Pre GE2025 CCM ina Mengi ya kujifunza kwa CHADEMA Kwenye Uchaguzi

Pre GE2025 CCM ina Mengi ya kujifunza kwa CHADEMA Kwenye Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ila siku nyingine waweke bajeti ya akiba, wajumbe mpaka sasa hivi hawajanywa chai..!
hao wajumbe wakumbukwe kwa kazi nzito waliyoifanya, yafaa wapatiwe double posho kabla hawajaondoka hapo
 
Wote mmeona namna huu uchaguzi ulivyo kuwa wa wazi,

Tofauti na Ndio za CCm na Hapana zao
Sure mkuu yaan ni funzo sio wanafanya mambo kishabiki shabiki Mwasi Kitoko anasetiwa anaenda kuropoka kwa niaba ya wote wanaotaka na wasiotaka, vunja Katiba uunda Azimio la Mchongo Dodoma
 
Sure mkuu yaan ni funzo sio wanafanya mambo kishabiki shabiki Mwasi Kitoko anasetiwa anaenda kuropoka kwa niaba ya wote wanaotaka na wasiotaka, vunja Katiba uunda Azimio la Mchongo Dodoma
Eti Azimio la mchongo😂😂
Nyimbo za hovyo hovyo,machawa na wajumbe wanalingana akili
 
Back
Top Bottom