CCM iko kwenye Autopilot, mwelekeo wake unatuchanganya!

CCM iko kwenye Autopilot, mwelekeo wake unatuchanganya!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
CCM ndiyo chama chetu kinachotuelekeza kwenye dira ya kisiasa nchini, tukiweka maanani matamanio ya wananchi waliowengi.

Hadi sasa ndimi za watu wengi hazijapumzika kuzungumzia suala la Bandari na DP World.
Leo nimekutana na rafiki yangu, kada, wa siku nyingi, na amewahi kuwa mbunge wa CCM jimbo fulani.

Kanieleza kuwa kwa heshima yake hawezi kupanda jukwaani kutetea mkataba wa DP World.
Hili nimenigutusha.
Makada wa CCM wengi hawaridhiki na huu mkataba.

Inaelekea CCM iko kwenye autopilot, inakoelekea hsta marubsni hawajui lakini wanacho sema "tunaelekea kuleeee...!"

DP World na siasa ya kujitegemea, wapi na wapi!
 
CCM ndiyo chama chetu kinachotuelekeza kwenye dira ya kisiasa nchini, tukiweka maanani matamanio ya wananchi waliowengi.

Hadi sasa ndimi za watu wengi hazijapumzika kuzungumzia suala la Bandari na DP World.
Leo nimekutana na rafiki yangu, kada, wa siku nyingi, na amewahi kuwa mbunge wa CCM jimbo fulani.

Kanieleza kuwa kwa heshima yake hawezi kupanda jukwaani kutetea mkataba wa DP World.
Hili nimenigutusha.
Makada wa CCM wengi hawaridhiki na huu mkataba.

Inaelekea CCM iko kwenye autopilot, inakoelekea hsta marubsni hawajui lakini wanacho sema "tunaelekea kuleeee...!"

DP World na siasa ya kujitegemea, wapi na wapi!
Labda njuruku haijampitia! Wana CCM linapofika suala la hela huwa ni zaidi ya fisi!!
 
Back
Top Bottom