CCM ili kuokoa jahazi Bukoba Mjini Ubunge, Mch. King James atafaa

Chadema oyeeeee
 
Hilo kosa ndiyo wamelifanya Mwanza mjini.
 
Huo ni wivu wako, suala la kwamba ni fake au siyo fake in politics doesn't matter, kwa bukoba manispaa King James ni mdau mkubwa wa maendeleo ,kachangia miradi mingi ya maendeleo


King James mpuuzi kanisani kwake anakosa mpaka waumini pale Mafumbo Migela sasa umekula hela ili umpigie debe.
 
Huo ni wivu wako, suala la kwamba ni fake au siyo fake in politics doesn't matter, kwa bukoba manispaa King James ni mdau mkubwa wa maendeleo ,kachangia miradi mingi ya maendeleo
Dogo acha bangi. King James huyu mjingamjinga ndo unampambanisha na Chief? Mbona huna adabu kabisa. Huo umaarufu unaodai anao ni sawa na Senga au Pembe wanavyofahamika. Hana lolote la kufanya mbele ya Chief, usitake kunambia CCM wamebaki viazi tu mpaka wamteue King.
 
Kuna kada wao anaitwa rutabosholwa ndio chagua la bashiru
 
Hakuna wa kumtikisa mtoto wa mchungaji Karumuna, ccm wajiandae kuwa chini ya uongozi wa cdm kwa mara nyingine
 
Chief anayatoa jasho maccm hadi yanaona magalasa yao yote hayawezi kupambana naye, lakin si mumpeleke bashiru naye si wa huko!
 
Wewe humjui king vizuri
Navyo mfahamu King Jemsi hunifikii hata robo mkuu usifanye mjadala kuwa mrefu jina lake la nyumbani anaitwa Lombiza mdg wake anaitwa venna (alikuwa mwalimu) anamdogo wake pia anaitwa mwesi

Mama yake alikuwa mwalimu Ngara P/s na amenifundisha ama wataka taarifa gani?

muulize anawafahamu watu hawa karanga, hailehaile,Abbas.

alafu njoo unibishie tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…