Nimependa paragraph ya mwisho katika andiko lako ila hiyo sentence ya mwisho ndio haifai. Wahaya tayari mlishajinasua na ccm kwanini mnarudi nyuma tena?Mimi si mzawa wa Bukoba ila nazijua vizuri siasa za Bukoba. Kwa sasa hivi CCM haina mtu wa kumtikisa mgombea ubunge wa CHADEMA Ndg. Chief Kalumuna.
Nasema ukweli kabisa bila kuficha, Chief anatakiwa apambanishwe na vichwa vyenye nguvu ya ushawishi kama King James otherwise wanaCCM tujiandae kuongozwa tena mpinzani.
Kwa bahati mbaya jamii ya Bukoba huwa haitishiwi na nguvu ya Vyombo vya Dola, na mnajua kabisa hata mambo ya kupelekana Mahakamani huku ni kama kwenda mgahawani.
I love u CCM❤
nafikiri ww ndo humfahamu namfahamu tangu akiwa ngara (national housing kwa chini) nafahamu familia yake, makuzi yakeWewe humjui king vizuri
nafikiri ww ndo humfahamu namfahamu tangu akiwa ngara (national housing kwa chini) nafahamu familia yake, makuzi yake
anakuja bk anafanya biashara zake (viatu) kanikuta anaanzisha kanisa nipo
sipo bk kama miaka 3 usinambie kawa na ushawishi huo
Namfahamu vzr sana hadi picha zake akiwa na vijana wenzake Ngara mjini nnazoAisee kumbe jamaa unamfahamu vizuri...hivi yale macho yake kama vile anavuta bangi bado yako vile[emoji1787][emoji1787]
Tatizo wewe unamhemuko na itikadi ya chama chako,Namfahamu vzr sana hadi picha zake akiwa na vijana wenzake Ngara mjini nnazo
Enzi zake alikuwa mtukutu balaa, sa ivi mtu poa sema sikufahamu kama amekuwa na ushawishi kiasi hicho
mkuu umenisoma vizuri lakiniTatizo wewe unamhemuko na itikadi ya chama chako,
King bukoba anaushwashi mkubwa ulizia kama una ndgu zako
Hiyo stendi inayojengwa kyakairabwa ? Mbona haiishi?King James nimchungaji muongo muongo kama Gwajima bashite ,watu wachache na wajinga kutoka vijijini ndo wanamkubali ,
King James anajiita mtumishi wa Mungu huku anadhamini mashindano ya muziki wa kidunia pale kiroyera beach huu ni ujinga
Kuuzima moto wa chief Mpaka ujipange, sio kitoto chief kawa mayor ndani ya miaka 05 tu lakin bandari imejengwa yakisasa, barabara nyingi bila kusahu daraja la bukoba club
Pia kuhusu stendi mpya inajengwa kyakairabwa
Sasa king James nani atampa ubunge wakati ni fake pastor sometimes he called his worshipers my customers, also is very hypocrite.
"Chaupele mpenzi haya yanayokusumbua kama ni maradhi kamuone daktari Mimi siko tiyari kuliacha lumba kwa ajili yako"
King James nimchungaji muongo muongo kama Gwajima bashite ,watu wachache na wajinga kutoka vijijini ndo wanamkubali ,
King James anajiita mtumishi wa Mungu huku anadhamini mashindano ya muziki wa kidunia pale kiroyera beach huu ni ujinga
Kuuzima moto wa chief Mpaka ujipange, sio kitoto chief kawa mayor ndani ya miaka 05 tu lakin bandari imejengwa yakisasa, barabara nyingi bila kusahu daraja la bukoba club
Pia kuhusu stendi mpya inajengwa kyakairabwa
Sasa king James nani atampa ubunge wakati ni fake pastor sometimes he called his worshipers my customers, also is very hypocrite.
"Chaupele mpenzi haya yanayokusumbua kama ni maradhi kamuone daktari Mimi siko tiyari kuliacha lumba kwa ajili yako"
Ana ushawishi wapi..Rwamishenye,Ijuganyondo,Bilele,Uswahilini,Nyanga,Buhembe,Kashai,Kyebitembe,Kagondo,Kitendaguro?Tatizo wewe unamhemuko na itikadi ya chama chako,
King bukoba anaushwashi mkubwa ulizia kama una ndgu zako
Wewe umekurupuka kutaja kata za BMC kumbe hata kanisa la king James hujui lilipo.Ana ushawishi wapi..Rwamishenye,Ijuganyondo,Bilele,Uswahilini,Nyanga,Buhembe,Kashai,Kyebitembe,Kagondo,Kitendaguro?
Sema kua ana watu kanisani pale Kashai basi....Jimbo la Bukoba na Kagera kwa ujumla bado hamna wawakilishi kama ilivyo kua wakati wa akina Kinyondo na Mtungilie..angalau kidogo mama Anna