CCM hamtatushinda

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Tumieni wingi wenu Bunge la Katiba kadiri mnavyoweza. Chagueni Mwenyekiti mumtakaye. Mwisho wa sarakasi zenu upo. Tutawaadabisha katika KURA za kuidhinisha KATIBA na kura za 2015 kwa Katiba yoyote itakayotumika
 
kumbuka hata uchaguzi mkuu mlisema hivyo mkapigwa tena juzi mmejitapa mkapigwa kata 24.
 
Chadema ni chama kinachozoea kushindwa
 
wewe unaongea ukiwa nje ya ukumb1, kwanza kwenye keybord, wakati wengine wanafanya kwa vitendo, wap na wap??
 
Tumieni wingi wenu Bunge la Katiba kadiri mnavyoweza. Chagueni Mwenyekiti mumtakaye. Mwisho wa sarakasi zenu upo. Tutawaadabisha katika KURA za kuidhinisha KATIBA na kura za 2015 kwa Katiba yoyote itakayotumika

Daftari la wapiga kula limeboreshwa sio.?!
 
Kura ya maoni inautofauti na Kura ya kuchagua viongozi,theluthi 2 Kamwe haziwezi kupatikani!!na kwa utaratibu huu kuwa hata Zanzibar watapiga Kura kivyao kwa kutafuta theluthi 2 ya Kwao na bara pia,bila maridhiano Kamwe hawawezi kupata ushindi wa theluthi 2 kwa kila upande,hata Kama ni kwa kuiba labda tu waamue kutangaza uongo.
nachoona hapa tutaendelea na katiba ya zamani,na rais alishaonya kuhusu hili la kurudi kwa katiba ya zamani!!
 
Kitu kimoja ambacho inaonekana mleta mada hukijui ni hiki, CCM ndo chama kinachoaminiwa zaidi kuliko vyama vyote vya siasa! watanzania wameamua kukipa ridhaa ya kuwaongoza, kwahiyo msimamo wa CCM ndio msimamo wa watanzania.
 
Kitu kimoja ambacho inaonekana mleta mada hukijui ni hiki, CCM ndo chama kinachoaminiwa zaidi kuliko vyama vyote vya siasa! watanzania wameamua kukipa ridhaa ya kuwaongoza, kwahiyo msimamo wa CCM ndio msimamo wa watanzania.

una ushaidi msimamo wa lumumba unapopewa buku 7 ndio msimamo wetu sisi .ubongo wa samaki kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…