Pre GE2025 CCM haimhofii kiongozi yeyote wa upinzani nchi hii, wala msipoteze muda wenu

Pre GE2025 CCM haimhofii kiongozi yeyote wa upinzani nchi hii, wala msipoteze muda wenu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chama cha Mapinduzi ni chama chenye mikakati, nguvu, uwezo na mipango mingi mnooo, kama kuna mtu anajidanganya kuwa fulani akishinda uenyekiti ndani ya CHADEMA mtakuja kushika dola, ni ujinga wa kiwango cha kimataifa.

Tena mimi natamani sana Lissu, Heche na Lema ndio wawe viongozi wake ili watanzania waone ujinga wao, Msumbiji wamepiga kelele Rais anaapishwa, nyie mtafanya nn zaidi ya kuwalilia jumuiya ya kimataifa
Subutu, kama ndio , why mnaangaika, aridhi ya nchi imewakataa ccm, sasa jidanganye ,mtajua yesu ni Bwana
 
Back
Top Bottom