Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Wako tayari ila bado uoga haujawatoka.wananchi wapo tayari? 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wako tayari ila bado uoga haujawatoka.wananchi wapo tayari? 😂
Bwetekeni"Imani" iko mpaka huko jeshini....
Jidanganye
Hata kwa wanajeshi wasio na imani pindi wakiwa macho...imani hiyo huwajia wakiwa usingizini...Kwani iko kwa wanajeshi wote?
Imani haibweteki...Bwetekeni
Wa mitandaoni ni watanzania wachache sana...tena waliokwenda shule....wengi wetu wala hatuna mawazo hayo ya KIHAINI....Wako tayari ila bado uoga haujawatoka.
[emoji1787]Katiba ya JMT na ile ya CCM ZOTE ziliundwa 1977 na Watu wale wale so zinafanana Mno [emoji1][emoji1][emoji1]
CCM imesajiliwa kwa mujibu wa sheria (by operation of the law), kwa kuwa tayari kilikuwepo, hizo strori zako za kuku na yai ni mere academic exercise. Kama CCM kingetakiwa kisajiliwe, nchi ingekuwa chini ya nani wakati kinasubiri kusajiliwa?!
CCM ni watanzania, na watanzania ni CCM, hafuwezi kukaribisha baba au mama wa kambo wakati mzazi (CCM) yupo, na anadunda
Kwa katiba ipi..Nchi ingekuwa chini ya serikali ya mpito ambayo ingeratibu usajili wa vyama vipya vya siasa, na kuandaa uchaguzi mkuu.
Kwa katiba ipi
SahihiNi mjinga tu anayeamini CCM inaweza kuondolewa madarakani katika Mazingira ya Katiba ya sasa
Waziri aliyesema Ni lazima CCM ishinde yuko sahihi kwa 100%
CCM ni Chama Dola ndio sababu kiiko Mahali kote Serikalini, Jeshini, Kanisani, Msikitini, Mpirani, Sokoni nk...nk
Ni vema tukaukubali ukweli
Soma Pia: Vyama mfu vya Upinzani kuitoa CCM madarakani haiwezekani na haitatokea milele, ila ikitokea huo ndio mwisho wa Tanzania
Ahsanteni Sana 😂
Sasa Kwa miaka yote kiliyokaa kwenye utawala ulitegemea kingekua tofauti na haya mawazo yako mkuu? Ingekua ni ajabu sana.Ni mjinga tu anayeamini CCM inaweza kuondolewa madarakani katika Mazingira ya Katiba ya sasa
Waziri aliyesema Ni lazima CCM ishinde yuko sahihi kwa 100%
CCM ni Chama Dola ndio sababu kiiko Mahali kote Serikalini, Jeshini, Kanisani, Msikitini, Mpirani, Sokoni nk...nk
Ni vema tukaukubali ukweli
Soma Pia: Vyama mfu vya Upinzani kuitoa CCM madarakani haiwezekani na haitatokea milele, ila ikitokea huo ndio mwisho wa Tanzania
Ahsanteni Sana 😂
Ufafanuzi mzuriUtaratibu wa Rais na Amiri Jeshi Mkuu kuwa Mwenyekiti wa CCM
Spika wa Bunge la JMT kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM
Mkuu wa Mkoa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama kuwa Mjumbe wa Kamati ya Siasa mkoani
Mkuu wa Wilaya na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama kuwa Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Wilaya
Nk.....nk 😂😂😂🔥
Hata KANU walikuwa hivyo. Walioko huko ulikotaja nao hawaitaki ccmNi mjinga tu anayeamini CCM inaweza kuondolewa madarakani katika Mazingira ya Katiba ya sasa
Waziri aliyesema Ni lazima CCM ishinde yuko sahihi kwa 100%
CCM ni Chama Dola ndio sababu kiiko Mahali kote Serikalini, Jeshini, Kanisani, Msikitini, Mpirani, Sokoni nk...nk
Ni vema tukaukubali ukweli
Soma Pia: Vyama mfu vya Upinzani kuitoa CCM madarakani haiwezekani na haitatokea milele, ila ikitokea huo ndio mwisho wa Tanzania
Ahsanteni Sana 😂
Hatubweteki ukweli unaujua. Wanaotoa siri mpaka namba za wasiojulikana wanaotoa kwa wapinzani? Haujui kuwa wamechoka na wanaangalia mustakabali wa maisha ya watoto wao baadayeBwetekeni
Shukran Yohanambatizaji. Hatimaye UMESEMA!Ni mjinga tu anayeamini CCM inaweza kuondolewa madarakani katika Mazingira ya Katiba ya sasa
Waziri aliyesema Ni lazima CCM ishinde yuko sahihi kwa 100%
CCM ni Chama Dola ndio sababu kiiko Mahali kote Serikalini, Jeshini, Kanisani, Msikitini, Mpirani, Sokoni nk...nk
Ni vema tukaukubali ukweli
Soma Pia: Vyama mfu vya Upinzani kuitoa CCM madarakani haiwezekani na haitatokea milele, ila ikitokea huo ndio mwisho wa Tanzania
Ahsanteni Sana 😂