Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
Ninaye vikao vyote vya Hyatt Kempisky ananivujishia yote yanayotendeka, hata juzi saa nne usiku walienda bandarini na tarehe 1 Nov wanaingia rasmi ofisiniUmeshapata mume au nikutafutie zee moja la Dubai DP World?
Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.Ninaye vikao vyote vya Hyatt Kempisky ananivujishia yote yanayotendeka, hata juzi saa nne usiku walienda bandarini na tarehe 1 Nov wanaingia rasmi ofisini
Kwa CCM ni kawaida sanakama ng'ombe wanaopelekwa mnadani kuuzwa vile!!
ššWenzio wamechukua afu kumikumi hapo,wewe endelea kukaa kwa shemeji yako ukisema dharau
Hawa ndio waliambiwa waonyeshe katiba ya nchi, wakapeleka ilani ya uchaguzi ya chama?!Wanavyoswagwa kwenye makenta kama ng'ombe wanaopelekwa mnadani kuuzwa vile!![emoji81]
Wakati mgeni rasmi anakuja na msafara wa ma V8 new model[emoji28][emoji28]
View attachment 2753854
Umeshapata mume au nikutafutie zee moja la Dubai DP World?
Chama hakina heshima kabisa hiki. Pichani nawaona Lucas mwashambwa, Pascal Mayalla, chawa wa mama/ ChawaWaMama, FaizaFoxy na THE BIG SHOW. johnthebaptist na thetallest wametumwa wakatafute kuni.
jingalao anaimbisha nyimbo za kuwatukana marais waliotangulia
Kuliko kuendeshwa kama mifugoš¤£Khaaaaaaa! Heri akae Kwa Shem akiwa na akili zake timamu
My sweet usijiingize huko unaniumiza unapotia dosari status yakoUmeshapata mume au nikutafutie zee moja la Dubai DP World?
HahahahahahaaKuliko kuendeshwa kama mifugoš¤£
Umeshapata mume au nikutafutie zee moja la Dubai DP World?
Njoo bandarini Dar wamejazana.Mie nataka bibi moja la huko ndugu wakala.
Hapo CCM unailaumu bure tu.Wanavyoswagwa kwenye makenta kama ng'ombe wanaopelekwa mnadani kuuzwa vile!![emoji81]
Wakati mgeni rasmi anakuja na msafara wa ma V8 new model[emoji28][emoji28]
View attachment 2753854