Pundamilia07
JF-Expert Member
- Oct 29, 2007
- 1,439
- 55
- Thread starter
-
- #21
Recruitment ya troops wapya imeanza kusuasua, sasa wameaamua ku-deploy reserves na retirees!!! lol
Masikini wameongezeka kwa kasi zaidi, mishahara na marupurupu ya viongozi wa serikali imeongezeka kwa ari zaidi, mfumuko wa bei umekuwa kwa nguvu zaidi
Hakuna taifa lililowahi kuendelea duniani kwa kuwekeza zaidi katika masuala ya jamii badala ya yale ya kiuchumi...
Yafuatayo ni machache kati ya mengi ambayo CCM na serikali yake iliahidi 2005 kwa wananchi na imetimiza.
AHADI: KUENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
Ujenzi wa miradi 15 ya barabara kwa kiwango cha lami yenye jumla ya urefu wa
Km. 1,398.6 imekamilishwa katika kipindi cha 2005 - 2010 huku ujenzi ambao
unaendelea ukiwa ni wa miradi 29 ya barabara zenye jumla ya Km. 2,536.4
AHADI: KUONGEZA BAJETI YA KILIMO NA KUKUZA SEKTA YA VIWANDA
Bajeti ya sekta ya kilimo imeongezeka kutoka asilimia 4.5 mwaka 2005
hadi asilimia 7.9 mwaka 2010 huku ukuaji wa sekta ya viwanda ukiongezeka kutoka asilimia 8.4 mwaka 2005 hadi asilimia 9.9 mwaka 2008.
Idadi ya wakulima wanaopata mbolea ya ruzuku imeongezeka kutoka wakulima 750,000 mwaka 2005/2006 hadi 2,076,710 mwaka 2009/2010 huku bajeti ya ruzuku ya pembejeo ikiongezeka kutoka bilioni 7.5 hadi bilioni 101.4 katika kipindi hicho cha miaka mitano.
Idadi ya wataalamu wa ugani walioajiriwa katika halmashauri imeongezeka kutoka wataalamu 3,379 mwaka 2007/2008 hadi 4,439 mwaka 2009/2010.
AHADI: KUKUZA NA KUBORESHA SEKTA YA ELIMU
Wanafunzi wanaojiunga na vyuo vikuu vilivyopo nchini Tanzania waliongezeka kutoka 55,296 mwaka 2005/2006 hadi 118,000mwaka 2009/2010.
Idadi ya vyuo vikuu imeongezeka kutoka vyuo vikuu 23 mwaka 2005 hadi kufikia vyuo 31 mwaka 2010.
Kuweza kujenga chuo kikuu cha Dodoma chenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 40,000 kwa mwaka na kwa sasa kina wanafunzi 17,282
Wanafunzi wanaomaliza elimu ya msingi na kuendelea na elimu ya sekondari wameongezeka kutoka 493,636 hadi 999,070 huku idadi ya wanafunzi wanaogharamiwa na serikali toka familia zenye kipato duni ikiongezeka toka 16,345 hadi 58,843. Ongezeko hili ni kati ya mwaka 2005 hadi mwaka 2009.
Uandikishaji katika elimu ya awali umeongezeka kutoka wanafunzi 638,591 hadi wanafunzi 889,363.
AHADI: KUKUZA NA KUBORESHA SEKTA YA AFYA
Kutoka mwaka 2005 hadi 2009,jumla ya zahanati 464,vituo vya afya 98 na nyumba za waganga 394 zilijengwa. Zahanati 1,037 vituo vya afya 285 na hospitali 112 zimekarabatiwa.
Vifo vya watoto wachanga vimepungua hadi kufikia 58 kwa kila watoto 1,000 wanaozaliwa hai mwaka 2009/2010.
AHADI: KUKUZA NA KUBORESHA SEKTA ZA MAJI
Huduma ya maji safi na salama kwa wakazi wa vijijini hapa nchini imeongezeka kutoka asilimia 58.7 mwaka 2005 hadi asilimia 60.1 mwaka 2009.
Fedha katika Mifuko ya maji zimeongezeka kutoka Sh bilioni 1.4 mwaka 2005 /2006 hadi bilioni 1.8 mwaka 2009/2010.
AHADI: KUBORESHA MASUALA YA KIJINSIA
Nafasi za wanawake katika ngazi ya maamuzi zimeongezeka kutoka asilimia 26 mwaka 2005 hadi 31 mwaka 2010.
Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko! CCM inapanda mbegu ya maendeleo, amani na utulivu.
Wenye uwezo wa kufikiri kama wewe ndo mnaipeleka nchi pabaya. CCM inapaswa kueleza kipindi chote ilipo kuwa madarakani imefanya nini na si kutoa ahadi. wanaopaswa kutoa ahadi ni wale ambao hawajaingia madarakani. Ukiona mnang'ang'ania ahadi, ujue mambo yamewashinda!!!!!!
Tunaomba na takwimu ya fedha zilizoibiwa kwa kipindi cha miaka 15 iliyopita.fedha zilizopotea kutokana na mikataba mibovu nchi iliyoingia.kiasi gani kimepotea kutokana matamuzi mabaya serikali kuu na halmashauri zetu.
Yafuatayo ni machache kati ya mengi ambayo CCM na serikali yake iliahidi 2005 kwa wananchi na imetimiza.
AHADI: KUENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
Ujenzi wa miradi 15 ya barabara kwa kiwango cha lami yenye jumla ya urefu wa
Km. 1,398.6 imekamilishwa katika kipindi cha 2005 - 2010 huku ujenzi ambao
unaendelea ukiwa ni wa miradi 29 ya barabara zenye jumla ya Km. 2,536.4
AHADI: KUONGEZA BAJETI YA KILIMO NA KUKUZA SEKTA YA VIWANDA
Bajeti ya sekta ya kilimo imeongezeka kutoka asilimia 4.5 mwaka 2005
hadi asilimia 7.9 mwaka 2010 huku ukuaji wa sekta ya viwanda ukiongezeka kutoka asilimia 8.4 mwaka 2005 hadi asilimia 9.9 mwaka 2008.
Idadi ya wakulima wanaopata mbolea ya ruzuku imeongezeka kutoka wakulima 750,000 mwaka 2005/2006 hadi 2,076,710 mwaka 2009/2010 huku bajeti ya ruzuku ya pembejeo ikiongezeka kutoka bilioni 7.5 hadi bilioni 101.4 katika kipindi hicho cha miaka mitano.
Idadi ya wataalamu wa ugani walioajiriwa katika halmashauri imeongezeka kutoka wataalamu 3,379 mwaka 2007/2008 hadi 4,439 mwaka 2009/2010.
AHADI: KUKUZA NA KUBORESHA SEKTA YA ELIMU
Wanafunzi wanaojiunga na vyuo vikuu vilivyopo nchini Tanzania waliongezeka kutoka 55,296 mwaka 2005/2006 hadi 118,000mwaka 2009/2010.
Idadi ya vyuo vikuu imeongezeka kutoka vyuo vikuu 23 mwaka 2005 hadi kufikia vyuo 31 mwaka 2010.
Kuweza kujenga chuo kikuu cha Dodoma chenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 40,000 kwa mwaka na kwa sasa kina wanafunzi 17,282
Wanafunzi wanaomaliza elimu ya msingi na kuendelea na elimu ya sekondari wameongezeka kutoka 493,636 hadi 999,070 huku idadi ya wanafunzi wanaogharamiwa na serikali toka familia zenye kipato duni ikiongezeka toka 16,345 hadi 58,843. Ongezeko hili ni kati ya mwaka 2005 hadi mwaka 2009.
Uandikishaji katika elimu ya awali umeongezeka kutoka wanafunzi 638,591 hadi wanafunzi 889,363.
AHADI: KUKUZA NA KUBORESHA SEKTA YA AFYA
Kutoka mwaka 2005 hadi 2009,jumla ya zahanati 464,vituo vya afya 98 na nyumba za waganga 394 zilijengwa. Zahanati 1,037 vituo vya afya 285 na hospitali 112 zimekarabatiwa.
Vifo vya watoto wachanga vimepungua hadi kufikia 58 kwa kila watoto 1,000 wanaozaliwa hai mwaka 2009/2010.
AHADI: KUKUZA NA KUBORESHA SEKTA ZA MAJI
Huduma ya maji safi na salama kwa wakazi wa vijijini hapa nchini imeongezeka kutoka asilimia 58.7 mwaka 2005 hadi asilimia 60.1 mwaka 2009.
Fedha katika Mifuko ya maji zimeongezeka kutoka Sh bilioni 1.4 mwaka 2005 /2006 hadi bilioni 1.8 mwaka 2009/2010.
AHADI: KUBORESHA MASUALA YA KIJINSIA
Nafasi za wanawake katika ngazi ya maamuzi zimeongezeka kutoka asilimia 26 mwaka 2005 hadi 31 mwaka 2010.
Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko! CCM inapanda mbegu ya maendeleo, amani na utulivu.
Yafuatayo ni machache kati ya mengi ambayo CCM na serikali yake iliahidi 2005 kwa wananchi na imetimiza.
AHADI: KUENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
Ujenzi wa miradi 15 ya barabara kwa kiwango cha lami yenye jumla ya urefu wa
Km. 1,398.6 imekamilishwa katika kipindi cha 2005 - 2010 huku ujenzi ambao
unaendelea ukiwa ni wa miradi 29 ya barabara zenye jumla ya Km. 2,536.4
AHADI: KUONGEZA BAJETI YA KILIMO NA KUKUZA SEKTA YA VIWANDA
Bajeti ya sekta ya kilimo imeongezeka kutoka asilimia 4.5 mwaka 2005
hadi asilimia 7.9 mwaka 2010 huku ukuaji wa sekta ya viwanda ukiongezeka kutoka asilimia 8.4 mwaka 2005 hadi asilimia 9.9 mwaka 2008.
Idadi ya wakulima wanaopata mbolea ya ruzuku imeongezeka kutoka wakulima 750,000 mwaka 2005/2006 hadi 2,076,710 mwaka 2009/2010 huku bajeti ya ruzuku ya pembejeo ikiongezeka kutoka bilioni 7.5 hadi bilioni 101.4 katika kipindi hicho cha miaka mitano.
Idadi ya wataalamu wa ugani walioajiriwa katika halmashauri imeongezeka kutoka wataalamu 3,379 mwaka 2007/2008 hadi 4,439 mwaka 2009/2010.
AHADI: KUKUZA NA KUBORESHA SEKTA YA ELIMU
Wanafunzi wanaojiunga na vyuo vikuu vilivyopo nchini Tanzania waliongezeka kutoka 55,296 mwaka 2005/2006 hadi 118,000mwaka 2009/2010.
Idadi ya vyuo vikuu imeongezeka kutoka vyuo vikuu 23 mwaka 2005 hadi kufikia vyuo 31 mwaka 2010.
Kuweza kujenga chuo kikuu cha Dodoma chenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 40,000 kwa mwaka na kwa sasa kina wanafunzi 17,282
Wanafunzi wanaomaliza elimu ya msingi na kuendelea na elimu ya sekondari wameongezeka kutoka 493,636 hadi 999,070 huku idadi ya wanafunzi wanaogharamiwa na serikali toka familia zenye kipato duni ikiongezeka toka 16,345 hadi 58,843. Ongezeko hili ni kati ya mwaka 2005 hadi mwaka 2009.
Uandikishaji katika elimu ya awali umeongezeka kutoka wanafunzi 638,591 hadi wanafunzi 889,363.
AHADI: KUKUZA NA KUBORESHA SEKTA YA AFYA
Kutoka mwaka 2005 hadi 2009,jumla ya zahanati 464,vituo vya afya 98 na nyumba za waganga 394 zilijengwa. Zahanati 1,037 vituo vya afya 285 na hospitali 112 zimekarabatiwa.
Vifo vya watoto wachanga vimepungua hadi kufikia 58 kwa kila watoto 1,000 wanaozaliwa hai mwaka 2009/2010.
AHADI: KUKUZA NA KUBORESHA SEKTA ZA MAJI
Huduma ya maji safi na salama kwa wakazi wa vijijini hapa nchini imeongezeka kutoka asilimia 58.7 mwaka 2005 hadi asilimia 60.1 mwaka 2009.
Fedha katika Mifuko ya maji zimeongezeka kutoka Sh bilioni 1.4 mwaka 2005 /2006 hadi bilioni 1.8 mwaka 2009/2010.
AHADI: KUBORESHA MASUALA YA KIJINSIA
Nafasi za wanawake katika ngazi ya maamuzi zimeongezeka kutoka asilimia 26 mwaka 2005 hadi 31 mwaka 2010.
Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko! CCM inapanda mbegu ya maendeleo, amani na utulivu.
Uzuri wa rekodi, siyo lazima iwe nzuri... hivyo pundamilia nakupongeza sana kwa kuleta hiyo rekodi ambayo kwangu naiona ni mbaya hasa ukizingati yafuatayo
Miundombinu iliyoboreshwa niile iliyokua kwenye mpango before na ukuaji wake hauendani na ukuaji wa mahitaji
Kwenye kilimo naona mmenufaisha zaidi akina manji na wenzake kiasi cha kutoa agizo la power tiller hata kwenye milima na mabonde kama lushoto
Kwenye elimu mmesaidia sana kuongeza shule za kata na hivyo kufanya baadhi ya makabila kudumaa kielimu mojakwamoja --- kata nyingi za vijijini hazina walimu hivyo basi hakuna kitakachotoka: garbage in, garbage out!!
kwenye afya sisi ndio wa mwisho kwa ubora wa huduma ya mama na mtoto na tunaongoza (EAF) kwa vifo vya akina mama na watoto, hatuna maabara, hatuna good supply system na tunaongoza kwa kukosa wataalam
Kwenye maji sisemi sana maana nilimuona rais wangu mpendwa akimtwisha ndoo bibi wa watu
Kwenye JINSIA NAUNGA MKONO
Yafuatayo ni machache kati ya mengi ambayo CCM na serikali yake iliahidi 2005 kwa wananchi na imetimiza.
AHADI: KUENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
Ujenzi wa miradi 15 ya barabara kwa kiwango cha lami yenye jumla ya urefu wa
Km. 1,398.6 imekamilishwa katika kipindi cha 2005 - 2010 huku ujenzi ambao
unaendelea ukiwa ni wa miradi 29 ya barabara zenye jumla ya Km. 2,536.4- Mkuu naomba tutofautishe barabara za Mkapa v/s za JK, kwani kwa Mkapa rekodi yake wote humu ndani tunaikubali tofautisha na JK. Hapa sitaenda mbali kwani nafanyia kazi hili.
AHADI: KUONGEZA BAJETI YA KILIMO NA KUKUZA SEKTA YA VIWANDA
Bajeti ya sekta ya kilimo imeongezeka kutoka asilimia 4.5 mwaka 2005
hadi asilimia 7.9 mwaka 2010 huku ukuaji wa sekta ya viwanda ukiongezeka kutoka asilimia 8.4 mwaka 2005 hadi asilimia 9.9 mwaka 2008.- Mkuu unaweza kunisaidia kulinganisha/kuoanisha ukuaji wa viwanda kwa miaka hii mitano na volume za export tulizouza na effect iliyokuja katika uchumu; maana figure ulizotoa si haba. Natumaini wote humu ndani tutafurahi kukiwa na uhusiano wa mambo haya isje ikawa tuna figure zisizo na uwiano katika ukuaji wa uchumi wetu.
Idadi ya wakulima wanaopata mbolea ya ruzuku imeongezeka kutoka wakulima 750,000 mwaka 2005/2006 hadi 2,076,710 mwaka 2009/2010 huku bajeti ya ruzuku ya pembejeo ikiongezeka kutoka bilioni 7.5 hadi bilioni 101.4 katika kipindi hicho cha miaka mitano.- Vipi kuhusu controls kuhakikisha ruzuku tuliyotoa katika mbolea imefika kwa walengwa? Wote humu ndani tutakumbuka jinsi ambavyo vocha za takribani bilioni 26 zilivyopotea Rukwa, zikamuingiza matatani mkuu wa mkoa aliyekataa kujiuzuru, ati anasubiri muungwana ndo aamue. Ukweli ni kuwa hizi figure zote ni za kisiasa; hazina msaada wowote kwa wakulima, naamini utakubaliana na mimi kuwa zile vocha chanzo cha kupotea ni bei kubwa mkulima anayotakiwa kulipa; matokeo yake walalnguzi wanazinunua na kuziuza malawi na DRC, to name few!!!
Idadi ya wataalamu wa ugani walioajiriwa katika halmashauri imeongezeka kutoka wataalamu 3,379 mwaka 2007/2008 hadi 4,439 mwaka 2009/2010.- No comment
AHADI: KUKUZA NA KUBORESHA SEKTA YA ELIMU
Wanafunzi wanaojiunga na vyuo vikuu vilivyopo nchini Tanzania waliongezeka kutoka 55,296 mwaka 2005/2006 hadi 118,000mwaka 2009/2010.- Mkuu nakubaliana na figures, lakini vipi uhalisia; hizi figures zimepandishwa kisiasa, hata hao wa UDOM, najua una habari kuwa mwaka huu imebidi UDOM ichukue wananfunzi wachache maana miundombinu chuoni bado haijakamilika, kuna tatizo kubwa la sewerage handling!!! Chuo kimeanza kazi wakati bado muda!!! Ukweli ni kuwa mlianza mapema ili tu kutuletea idadi isiyo kwani mnajua ni rahisis kuwahadaa waTZ
Idadi ya vyuo vikuu imeongezeka kutoka vyuo vikuu 23 mwaka 2005 hadi kufikia vyuo 31 mwaka 2010.
Kuweza kujenga chuo kikuu cha Dodoma chenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 40,000 kwa mwaka na kwa sasa kina wanafunzi 17,282- Rubbish chuo bado hakiko sawa, achilia mbali walimu, UDOM inahaha hadi leo kutafuta walimu, hakukuwa na mkakati wa kujiandaa kutoa walimu watakaofundisha huko, as a result wakati kinaanza kikakumbwa na kashfa ya kuajiri walimu wenye degree feki!!!
Wanafunzi wanaomaliza elimu ya msingi na kuendelea na elimu ya sekondari wameongezeka kutoka 493,636 hadi 999,070 huku idadi ya wanafunzi wanaogharamiwa na serikali toka familia zenye kipato duni ikiongezeka toka 16,345 hadi 58,843. Ongezeko hili ni kati ya mwaka 2005 hadi mwaka 2009.- Imekaa kisiasa zaidi mkuu; imebainika zaidi ya nusu ya wanafunzi wanaomaliza elimu ya msingi hawawezi kuandika na kusoma vizuri, sasa hii idadi itatupeleka wapi? Nyinyi mnapima mafanikio yenu kwa idadi tu!!! Ubora kwenu mwiko!!! Hii nayo haina maana mkuu, tunataka kama ni wanafunzi wa shule za msingi watoke wakiwa na uwezo!! Sekondari ndo usiseme!! Wanafunzi wetu wa kata bure kabisa, shule hizo ni sawa na hakuna kabisa wote tunajua, need i say more!!!
]