Pre GE2025 CCM haimhofii kiongozi yeyote wa upinzani nchi hii, wala msipoteze muda wenu

Pre GE2025 CCM haimhofii kiongozi yeyote wa upinzani nchi hii, wala msipoteze muda wenu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Chama cha Mapinduzi ni chama chenye mikakati, nguvu, uwezo na mipango mingi mnooo, kama kuna mtu anajidanganya kuwa fulani akishinda uenyekiti ndani ya CHADEMA mtakuja kushika dola, ni ujinga wa kiwango cha kimataifa.

Tena mimi natamani sana Lissu, Heche na Lema ndio wawe viongozi wake ili watanzania waone ujinga wao, Msumbiji wamepiga kelele Rais anaapishwa, nyie mtafanya nn zaidi ya kuwalilia jumuiya ya kimataifa
 
Chama cha Mapinduzi ni chama chenye mikakati, nguvu, uwezo na mipango mingi mnooo, kama kuna mtu anajidanganya kuwa fulani akishinda uenyekiti ndani ya chadema mtakuja kushika dola, ni ujinga wa kiwango cha kimataifa.

Tena mm natamani sana Lissu, Heche na Lema ndio wawe viongozi wake ili watanzania waone ujinga wao, Msumbiji wamepiga kelele Rais anaapishwa, nyie mtafanya nn zaidi ya kuwalilia jumuiya ya kimataifa
Tundu Lissuni mwiba mchungu kwenu.

Msumbiji mliwafundisha mbinu za kuharibu uchaguzi, wamewaonyesha Kwa vitendo madhara ya ujinga huo lakini mnajifanya hamuoni.


Waafrika tuna msemo, moto unaounguza nyumba ya jirani yako, ni moto utakaonguza nyumba yako
 
Chama cha Mapinduzi ni chama chenye mikakati, nguvu, uwezo na mipango mingi mnooo, kama kuna mtu anajidanganya kuwa fulani akishinda uenyekiti ndani ya chadema mtakuja kushika dola, ni ujinga wa kiwango cha kimataifa.

Tena mm natamani sana Lissu, Heche na Lema ndio wawe viongozi wake ili watanzania waone ujinga wao, Msumbiji wamepiga kelele Rais anaapishwa, nyie mtafanya nn zaidi ya kuwalilia jumuiya ya kimataifa
nenda ukamuulize abdul na mama yake kisha uje na majibu hapa
 
Chama cha Mapinduzi ni chama chenye mikakati, nguvu, uwezo na mipango mingi mnooo, kama kuna mtu anajidanganya kuwa fulani akishinda uenyekiti ndani ya CHADEMA mtakuja kushika dola, ni ujinga wa kiwango cha kimataifa.

Tena mimi natamani sana Lissu, Heche na Lema ndio wawe viongozi wake ili watanzania waone ujinga wao, Msumbiji wamepiga kelele Rais anaapishwa, nyie mtafanya nn zaidi ya kuwalilia jumuiya ya kimataifa
KALAGA Baho
 
Sifa za kenge mpaka aone damu ndio anatambua kuwa anabondwa
 
Chama cha Mapinduzi ni chama chenye mikakati, nguvu, uwezo na mipango mingi mnooo, kama kuna mtu anajidanganya kuwa fulani akishinda uenyekiti ndani ya CHADEMA mtakuja kushika dola, ni ujinga wa kiwango cha kimataifa.

Tena mimi natamani sana Lissu, Heche na Lema ndio wawe viongozi wake ili watanzania waone ujinga wao, Msumbiji wamepiga kelele Rais anaapishwa, nyie mtafanya nn zaidi ya kuwalilia jumuiya ya kimataifa
Ni kweli maana ccm inategemea mbeleko ya vyombo vya dola, na hao wapinzani hawana silaha.
 
Chama cha Mapinduzi ni chama chenye mikakati, nguvu, uwezo na mipango mingi mnooo, kama kuna mtu anajidanganya kuwa fulani akishinda uenyekiti ndani ya CHADEMA mtakuja kushika dola, ni ujinga wa kiwango cha kimataifa.

Tena mimi natamani sana Lissu, Heche na Lema ndio wawe viongozi wake ili watanzania waone ujinga wao, Msumbiji wamepiga kelele Rais anaapishwa, nyie mtafanya nn zaidi ya kuwalilia jumuiya ya kimataifa
Mbona unaweweseka, mikakati mliyonayo ni mikakati ya wizi na kuvuruga chaguzi kwa kutumia hii tume fake
 
Chama cha Mapinduzi ni chama chenye mikakati, nguvu, uwezo na mipango mingi mnooo, kama kuna mtu anajidanganya kuwa fulani akishinda uenyekiti ndani ya CHADEMA mtakuja kushika dola, ni ujinga wa kiwango cha kimataifa.

Tena mimi natamani sana Lissu, Heche na Lema ndio wawe viongozi wake ili watanzania waone ujinga wao, Msumbiji wamepiga kelele Rais anaapishwa, nyie mtafanya nn zaidi ya kuwalilia jumuiya ya kimataifa
Mavi yanagonga chupi yanarudi
 
Chama cha Mapinduzi ni chama chenye mikakati, nguvu, uwezo na mipango mingi mnooo, kama kuna mtu anajidanganya kuwa fulani akishinda uenyekiti ndani ya CHADEMA mtakuja kushika dola, ni ujinga wa kiwango cha kimataifa.

Tena mimi natamani sana Lissu, Heche na Lema ndio wawe viongozi wake ili watanzania waone ujinga wao, Msumbiji wamepiga kelele Rais anaapishwa, nyie mtafanya nn zaidi ya kuwalilia jumuiya ya kimataifa
Sure ni kweli
 
Chama cha Mapinduzi ni chama chenye mikakati, nguvu, uwezo na mipango mingi mnooo, kama kuna mtu anajidanganya kuwa fulani akishinda uenyekiti ndani ya CHADEMA mtakuja kushika dola, ni ujinga wa kiwango cha kimataifa.

Tena mimi natamani sana Lissu, Heche na Lema ndio wawe viongozi wake ili watanzania waone ujinga wao, Msumbiji wamepiga kelele Rais anaapishwa, nyie mtafanya nn zaidi ya kuwalilia jumuiya ya kimataifa
Wanadhani maandamano pekee yanaweza kuiondoa CCM.Kwanza watanzania hawataki kufa kwa sababu ya maandamano
 
Chama cha Mapinduzi ni chama chenye mikakati, nguvu, uwezo na mipango mingi mnooo, kama kuna mtu anajidanganya kuwa fulani akishinda uenyekiti ndani ya CHADEMA mtakuja kushika dola, ni ujinga wa kiwango cha kimataifa.

Tena mimi natamani sana Lissu, Heche na Lema ndio wawe viongozi wake ili watanzania waone ujinga wao, Msumbiji wamepiga kelele Rais anaapishwa, nyie mtafanya nn zaidi ya kuwalilia jumuiya ya kimataifa
Wanahemka huko utadhani kibaraka Lisu wanamtoa Jupiter 😂🤣
 
Chama cha Mapinduzi ni chama chenye mikakati, nguvu, uwezo na mipango mingi mnooo, kama kuna mtu anajidanganya kuwa fulani akishinda uenyekiti ndani ya CHADEMA mtakuja kushika dola, ni ujinga wa kiwango cha kimataifa.

Tena mimi natamani sana Lissu, Heche na Lema ndio wawe viongozi wake ili watanzania waone ujinga wao, Msumbiji wamepiga kelele Rais anaapishwa, nyie mtafanya nn zaidi ya kuwalilia jumuiya ya kimataifa
Hizo b12 alizopewa Sultan toka kwa Chief Hangaya ni za nini kama siyo kuwa amenusa hatari. Tatizo akili mgando mumezoea kuishi kwa mazoea
 
Matendo yote ya CCM ni matendo ya hofu

Kuzuia mikutano ya hadhara;
kutumia vyombo vya dola kujilinda;
kuwapa kesi za mchongo wapinzani;
kuwafunga wapinzani;
kuwafilisi biashara zao;
kuwateka wapinzani;
kuwaua wapinzani;
kutoweka tume huru ya uchaguzi
kutoweka katiba mpya

list ni ndefu, haya yote ni matendo ya hofu
 
Safari hii Lissu amewashika pabaya. Hata wake zenu wakichepuka atatajwa Lissu.
 
Chama cha Mapinduzi ni chama chenye mikakati, nguvu, uwezo na mipango mingi mnooo, kama kuna mtu anajidanganya kuwa fulani akishinda uenyekiti ndani ya CHADEMA mtakuja kushika dola, ni ujinga wa kiwango cha kimataifa.

Tena mimi natamani sana Lissu, Heche na Lema ndio wawe viongozi wake ili watanzania waone ujinga wao, Msumbiji wamepiga kelele Rais anaapishwa, nyie mtafanya nn zaidi ya kuwalilia jumuiya ya kimataifa
Hahahahaah CHADEMA Ni kama Maji, usipoyaoga utayanywa, ukigoma kabisa basi mvua itakunyeshea. Social Media zote zimejaaa CHADEMA.
 
Back
Top Bottom