CCM haiwezi kushinikiza akina Halima Mdee waondoke na Ndugai kwa sababu Chadema bado haijasikiliza rufaa zao!

CCM haiwezi kushinikiza akina Halima Mdee waondoke na Ndugai kwa sababu Chadema bado haijasikiliza rufaa zao!

Kwanza majina ya akina Halima James Mdee na wenzake yalipelekwa bungeni na Dr Mahela wa NEC akidai amepewa na Katibu mkuu wa Chadema mh J J Mnyika.

Pili Chadema walipokea rufaa za hao covid 19 ila bado hawazitolea maamuzi kwa mujibu wa katiba yao.

Hivyo CCM ishughulike na mwanachama wake Job Ndugai hao wengine hawawahusu.

Au nasema uwongo ndugu zangu?
Uko sahihi bwasheee
 
Ili swala kulikalia kimya naona kama cdm wanampango wa kusimama na watu hao uchaguzi hujao wa 2025 katika majimbo mbali mbali
 
Hivi kwa mfano mtu kahukumiwa na mahakama kifungo X halafu yule aliyehukumiwa na mahakama akakata rufaa, huaga adhabu yake inasubiri hadi rufaa itoke? Mbona vitu vingine rahisi sana kuvijua, havihitaji hata akili kubwa wala
 
Hivi kwa mfano mtu kahukumiwa na mahakama kifungo X halafu yule aliyehukumiwa na mahakama akakata rufaa, huaga adhabu yake inasubiri hadi rufaa itoke? Mbona vitu vingine rahisi sana kuvijua, havihitaji hata akili kubwa wala
Chadema siyo mahakama ni chama cha siasa.
 
Back
Top Bottom