stabilityman
JF-Expert Member
- Jul 9, 2024
- 259
- 483
Aiseee CCM ni wakongwe ndio maana wao wako busy mitaani kusajili wapiga kura wapya na wanachama wapya mitaani.
Lakini CHADEMA wamejikita kwenye mitandao tu kuangalia linalotrend wapinge au watoe maoni. Kwa hali hii CCM itabaki milele na mtindo wa kupata wanachama ukiwabeba vizazi na vizazi.
CHADEMA badilikeni
Lakini CHADEMA wamejikita kwenye mitandao tu kuangalia linalotrend wapinge au watoe maoni. Kwa hali hii CCM itabaki milele na mtindo wa kupata wanachama ukiwabeba vizazi na vizazi.
CHADEMA badilikeni