stabilityman
JF-Expert Member
- Jul 9, 2024
- 259
- 483
Hakuna ccm wapo mtaan chadema mtandaoniKinachofanya ccm kuendelea kuwepo madarakani ni dola tu
Hata kama hamna watuNdiyo mnavyojidanganya , uchaguzi uwe huru na haki tuonyeshane nani zaidi.
Uchaguzi uwe huru na haki.Hata kama hamna watu
CCM NI CHAMA BORA KWA HAPA TANZANIA , HAKUNA CHAMA KITAKUJA KUFUTA HISTORIA BORA YA HIKI CHAMA. mimi ni shahidi wa kusema kuwa CCM itabaki sana milele, CHADEMA ni chama cha TWITTER , nawaonea huruma sana .Aiseee CCM ni wakongwe ndio maana wao wako busy mitaani kusajili wapiga kura wapya na wanachama wapya mitaani .
Lakini chadema wamejikita kwenye mitandao tu kuangalia linalotrend wapinge au watoe maoni. Kwa hali hii CCM itabaki milele na mtindo wa kupata wanachama ukiwabeba vizazi na vizazi.
Chadema badilikeni
Uchaguzi uwe huru na haki.
Mama samia mitano TenaCCM NI CHAMA BORA KWA HAPA TANZANIA , HAKUNA CHAMA KITAKUJA KUFUTA HISTORIA BORA YA HIKI CHAMA. mimi ni shahidi wa kusema kuwa CCM itabaki sana milele, CHADEMA ni chama cha TWITTER , nawaonea huruma sana .
MAMA SAMIA MITANO TENA .
Adam Ekingo iamwangdamin
Mjumbe CCM , KIVUKONI ILALA
Uchaguzi uwe huru na haki.Mama samia mitano Tena
Sawa mawakala si wapo unataka uhuru gan tenaUchaguzi uwe huru na haki.
Kidumu chama tawala , kidumu chama cha mapinduzi CCMMama samia mitano Tena
Umemsikia alivyosema? Kmwambie napeAiseee CCM ni wakongwe ndio maana wao wako busy mitaani kusajili wapiga kura wapya na wanachama wapya mitaani .
Lakini chadema wamejikita kwenye mitandao tu kuangalia linalotrend wapinge au watoe maoni. Kwa hali hii CCM itabaki milele na mtindo wa kupata wanachama ukiwabeba vizazi na vizazi.
Chadema badilikeni
Uchaguzi uwe huru na haki.Sawa mawakala si wapo unataka uhuru gan tena
CHADEMA wamefanya mikutano 110 mkoani Kilimanjaro. Na Sasa wapo Arusha.Hakuna ccm wapo mtaan chadema mtandaoni
Weka namba ya Simu ewe chawa.CCM NI CHAMA BORA KWA HAPA TANZANIA , HAKUNA CHAMA KITAKUJA KUFUTA HISTORIA BORA YA HIKI CHAMA. mimi ni shahidi wa kusema kuwa CCM itabaki sana milele, CHADEMA ni chama cha TWITTER , nawaonea huruma sana .
MAMA SAMIA MITANO TENA .
Adam Ekingo iamwangdamin
Mjumbe CCM , KIVUKONI ILALA
Watu ndio nini? Wekeni uwanja sawa kwenye uchaguzi, sio kuenguwa nusu ya wagombea na kuzima mitandao siku ya uchaguzi.Hata kama hamna watu
Kwa alivyo sema Nape?. Mitano Tena halafu hamalizi miezi miwili Kama yule mwenzake.Mama samia mitano Tena