WATANZANIA sio Wajinga UNAKATAA kwa kuwa MAGUFULI KAFA Muulize BASHIRU ALLY Anajua Kazi ya Mbatia ndani ya CCM"Chama cha Mapinduzi (CCM) kinakanusha vikali madai yaliyotolewa na mwanasiasa Joseph Selasini yanayodai CCM kimewahi kumtumia James Francis Mbatia au kuwa na ushirikiano na NCCR-MAGEUZI”
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Leo https://t.co/9rAJ1xypDoView attachment 2240911
Kumekucha"Chama cha Mapinduzi (CCM) kinakanusha vikali madai yaliyotolewa na mwanasiasa Joseph Selasini yanayodai CCM kimewahi kumtumia James Francis Mbatia au kuwa na ushirikiano na NCCR-MAGEUZI”
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi
View attachment 2240911
Wakubwa wake wanajua mkataba wa CCM na Mbatia na ndio sababu wanamnyang’anya NCCR kwa kukiuka kwake mikataba. CCM iliwapa NCCR Magari kama mnakumbuka, mama Tanzania anavuna alichopandaShaka hawezi kuwa na taarifa rasmi kwa kuwa chama kilikuwa kilitekwa na dikteta Magufuli na alikuwa na uwezo wa kuamua na kufanya cho chote bila halmashauri kuu wala kamati kuu ya CCM kujua! Na hata kama wangejua wasingeweza kumzuia!
CCM ilikuwa mali ya Magufuli!
Namtakia mama Tanzania mavuno mema yenye baraka za Lumuumba,Wakubwa wake wanajua mkataba wa CCM na Mbatia na ndio sababu wanamnyang’anya NCCR kwa kukiuka kwake mikataba. CCM iliwapa NCCR Magari kama mnakumbuka, mama Tanzania anavuna alichopanda
Mta jiju. Kwani wewe Shaka uta juaje wakati ulikuwa bench kwa kesi ya rushwa za uchaguzi ndani ya chama?"Chama cha Mapinduzi (CCM) kinakanusha vikali madai yaliyotolewa na mwanasiasa Joseph Selasini yanayodai CCM kimewahi kumtumia James Francis Mbatia au kuwa na ushirikiano na NCCR-MAGEUZI”
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi
View attachment 2240911
"Chama cha Mapinduzi (CCM) kinakanusha vikali madai yaliyotolewa na mwanasiasa Joseph Selasini yanayodai CCM kimewahi kumtumia James Francis Mbatia au kuwa na ushirikiano na NCCR-MAGEUZI”
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi
View attachment 2240911
Chuma,"Chama cha Mapinduzi (CCM) kinakanusha vikali madai yaliyotolewa na mwanasiasa Joseph Selasini yanayodai CCM kimewahi kumtumia James Francis Mbatia au kuwa na ushirikiano na NCCR-MAGEUZI”
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi
View attachment 2240911
Kipindi hicho nae alikuwa bench kwa kesi za rushwa. Sasa ata juaje?View attachment 2241063
Msikie hapo Selasini, siyo unakanusha tu wewe Shaka Mzee wa Calorite
"Chama cha Mapinduzi (CCM) kinakanusha vikali madai yaliyotolewa na mwanasiasa Joseph Selasini yanayodai CCM kimewahi kumtumia James Francis Mbatia au kuwa na ushirikiano na NCCR-MAGEUZI”
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi
View attachment 2240911
Toa njaa zako za kukosa ubunge 2020