CCM imefanikiwa kuwashinda wapinzani kwa hoja mtandaoni

CCM imefanikiwa kuwashinda wapinzani kwa hoja mtandaoni

Endelea kuwadanganya mabwege wenzio
Ndio kazi yako,takwimu zinaonesha hivyo kwa muktadha wa observation, na ccm tuko wengi,hivyo endelea kumpigia magoti Mwakajoka hamna shida,wacha mabwege tuendelee kujipanga tuwapige mabao kwenye uchaguzi.
 
Si ndiyo tunashangaa ikifika wakati wa Uchaguzi chama kina haha kuiba kura!
 
Back
Top Bottom