Kama mgombea wao wa urais slipigishwa magoti Njombe itakuwa huyu wa kupiga makofi bungeni??Jina lake sijalipata vizuri. Lkn bunge lililopita alikuwa mbunge viti maalumu mkoa wa Lindi kupitia Chadema. Mwezi June akafika bei na kuamua kuunga juhudi.
Hivi sasa anaomba tena nafasi ya ubunge viti maalumu kupitia CCM.
Akiwa anaomba kura mbele ya Kassim Majaliwa ameona watu wako kiduchu na hawaelewi somo, ikabidi apige magoti kama anavyoonekana hapo pichani.
View attachment 1611381
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ameshalegea
Angebaki Chadema ili apande jukwaani kifua mbeleJina lake sijalipata vizuri. Lkn bunge lililopita alikuwa mbunge viti maalumu mkoa wa Lindi kupitia Chadema. Mwezi June akafika bei na kuamua kuunga juhudi.
Uungwana au ni kulegea?Kupiga magoti ni uungwana na upendo
Wanatia huruma!Ahahhh
Mambo mrembo bia yetuKupiga magoti ni uungwana na upendo
Jina lake sijalipata vizuri. Lkn bunge lililopita alikuwa mbunge viti maalumu mkoa wa Lindi kupitia Chadema. Mwezi June akafika bei na kuamua kuunga juhudi.
Hivi sasa anaomba tena nafasi ya ubunge viti maalumu kupitia CCM.
Akiwa anaomba kura mbele ya Kassim Majaliwa ameona watu wako kiduchu na hawaelewi somo, ikabidi apige magoti kama anavyoonekana hapo pichani.
View attachment 1611381
Kwahiyo kupiga magoti mbele ya wapiga kura ndio upnl upendo?Kupiga magoti ni uungwana na upendo
Chezea Karatu kuna wanawake weupeNa hivi jamaa amewaacha solemba bila kwenda kuwanadi akaamua kukimbilia kulala kwa mabint wa Karatu