VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,137
- 17,908
Tumieni wingi wenu Bunge la Katiba kadiri mnavyoweza. Chagueni Mwenyekiti mumtakaye. Mwisho wa sarakasi zenu upo. Tutawaadabisha katika KURA za kuidhinisha KATIBA na kura za 2015 kwa Katiba yoyote itakayotumika