CCM haitatamalaki katika utukufu tena

CCM haitatamalaki katika utukufu tena

Hizo ndio zao..urefu wa kamba
Siku mbaya kazini
 
Hizi siasa ndani ya CHADEMA na uchaguzi wao hasa kama watapata viongozi wapya hususani mwenyekiti mpya kutakuwa na impact kubwa automatically ndani ya CCM na muelekeo mpya wa siasa za nchi kwa ujumla. kusini mwa Afrika vyama vya uhuru vimetingishwa na kutikisika, ilibaki CCM tu nayo inakutwa regardless inapenda au haipendi
 
Dada yangu nikiwaangalia Chadema ni kama watu waliorukwa na akili.

Ccm imeshinda serikali za mitaa kwa 98% sasa ije mitandaoni kutukanana na vichaa kutafuta nini?

General election Samia anakwenda kushinda kwa kura nyingi, japo siipendi ccm ila huo ndio ukweli wenyewe.

Kosa kubwa Chadema wamelifanya uchaguzi wao wa ndani kuwa mwaka huohuo na uchaguzi mkuu, damage itakayotokea hata kupata Wabunge ni issue, Urais wasahau kabisa.

Ccm ni master wa siasa, wanaweka uchaguzi wa serikali za mitaa kwanza kupima upepo, halafu ndio unakuja uchaguzi mkuu, wakimaliza kushija doka ndio wanakuja uchaguzi wa chama.

Ccm bado ipo sanaaa madarakani.
Ccm imeshinda serikali za mitaa kwa 98%🤣😂😂😂🤣🤣😂😂
 
Freedom of expression 😳
Kwakweli mimi hii kitu huwa hainisumbui kabisa kichwani !
Kinachoumizaga kichwani ni ile mikataba mikubwa mikubwa kama ya madini na Gesi ! Pale Mwamba aliposemaga Tumepigwa !! 😳
 
Sikumbuki ni lini baada ya uchafuzi mkubwa wa kilichoitwa uchaguzi wa serikali za mitaa, CCM ilisikika tena popote! Hata matukio ya kutengenezwa ili kuiweka ccm kwenye ramani ya mijadala yalikufa mimba changa...
CCM imeumilaliza mwaka 2024 kinyonge na kwa udhaifu mkubwa.. Bila nuru usoni wala matumaini ya ule urijali wake wa kibabe

Bundi ametua kwenye paa la chama chawala.. Bundi ni ndege awezaye kunusa harufu ya kifo toka mbali kwenye nyumba yenye mgonjwa anayeelekea kifoni.. Bundi huja kuweka kikao karibu na hapo akitarajia mzoga wa marehemu baada ya kifo

Kwa spidi ile ile mwaka 2024 umelala na CHADEMA na kwa spidi ile ile mwaka 2025 umeamka na CHADEMA..kama ni upper punches na knockouts CCM mbele ya CHADEMA imezipata za kutosha sana.. Basi tu ni kwa vile refa ana huruma nyingi na mbeleko kubwa. Lakini tayari muda huu CHADEMA wangeshavikwa taji lao
Hakuna tena kitu kinaitwa ccm midomoni mwa watu hasa Watanganyika..

Hata makada wake maarufu mitandaoni na nje ya mitandao wote wametekwa na kimbunga kikali cha CHADEMA!

Hizi ni dalili za anguko kuu na la mwisho la kilichowahi kujulikana kama CHAMA Dume mbabe wa fitina na majungu

Hakuna tena kitakachoirudisha CCM hewani maana tayari jahazi lake linaishia kuzama na kama ni mgonjwa ni yule mahututi anayepigania pumzi yake ya mwisho isitoke kwa maumivu

CHADEMA KIMEIFUTURU CCM BILA BISMILLAH..!

sucker punch 👌🏿View attachment 3202263
Hapa ndio unagundua chama pendwa kinachoheshimika na kupendwa hapa nchini ni kipi.
 
uchuro mtupu, toa
1736938422993.jpg
 
Sikumbuki ni lini baada ya uchafuzi mkubwa wa kilichoitwa uchaguzi wa serikali za mitaa, CCM ilisikika tena popote! Hata matukio ya kutengenezwa ili kuiweka ccm kwenye ramani ya mijadala yalikufa mimba changa...
CCM imeumilaliza mwaka 2024 kinyonge na kwa udhaifu mkubwa.. Bila nuru usoni wala matumaini ya ule urijali wake wa kibabe

Bundi ametua kwenye paa la chama chawala.. Bundi ni ndege awezaye kunusa harufu ya kifo toka mbali kwenye nyumba yenye mgonjwa anayeelekea kifoni.. Bundi huja kuweka kikao karibu na hapo akitarajia mzoga wa marehemu baada ya kifo

Kwa spidi ile ile mwaka 2024 umelala na CHADEMA na kwa spidi ile ile mwaka 2025 umeamka na CHADEMA..kama ni upper punches na knockouts CCM mbele ya CHADEMA imezipata za kutosha sana.. Basi tu ni kwa vile refa ana huruma nyingi na mbeleko kubwa. Lakini tayari muda huu CHADEMA wangeshavikwa taji lao
Hakuna tena kitu kinaitwa ccm midomoni mwa watu hasa Watanganyika..

Hata makada wake maarufu mitandaoni na nje ya mitandao wote wametekwa na kimbunga kikali cha CHADEMA!

Hizi ni dalili za anguko kuu na la mwisho la kilichowahi kujulikana kama CHAMA Dume mbabe wa fitina na majungu

Hakuna tena kitakachoirudisha CCM hewani maana tayari jahazi lake linaishia kuzama na kama ni mgonjwa ni yule mahututi anayepigania pumzi yake ya mwisho isitoke kwa maumivu

CHADEMA KIMEIFUTURU CCM BILA BISMILLAH..!

sucker punch 👌🏿View attachment 3202263
Mbowe akishinda kutakuwa na mpasuko mkubwa sana.
Lissu akishinda pia na msimamo wake wa no reform no election, basi chama kisiposhiriki uchaguzi maana najua ccm hawatojali kama vyama vingine vitashiriki basi huenda ccm ikaipatia wabunge ACT wazalendo huku chadema ikiwa haina kitu. Hivyo ACT itageuka kuwa chama kikuu cha upinzani, ikiwa na wabunhe na ruzuku ya kufanyia siasa huku chadema kikiwa bila ruzuku na hoi.
Mwisho lissu atalaumiwa sana maana expectations vs reality.
 
Mbowe akishinda kutakuwa na mpasuko mkubwa sana.
Lissu akishinda pia na msimamo wake wa no reform no election, basi chama kisiposhiriki uchaguzi maana najua ccm hawatojali kama vyama vingine vitashiriki basi huenda ccm ikaipatia wabunge ACT wazalendo huku chadema ikiwa haina kitu. Hivyo ACT itageuka kuwa chama kikuu cha upinzani, ikiwa na wabunhe na ruzuku ya kufanyia siasa huku chadema kikiwa bila ruzuku na hoi.
Mwisho lissu atalaumiwa sana maana expectations vs reality.
chadema mpya chini ya lissu itagombea, uchaguzi wenyewe hufanyika mara moja katika kila baada ya miaka mitano. Akisusia uchaguzi ufanisi wake utapimwaje?
 
Inasikitisha mtu mzima kama wewe kujidanganya. Unaandika kujifariji kwa sababu unajua tayari chama chenu CHADEMA kimeshavurugika. CCM kwa sasa tunajipanga kukabiliana na upinzani wa vile vyama 14 kwa sababu mpinzani mkuu CHADEMA kashaanguka.
 
chadema mpya chini ya lissu itagombea, uchaguzi wenyewe hufanyika mara moja katika kila baada ya miaka mitano. Akisusia uchaguzi ufanisi wake utapimwaje?
Kasema no reform no election wewe unadhani ccm itafanya reform yoyote? Unless kama watabadili gear.
Sasa hilo la no reform no election litafanya ccm iwapatie chama kingine wabunge mfano act ili ndicho kigeuke chama kikuu cha upinzani na lionekane ni bunge shirikishi.
 
Inasikitisha mtu mzima kama wewe kujidanganya. Unaandika kujifariji kwa sababu unajua tayari chama chenu CHADEMA kimeshavurugika. CCM kwa sasa tunajipanga kukabiliana na upinzani wa vile vyama 14 kwa sababu mpinzani mkuu CHADEMA kashaanguka.
CCM kwa sasa tunajipanga kukabiliana na upinzani wa vile vyama 14 kwa sababu mpinzani mkuu CHADEMA kashaanguka.😂😂😂
 
Back
Top Bottom