There goes my thousand words......
"JK akisalimiana na baadhi ya madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Mbarali muda mfupi kabla ya kufungua jengo jipya la halmashauri hiyo jana. Picha zote na mdau Freddy Maro wa Ikulu" (18-10-2008)
Picha na maelezo kwa hisani ya: issamichuzi.blogspot.com
teh teh teh, hayo majoho yasikutishe, pengine wamehitimu nursery school, shule ya msingi au hata ya shule ya upili tu.
.... he he, mimi nilifikiri ulimbukeni upo kwenye mchepuko wa 'international school academies' za dar tu, kumbe ume transpire jamii nzima na rika zote !! lol
Labda ni sikukuu ya mavazi. FairPlayer au Ladslaus Modest watakuwa na explanation nzuri tu zaidi... 🙂
Hivi ni kwa nini wanavaa hayo majoho? yana maana gani?