CCM huko Zanzibar kimeumana haswa!

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Hali inazidi kuonesha kuwa visiwani kimeumana.

Tazameni na sikilizeni kinachozungumzwa na mwana wa mfalme.

Nauona mwisho wa CCM baada ya kutawala kwa 60yrs+.

Kwa misuguano hii kamwe haijengi bali ni kuongeza nyufa ndani ya nyumba husika.

Nafikiri hiki ni kipindi bora kwa wapinzani wazidi kujiimarisha ili muda ukifika watumie haya malumbano yao ili waiwajibishe CCM.

Your browser is not able to display this video.
 
πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…