CCM hii ni zaidi ya dharau

CCM hii ni zaidi ya dharau

Umeshapata mume au nikutafutie zee moja la Dubai DP World?
Ninaye vikao vyote vya Hyatt Kempisky ananivujishia yote yanayotendeka, hata juzi saa nne usiku walienda bandarini na tarehe 1 Nov wanaingia rasmi ofisini
 
Ninaye vikao vyote vya Hyatt Kempisky ananivujishia yote yanayotendeka, hata juzi saa nne usiku walienda bandarini na tarehe 1 Nov wanaingia rasmi ofisini
Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.

Watu wapo kazini wewe unangoja November? Unanchekesha.
 
kama ng'ombe wanaopelekwa mnadani kuuzwa vile!!
emoji81.png
Kwa CCM ni kawaida sana
 
Kuongoza taifa la watu mbumbumbu ni kazi nyepesi mno, hapo utakuwa wamepewa elfu kumi kumi na vitenge kushona sare, hawafikiri hatma ya wajukuu zao na vizazi vyao vijavyo.
 
Back
Top Bottom