CCM imekuwa ikiliea wanasiasa magaidi! Hii ni aibu

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Kwa muda mrefu chama chetu kimekuwa na ukaribu na Ccm.

Hata shughuli za kitaifa kama sherehe za uhuru na masuala mengi viongozi wetu wamekuwa wakialikwa.

Leo hii nimeshangaa kusikia kiongozi wa chama chetu ni gaidi na anafadhili ugaidi.

My take; Ccm nao walaumiwe kwa kukumbatia magaidi kwa muda mrefu.
 
Illogical argument. Hizi kesi ni za kupuuza. Tuachane na vihoja tujikite kwenye hoja kuu ya katiba mpya na tume huru inayowajibika moja kwa moja kwa watanzania.
 
Kama 🐷🐽 wa JF kaongea, sisi ni Nani tupinge.? Kubishana na nguruwe ni kujifananisha na nguruwe
 
Kama mwigulu kama sn.Siku Mungu atakapopiga gigo
 
Umebobea kuandika utopolo tu wewe taga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…