CCM fanyeni kila muwezalo Mh. Zitto Kabwe asirudi Bungeni

CCM fanyeni kila muwezalo Mh. Zitto Kabwe asirudi Bungeni

Sema wewe ndo unaomba msaada wa CCM ili ikusaidie ushinde. Pambana mtoto wa kiume uchukue jimbo,sio usubirie nguvu za green
 
Atarudi bunge atakuwa amesahau Nini huko? Awamu hii wapinzani watafute biashara nyingine ya kufanya siasa sio issue Tena.

Ccm wao hawana biashara za kufanya bali ubunge tu ndio biashara yao?
 
Japo mimi sio mpenzi wa chama chochote cha siasa ila nakiomba chama cha CCM kilichopo madarakani kufanya kampeni ya haki na yenye nguvu kuhakikisha Ndg. Zitto Kabwe asifanikiwe kupata ushindi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu katika nafasi ya ubunge kwani amekuwa akipinga hata mambo ya msingi ambayo hata sisi tusio na chama tunaona jinsi Mh. Raisi wetu kajitahidi sana katika mambo kadhaa ambayo yanaonekana kuwa na tija katika nchi yetu.

Hivyo ni bora hata timu ya kampeni ya CCM ikaamia katika jimbo atakalogombea Ndg. Zitto ilimradi CCM ilipate jimbo hilo kwa ushindi wa kishindo ili Mh. Rais aendeleze mambo ya msingi yatakayowasaidia wananchi kwa maisha yao ya baadae.
Kilaza ktk ubora wako
 
Japo mimi sio mpenzi wa chama chochote cha siasa ila nakiomba chama cha CCM kilichopo madarakani kufanya kampeni ya haki na yenye nguvu kuhakikisha Ndg. Zitto Kabwe asifanikiwe kupata ushindi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu katika nafasi ya ubunge kwani amekuwa akipinga hata mambo ya msingi ambayo hata sisi tusio na chama tunaona jinsi Mh. Raisi wetu kajitahidi sana katika mambo kadhaa ambayo yanaonekana kuwa na tija katika nchi yetu.

Hivyo ni bora hata timu ya kampeni ya CCM ikaamia katika jimbo atakalogombea Ndg. Zitto ilimradi CCM ilipate jimbo hilo kwa ushindi wa kishindo ili Mh. Rais aendeleze mambo ya msingi yatakayowasaidia wananchi kwa maisha yao ya baadae.
Kwa hiyo CCM ndiyo huweka na kuchagua Wabunge wa nchi hii?Huwa tunafanya uchaguzi wa nini ilhali viongozi ni wale ambao CCM inaowaweka?Ama ni Miye ndiyo sijaelewa unamaanisha nini hasa kwa mada yako.
 
Th
Kuna kitu gani kizuri ambacho rais alitaka kukifanya akashindwa kwa sababu zitto alipinga???-acha utahira!
Wanatafuta huruma ya Wananchi kwa kushindwa kuwafanyia waliyowaahidi 2015.Eti wanaopinga maovu tufanyiwayo wanakwamisha kasi ya serikali ya awamo ya tank!!!Maneno ya walioshindwa hayo.
Mh.Zitto huwa anachaguliwa na Wananchi wa Jimbo lake na siyo kwa niaba ya CCM.Hilo halina ubishi,ukitaka asirudi Bungeni uanaenda Jimboni Kigoma Mjini na kufanya kampeni ya kukuwezesha asichaguliwe yeye Bali wewe.Hiyo ndiyo inaitwa Demokrasia na siyo vinginevyo.Kama hilo huliwezi,huna haki ya kuishawishi CCM kumwondoa Zitto Bungeni.
 
Japo mimi sio mpenzi wa chama chochote cha siasa ila nakiomba chama cha CCM kilichopo madarakani kufanya kampeni ya haki na yenye nguvu kuhakikisha Ndg. Zitto Kabwe asifanikiwe kupata ushindi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu katika nafasi ya ubunge kwani amekuwa akipinga hata mambo ya msingi ambayo hata sisi tusio na chama tunaona jinsi Mh. Raisi wetu kajitahidi sana katika mambo kadhaa ambayo yanaonekana kuwa na tija katika nchi yetu.

Hivyo ni bora hata timu ya kampeni ya CCM ikaamia katika jimbo atakalogombea Ndg. Zitto ilimradi CCM ilipate jimbo hilo kwa ushindi wa kishindo ili Mh. Rais aendeleze mambo ya msingi yatakayowasaidia wananchi kwa maisha yao ya baadae.
Kwa ccm inawezekana mbona Meya limewezekana Waziri mwenye dhamana kimyaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom