Uchaguzi 2020 CCM imebaki na mkoa wa Dodoma tu kama ngome yake huku ikiwa imepoteza kanda zote

Uchaguzi 2020 CCM imebaki na mkoa wa Dodoma tu kama ngome yake huku ikiwa imepoteza kanda zote

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
CCM imekuwa ikipoteza uungwaji mkono katika maeneo mbalimbali ya nchi kwa muda sasa na chaguzi zimekuwa zikithibitisha ukweli huu.

CCM ilianza kufutika taratibu katika mikoa ya Kigoma,mikoa ya kanda ya kaskazini, ikaja Dar-es-Salaam, kisha Mbeya, maeneo ya mijini na kwenye majiji nchi nzima hasa mwaka 2015, na hii 2020 inapoteza kanda karibu zote ambazo zilikuwa ngome yake mfano ni kanda ya kati na kanda ya kusini bila kusahau kanda ya ziwa ambako inafutika kwa kasi zaidi mwaka huu.

Kwa kanda ya kati, mkoa wa Dodoma pekee ndio unaoweza kuibeba CCM na wagombea wake kwa mwaka huu huku ikikabiliwa na hatari ya kukataliwa katika maeneo mengi ya mkoa wa Singida.

Katika mikoa iliyoko katika Kanda ya Nyanda za Juu kusini, CCM ndio kabisa inatokomea na huku kote CHADEMA ndio inatawala na ACT ikiwa na nafasi ya kutawala maeneo mengi ya mkoa wa Kigoma kwa upande wa kanda ya Magharibi.

Kanda ya kusini (mikoa ya Lindi na Mtwara) nako mambo yanaendelea kuharibika na hii ilianza mwaka 2015 kutokana na issue ya gesi, na sasa issue ya korosho imekuja kuharibu zaidi na kuweka CCM pabaya zaidi.

Ukiacha Dodoma, CCM imebaki na mikoa kama Rukwa, Tabora,Tanga, Pwani na mingineyo michache tena ikiwa na nguvu zaidi vijijini kuliko mijini katika mikoa hii.

Kwa upande wa Zanzibar, huko ndio kabisa wana hali mbaya kuanzia Pemba na sasa hata Unguja.

Kwa kifupi, CCM inaendelea kupoteza ngome zake zote na sasa inaanza kukataliwa hata katika maeneo mengi ya vijijini mfano mzuri ni huko Tarime katika mkoa wa Mara.

Habari ndio hio!
 
CCM sijui ilikuwaje hadi wakampitisha Magufuli kuwa mgombea wao ile 2015. Anyway, Kwa yaliyotokea KAWE mwaka huu kumsimamisha Gwajiboy kwenye nafasi ya Ubunge basi yaonekana ndo tabia na dharau zao.

CCM wana paswa kukumbuka ya kuwa,"ncha ya mkuki haipigwi konzi"
 
Wizi wenu mwisho mwaka huu, ndio mana mnatapatapa.

Tuvute subira.

Tarehe 28 October si mbali.

Hakutakuwa na wizi wa kura.

Walewale wananchi walokwenda kuwasikiliza mnachosema ndo haohao watakaamua raisi Magufuli aendelee na miaka mingine 5.

High Five🖐
 
Mshua anakwama sana hajui kuongea huyo angebakigi tuu kuwa waziri maana hana busara kabisa na hana break na maneno yake mara maendeleo hayana chama, sisi wote ni watanzania mara ukichagua upinzani mtajuta sasa. Tumuelewe vp, mbona anafeli sana
Magu kavamia fani, hakustahili kuwa mwanasiasa.
 
Kama kawaida bavicha na tathmini zao za kiduanzi.. Tukutane hapa baada ya matokeo japo mlivo wazuri wa kuhamisha magori mtasema mmeibiwa kura
 
CCM imekuwa ikipoteza uungwaji mkono katika maeneo mbalimbali ya nchi kwa muda sasa na chaguzi zimekuwa zikithibitisha ukweli huu.

CCM ilianza kufutika taratibu katika mikoa ya Kigoma,mikoa ya kanda ya kaskazini,ikaja Dar-es-salaam,kisha Mbeya,maeneo ya mijini na kwenye majiji nchi nzima hasa mwaka 2015 na hii 2020 inapoteza kanda karibu zote ambazo zilikuwa ngome yake mfano ni kanda ya kati na kanda ya kusini bila kusahau kanda ya ziwa ambako inafutika kwa kasi zaidi mwaka huu.

Kwa kanda ya kati,mkoa wa Dodoma pekee ndio unaoweza kuibeba CCM na wagombea wake kwa mwaka huu huku ikikabiliwa na hatari ya kukataliwa katika maeneo mengi ya mkoa wa Singida.

Katika mikoa iliyoko katika Kanda ya nyanda za juu kusini ,CCM ndio kabisa inatokomea na huku kote CHADEMA ndio inatawala na ACT ikiwa na nafasi ya kutawala maeneo mengi ya mkoa wa Kigoma kwa upande wa kanda ya Magharibi.

Kanda ya kusini(mikoa ya Lindi na Mtwara) nako mambo yanaendelea kuharibika na hii ilianza mwaka 2015 kutokana na issue ya gesi, na sasa issue ya korosho imekuja kuharibu zaidi na kuweka CCM pabaya zaidi.

Ukiacha Dodoma, CCM imebaki na mikoa kama Rukwa, Tabora,Tanga, Pwani na mingineyo michache tena ikiwa na nguvu zaidi vijijini kuliko mijini katika mikoa hii.

Kwa upande wa Zanzibar, huko ndio kabisa wana hali mbaya kuanzia Pemba na sasa hata Unguja.

Kwa kifupi,CCM inaendelea kupoteza ngome zake zote na sasa inaanza kukataliwa hata katika maeneo mengi ya vijijini mfano mzuri ni huko Tarime katika mkoa wa Mara.

Habari ndio hio!

Nakuhurumia sana unavyohangaika na Lissu na mabepari wenu. Bora ujifariji japo kwenye keyboard yako pamoja na kwamba unafahamu wazi kuwa kwenye sanduku la kura Tundu Lissu hatapata hata kura milioni 2. Endelea kufanya hivyo pengine utapokea fedha zaidi kutoka kwa Robert na mabeberu wengine. Pole sana
 
CCM imekuwa ikipoteza uungwaji mkono katika maeneo mbalimbali ya nchi kwa muda sasa na chaguzi zimekuwa zikithibitisha ukweli huu.

CCM ilianza kufutika taratibu katika mikoa ya Kigoma,mikoa ya kanda ya kaskazini,ikaja Dar-es-salaam,kisha Mbeya,maeneo ya mijini na kwenye majiji nchi nzima hasa mwaka 2015 na hii 2020 inapoteza kanda karibu zote ambazo zilikuwa ngome yake mfano ni kanda ya kati na kanda ya kusini bila kusahau kanda ya ziwa ambako inafutika kwa kasi zaidi mwaka huu.

Kwa kanda ya kati,mkoa wa Dodoma pekee ndio unaoweza kuibeba CCM na wagombea wake kwa mwaka huu huku ikikabiliwa na hatari ya kukataliwa katika maeneo mengi ya mkoa wa Singida.

Katika mikoa iliyoko katika Kanda ya nyanda za juu kusini ,CCM ndio kabisa inatokomea na huku kote CHADEMA ndio inatawala na ACT ikiwa na nafasi ya kutawala maeneo mengi ya mkoa wa Kigoma kwa upande wa kanda ya Magharibi.

Kanda ya kusini(mikoa ya Lindi na Mtwara) nako mambo yanaendelea kuharibika na hii ilianza mwaka 2015 kutokana na issue ya gesi, na sasa issue ya korosho imekuja kuharibu zaidi na kuweka CCM pabaya zaidi.

Ukiacha Dodoma, CCM imebaki na mikoa kama Rukwa, Tabora,Tanga, Pwani na mingineyo michache tena ikiwa na nguvu zaidi vijijini kuliko mijini katika mikoa hii.

Kwa upande wa Zanzibar, huko ndio kabisa wana hali mbaya kuanzia Pemba na sasa hata Unguja.

Kwa kifupi,CCM inaendelea kupoteza ngome zake zote na sasa inaanza kukataliwa hata katika maeneo mengi ya vijijini mfano mzuri ni huko Tarime katika mkoa wa Mara.

Habari ndio hio!
HAHAHHAHA WAZEEE WA BAVICHA aka WAZEE WA FARAGHA
😂😂😂😂 unajua Kunawakati Unatakiwa kuja Na Mifano Hai kwa Mfano Hizo Kanda unazozitaja Ni WABUNGE WA CHAMA GANI WAPO WENGI kwwa Sasa Na Pia Historia Inasemaje Mpka Sasa Katika Majimbo unayosema sio Ngome ya CCM. Ni Kigezo kipi haswa Umetumia ...Tafiti za Kukaa Nyuma ya key Board baada ya Kula Viazi vitamu na maziwa mgando unakuja Kuropoka ropoka Kama Tundu Lissu jukwaaniii acheniii

Ukiwa na AKILI YA FARAGHA BANA MTULIEEE KABISA ACHENI KUTAPATAPA TUKUTANI SIKU YA KUAPISHWA UWANJAA UKIWA UNAWAKA KWA RANGI YA KIJANI NA NJANO
 
CCM imekuwa ikipoteza uungwaji mkono katika maeneo mbalimbali ya nchi kwa muda sasa na chaguzi zimekuwa zikithibitisha ukweli huu.

CCM ilianza kufutika taratibu katika mikoa ya Kigoma,mikoa ya kanda ya kaskazini, ikaja Dar-es-Salaam,vkisha Mbeya,vmaeneo ya mijini na kwenye majiji nchi nzima hasa mwaka 2015 na hii 2020 inapoteza kanda karibu zote ambazo zilikuwa ngome yake mfano ni kanda ya kati na kanda ya kusini bila kusahau kanda ya ziwa ambako inafutika kwa kasi zaidi mwaka huu.

Kwa kanda ya kati, mkoa wa Dodoma pekee ndio unaoweza kuibeba CCM na wagombea wake kwa mwaka huu huku ikikabiliwa na hatari ya kukataliwa katika maeneo mengi ya mkoa wa Singida.

Katika mikoa iliyoko katika Kanda ya Nyanda za Juu kusini, CCM ndio kabisa inatokomea na huku kote CHADEMA ndio inatawala na ACT ikiwa na nafasi ya kutawala maeneo mengi ya mkoa wa Kigoma kwa upande wa kanda ya Magharibi.

Kanda ya kusini (mikoa ya Lindi na Mtwara) nako mambo yanaendelea kuharibika na hii ilianza mwaka 2015 kutokana na issue ya gesi, na sasa issue ya korosho imekuja kuharibu zaidi na kuweka CCM pabaya zaidi.

Ukiacha Dodoma, CCM imebaki na mikoa kama Rukwa, Tabora,Tanga, Pwani na mingineyo michache tena ikiwa na nguvu zaidi vijijini kuliko mijini katika mikoa hii.

Kwa upande wa Zanzibar, huko ndio kabisa wana hali mbaya kuanzia Pemba na sasa hata Unguja.

Kwa kifupi, CCM inaendelea kupoteza ngome zake zote na sasa inaanza kukataliwa hata katika maeneo mengi ya vijijini mfano mzuri ni huko Tarime katika mkoa wa Mara.

Habari ndio hio!
CCM imebaki na vile vimikoa vya Kijinga Jinga tu
 
Back
Top Bottom