Michael mbano
JF-Expert Member
- Apr 4, 2022
- 820
- 570
ILA MH MBATIA ALIHAKIKISHIWA ULINZI KULE MBEYA NA KUPOKELEWA KWA HESHIMA.HAYA MENGINE NACHUKULIA KAMA TETESI."Chama cha Mapinduzi (CCM) kinakanusha vikali madai yaliyotolewa na mwanasiasa Joseph Selasini yanayodai CCM kimewahi kumtumia James Francis Mbatia au kuwa na ushirikiano na NCCR-MAGEUZI”
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi
View attachment 2240911