Drifter
JF-Expert Member
- Jan 4, 2010
- 5,122
- 5,104
Hakuna unachoelewa.Zamani zipi hizo? Hao wa zamani si ndiyo hawa akina Jenista Mhagama, ndungulile na Ndalichako? Mbona wanaongea broken?
Wale wanasheria waliokuwa wanaitetea serikali kule nje kwenye zile kesi za uvunjwaji holela wa mikataba, si wazamani wale?
Mfano prof. Mduma na prof. Osolo, si wa zamani wale? Mbona wanaongea kwa shida sana??
Hiyo zamani mlikuwa mnasifiana ujinga tu.
Tumesoma hapa hapa. Shule za serikali. Tumefanya kazi kwenye serikali za nje na mashirika ya kimataifa miaka mingi kwa elimu hii hii ya shule za serikali za Tanzania. Na tumeheshimika sana.
Wewe unazungumzia wateule wa CCM kwa kigezo cha uchawa. Tanzania ina wasomi wa kweli wengi ndani na nje ya nchi. Nyinyi kwenye circles zenu za CCM mnazunguka na majina hayo hayo ya machawa mkifikiri ndio wasomi pekee walioko nchini.