua....Pia nikushauri achana na Chuki binafsi na Zitto.....
Hivi lakini kwanini mtu wa status yake asambaze uzushi kuwa CAG ametekwa. Just asking myself aloud.
 
Hivi lakini kwanini mtu wa status yake asambaze uzushi kuwa CAG ametekwa. Just asking myself aloud.
Tuambie Hata kama Alisambaza kuwa CAG ametekwa, Ni kwa jinsi gani kulikwamisha juhudi zozote zile kuleta maendeleo...Tel us watu hawajawai kutekwa.. Subiria utekwe wewe ndio utajua lisemwalo lipo..Swa hata kama Zitto alisema CAG ametekwa je alitaja huyo CAG alitekwa na nani. Je mtu akisema Mr. John amefariki kosa liko wapi maana kufa kupo kama kulivyo kutekwa. Taarifa uanza kwa Tetesi then ukweli au uongo unakuja baadae.
 
Tuambie Hata kama Alisambaza kuwa CAG ametekwa, Ni kwa jinsi gani kulikwamisha juhudi zozote zile kuleta maendeleo...Tel us watu hawajawai kutekwa.. Subiria utekwe wewe ndio utajua lisemwalo lipo..Swa hata kama Zitto alisema CAG ametekwa je alitaja huyo CAG alitekwa na nani. Je mtu akisema Mr. John amefariki kosa liko wapi maana kufa kupo kama kulivyo kutekwa. Taarifa uanza kwa Tetesi then ukweli au uongo unakuja baadae.
Wewe ulishatekwa?
 
Unahisi Zitto ndiye anasababisha rais/serikali ishindwe kufanya inachifanya au inachokusudia kufanya? Wanasiasa kuweni na ngozi ngumu,muwe tayari kukosolewa. Acha watu watoe maoni yao.
Japo mimi sio mpenzi wa chama chochote cha siasa ila nakiomba chama cha CCM kilichopo madarakani kufanya kampeni ya haki na yenye nguvu kuhakikisha Ndg. Zitto Kabwe asifanikiwe kupata ushindi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu katika nafasi ya ubunge kwani amekuwa akipinga hata mambo ya msingi ambayo hata sisi tusio na chama tunaona jinsi Mh. Raisi wetu kajitahidi sana katika mambo kadhaa ambayo yanaonekana kuwa na tija katika nchi yetu.

Hivyo ni bora hata timu ya kampeni ya CCM ikaamia katika jimbo atakalogombea Ndg. Zitto ilimradi CCM ilipate jimbo hilo kwa ushindi wa kishindo ili Mh. Rais aendeleze mambo ya msingi yatakayowasaidia wananchi kwa maisha yao ya baadae.
D

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuambie Hata kama Alisambaza kuwa CAG ametekwa, Ni kwa jinsi gani kulikwamisha juhudi zozote zile kuleta maendeleo...Tel us watu hawajawai kutekwa.. Subiria utekwe wewe ndio utajua lisemwalo lipo..Swa hata kama Zitto alisema CAG ametekwa je alitaja huyo CAG alitekwa na nani. Je mtu akisema Mr. John amefariki kosa liko wapi maana kufa kupo kama kulivyo kutekwa. Taarifa uanza kwa Tetesi then ukweli au uongo unakuja baadae.
Kama unaona kuzusha ni sawa basi sina la kujadili na wewe bandugu. Hilo la kukwamisha maendeleo sijaandika popote.
 
Nchi ya ajabu sana hii! Yaaani Zitto atoke halafu kina Hamonize ndio wawe bungeni! Kwanini CCM mnapenda sana watu vilaza?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ishiii....we jamaaa bhana! Si wanaenda kuungana na wenzao kina Mlinga na Lusinde na Msukuma,Sasa unashangaa nini? Na bado mkikaaa vibaya mnaletewa na kubwa la wajinga a.k.a Bashite wa kolomije a.k.a fa fa fa fa in Gwajima's voice
 
Back
Top Bottom