CCM ina tatizo la kuwa-brand watu wasio na uwezo.

CCM ina tatizo la kuwa-brand watu wasio na uwezo.

Tao

Senior Member
Joined
Nov 10, 2018
Posts
105
Reaction score
195
Ndani ya mfumo wa CCM na hata serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamejazana viongozi/watendaji wasio na uwezo na hii inatokana na kutokuwepo vetting system inayoeleweka.

Huwezi kujenga taifa Bora kama hauna vetting system.sisi hata vetting system hatujui maana yake.

Sifa pekee ya kupata nafasi ya uongozi ndani ya CCM ni kuwa na mtu mmoja au watu kadhaa wenye access kwa Rais na mamlaka zingine za uteuzi.huyu au hao watu wakikusemea basi game is over.

Sifa nyingine inaweza kuwa fitna,majungu na kujipendekeza na nyingine yenye nguvu ni kuwa mtoto wa au kimada wa wastaafu.

Unakuwaje na taifa lenye utitiri wa viongozi wasio waadilifu kiasi hiki? Wapiga dili kila Kona, viongozi wanaosaka umaarufu, washamba, waliojaa elements za ukabila na udini, wazembe, wenye kiburi na wasio na maono

Ubunifu uko wapi? Mbona hakuna mipango yenye akili kubwa ya muda mrefu?

Viongozi wetu wengi siyo analytical yaani hawana uwezo wa kuchambua mambo na hawana maarifa wala ujuzi katika kutatua matatizo ya wananchi

Nina uhakika kuwa CCM inaongozwa na watu wasio na uwezo, wenye uwezo wako nje ya mfumo.

si miaka ya hivi karibuni CCM ilimteua Kulwa Milonge kuwa katibu wa CCM mkoa wa Morogoro? Mtu ambaye baadaye ilibainika hajui kusoma na kuandika. Yeye alikuwa mcheza ndombolo pale VIJANA JAZZ BAND. Siku hizi ameshushwa kuwa katibu wa Wilaya.

Sasa huko wilayani anafanya nini?

Leo hii Jokate Mwegelo ndiyo mtendaji wa UVCCM taifa?Hivi hii inawezekana?

Lakini watazame watendaji wa CCM wilaya na Mikoa.wengi wao hawajui kabisa wanachokifanya na ndiyo maana CCM inaendelea kuongoza nchi kutokana na nguvu kubwa inayotumiwa na vyombo vya ulinzi na usalama na masuala mengine ya kimataifa, CCM kama chama haina uwezo tena wa kushinda uchaguzi bila kutegemea vyombo hivyo kwani mfumo wake ni wa hovyo ambao watu wajinga wamepewa madaraka makubwa.

CCM hawana database maalumu ya makada wao,mfano huyu ni nani hasa?yuko wapi? Anafanya nini,amesomea nini? Ana kipaji gani na kadhalika.Hii ingekisaidia Chama hicho katika vetting system.

Hata ndani ya mfumo wa serikali hakuna mfumo maalumu ambao ni independent na imara unaofanya Kazi kwa weledi na kwa kufikiria maslahi mapana ya taifa.

Rais Dr Samia Suluhu Hassan anapata shida anapofanya uteuzi kwani hakuna mfumo unaomwezesha kuwatambua watu ipasavyo na badala yake anaona majina yaleyale kila siku na hivyo kusababisha tatizo lingine la Leadership recycling.

Hivi unajua Petro Magoti juzijuzi tu ndiyo ametolewa ikulu? Hivi Petro Magoti anaweza kumshauri kitu gani Rais? Petro Magoti ana sifa ya kufanya kazi ikulu?

Sisemi haya kwasababu ni mlemavu lahasha, nasema kwa kuwa najua hana uwezo na ndiyo maana kitu pekee alichokuwa anafanya Ikulu ni kuwagombanisha wenzake.

Na kwasababu wanaoteua hawajui wanachokifanya Magoti leo hii ni DC wa Kisarawe.mimi nisingemteua nafasi hiyo.

Ningeweza kumteua nafasi ya Katibu Tawala wa Wilaya( DAS)ili akamsaidie DC kwenye masuala ya kijamii kwasababu hawezi pilikapilika za U-DC. na siyo Administrator mzuri.

Kwenye vetting system lazima muwe na uwezo wa kutenganisha nafasi za kisiasa na za utendaji.

Nataja majina machache tu kama mfano na majungu siyo sehemu yangu ya maisha

Ifike mahali tubadilike, tupunguze uswahili ili tuweze kujenga taifa bora.

Tazama viongozi wetu wengi wanapohutubia, hawahutubii Kwa hisia kali, kuzungumza kwa hisia ni muhimu sana kwani kunaonyesha "unaguswa"

Tuamke.

Tanzania inatakiwa kuwa nchi muhimu Afrika na Dunia Kwa ujumla lakini hatuwezi kufika huko kama mfumo wetu wa uongozi umejaa watu wasio na sifa za uongozi.

Mungu Ibariki Afrika
Mungu Ibariki Tanzania

Mungu Mbariki Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan na serikali ya Tanzania.

Amen
 
Ndani ya mfumo wa CCM na hata serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamejazana viongozi/watendaji wasio na uwezo na hii inatokana na kutokuwepo vetting system inayoeleweka.

Huwezi kujenga taifa Bora kama hauna vetting system.sisi hata vetting system hatujui maana yake.

Sifa pekee ya kupata nafasi ya uongozi ndani ya CCM ni kuwa na mtu mmoja au watu kadhaa wenye access kwa Rais na mamlaka zingine za uteuzi.huyu au hao watu wakikusemea basi game is over.

Sifa nyingine inaweza kuwa fitna,majungu na kujipendekeza na nyingine yenye nguvu ni kuwa mtoto wa au kimada wa wastaafu.

Unakuwaje na taifa lenye utitiri wa viongozi wasio waadilifu kiasi hiki? Wapiga dili kila Kona, viongozi wanaosaka umaarufu, washamba, waliojaa elements za ukabila na udini, wazembe, wenye kiburi na wasio na maono

Ubunifu uko wapi? Mbona hakuna mipango yenye akili kubwa ya muda mrefu?

Viongozi wetu wengi siyo analytical yaani hawana uwezo wa kuchambua mambo na hawana maarifa wala ujuzi katika kutatua matatizo ya wananchi

Nina uhakika kuwa CCM inaongozwa na watu wasio na uwezo, wenye uwezo wako nje ya mfumo.

si miaka ya hivi karibuni CCM ilimteua Kulwa Milonge kuwa katibu wa CCM mkoa wa Morogoro? Mtu ambaye baadaye ilibainika hajui kusoma na kuandika. Yeye alikuwa mcheza ndombolo pale VIJANA JAZZ BAND. Siku hizi ameshushwa kuwa katibu wa Wilaya.

Sasa huko wilayani anafanya nini?

Leo hii Jokate Mwegelo ndiyo mtendaji wa UVCCM taifa?Hivi hii inawezekana?

Lakini watazame watendaji wa CCM wilaya na Mikoa.wengi wao hawajui kabisa wanachokifanya na ndiyo maana CCM inaendelea kuongoza nchi kutokana na nguvu kubwa inayotumiwa na vyombo vya ulinzi na usalama na masuala mengine ya kimataifa, CCM kama chama haina uwezo tena wa kushinda uchaguzi bila kutegemea vyombo hivyo kwani mfumo wake ni wa hovyo ambao watu wajinga wamepewa madaraka makubwa.

CCM hawana database maalumu ya makada wao,mfano huyu ni nani hasa?yuko wapi? Anafanya nini,amesomea nini? Ana kipaji gani na kadhalika.Hii ingekisaidia Chama hicho katika vetting system.

Hata ndani ya mfumo wa serikali hakuna mfumo maalumu ambao ni independent na imara unaofanya Kazi kwa weledi na kwa kufikiria maslahi mapana ya taifa.

Rais Dr Samia Suluhu Hassan anapata shida anapofanya uteuzi kwani hakuna mfumo unaomwezesha kuwatambua watu ipasavyo na badala yake anaona majina yaleyale kila siku na hivyo kusababisha tatizo lingine la Leadership recycling.

Hivi unajua Petro Magoti juzijuzi tu ndiyo ametolewa ikulu? Hivi Petro Magoti anaweza kumshauri kitu gani Rais? Petro Magoti ana sifa ya kufanya kazi ikulu?

Sisemi haya kwasababu ni mlemavu lahasha, nasema kwa kuwa najua hana uwezo na ndiyo maana kitu pekee alichokuwa anafanya Ikulu ni kuwagombanisha wenzake.

Na kwasababu wanaoteua hawajui wanachokifanya Magoti leo hii ni DC wa Kisarawe.mimi nisingemteua nafasi hiyo.

Ningeweza kumteua nafasi ya Katibu Tawala wa Wilaya( DAS)ili akamsaidie DC kwenye masuala ya kijamii kwasababu hawezi pilikapilika za U-DC. na siyo Administrator mzuri.

Kwenye vetting system lazima muwe na uwezo wa kutenganisha nafasi za kisiasa na za utendaji.

Nataja majina machache tu kama mfano na majungu siyo sehemu yangu ya maisha

Ifike mahali tubadilike, tupunguze uswahili ili tuweze kujenga taifa bora.

Tazama viongozi wetu wengi wanapohutubia, hawahutubii Kwa hisia kali, kuzungumza kwa hisia ni muhimu sana kwani kunaonyesha "unaguswa"

Tuamke.

Tanzania inatakiwa kuwa nchi muhimu Afrika na Dunia Kwa ujumla lakini hatuwezi kufika huko kama mfumo wetu wa uongozi umejaa watu wasio na sifa za uongozi.

Mungu Ibariki Afrika
Mungu Ibariki Tanzania

Mungu Mbariki Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan na serikali ya Tanzania.

Amen
Watapita kimya kimya kama hawalioni bandiko ila kandidates wasio na uwezo mi wengi na huko juu kumeoza sana
 
Ndani ya mfumo wa CCM na hata serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamejazana viongozi/watendaji wasio na uwezo na hii inatokana na kutokuwepo vetting system inayoeleweka.

Huwezi kujenga taifa Bora kama hauna vetting system.sisi hata vetting system hatujui maana yake.

Sifa pekee ya kupata nafasi ya uongozi ndani ya CCM ni kuwa na mtu mmoja au watu kadhaa wenye access kwa Rais na mamlaka zingine za uteuzi.huyu au hao watu wakikusemea basi game is over.

Sifa nyingine inaweza kuwa fitna,majungu na kujipendekeza na nyingine yenye nguvu ni kuwa mtoto wa au kimada wa wastaafu.

Unakuwaje na taifa lenye utitiri wa viongozi wasio waadilifu kiasi hiki? Wapiga dili kila Kona, viongozi wanaosaka umaarufu, washamba, waliojaa elements za ukabila na udini, wazembe, wenye kiburi na wasio na maono

Ubunifu uko wapi? Mbona hakuna mipango yenye akili kubwa ya muda mrefu?

Viongozi wetu wengi siyo analytical yaani hawana uwezo wa kuchambua mambo na hawana maarifa wala ujuzi katika kutatua matatizo ya wananchi

Nina uhakika kuwa CCM inaongozwa na watu wasio na uwezo, wenye uwezo wako nje ya mfumo.

si miaka ya hivi karibuni CCM ilimteua Kulwa Milonge kuwa katibu wa CCM mkoa wa Morogoro? Mtu ambaye baadaye ilibainika hajui kusoma na kuandika. Yeye alikuwa mcheza ndombolo pale VIJANA JAZZ BAND. Siku hizi ameshushwa kuwa katibu wa Wilaya.

Sasa huko wilayani anafanya nini?

Leo hii Jokate Mwegelo ndiyo mtendaji wa UVCCM taifa?Hivi hii inawezekana?

Lakini watazame watendaji wa CCM wilaya na Mikoa.wengi wao hawajui kabisa wanachokifanya na ndiyo maana CCM inaendelea kuongoza nchi kutokana na nguvu kubwa inayotumiwa na vyombo vya ulinzi na usalama na masuala mengine ya kimataifa, CCM kama chama haina uwezo tena wa kushinda uchaguzi bila kutegemea vyombo hivyo kwani mfumo wake ni wa hovyo ambao watu wajinga wamepewa madaraka makubwa.

CCM hawana database maalumu ya makada wao,mfano huyu ni nani hasa?yuko wapi? Anafanya nini,amesomea nini? Ana kipaji gani na kadhalika.Hii ingekisaidia Chama hicho katika vetting system.

Hata ndani ya mfumo wa serikali hakuna mfumo maalumu ambao ni independent na imara unaofanya Kazi kwa weledi na kwa kufikiria maslahi mapana ya taifa.

Rais Dr Samia Suluhu Hassan anapata shida anapofanya uteuzi kwani hakuna mfumo unaomwezesha kuwatambua watu ipasavyo na badala yake anaona majina yaleyale kila siku na hivyo kusababisha tatizo lingine la Leadership recycling.

Hivi unajua Petro Magoti juzijuzi tu ndiyo ametolewa ikulu? Hivi Petro Magoti anaweza kumshauri kitu gani Rais? Petro Magoti ana sifa ya kufanya kazi ikulu?

Sisemi haya kwasababu ni mlemavu lahasha, nasema kwa kuwa najua hana uwezo na ndiyo maana kitu pekee alichokuwa anafanya Ikulu ni kuwagombanisha wenzake.

Na kwasababu wanaoteua hawajui wanachokifanya Magoti leo hii ni DC wa Kisarawe.mimi nisingemteua nafasi hiyo.

Ningeweza kumteua nafasi ya Katibu Tawala wa Wilaya( DAS)ili akamsaidie DC kwenye masuala ya kijamii kwasababu hawezi pilikapilika za U-DC. na siyo Administrator mzuri.

Kwenye vetting system lazima muwe na uwezo wa kutenganisha nafasi za kisiasa na za utendaji.

Nataja majina machache tu kama mfano na majungu siyo sehemu yangu ya maisha

Ifike mahali tubadilike, tupunguze uswahili ili tuweze kujenga taifa bora.

Tazama viongozi wetu wengi wanapohutubia, hawahutubii Kwa hisia kali, kuzungumza kwa hisia ni muhimu sana kwani kunaonyesha "unaguswa"

Tuamke.

Tanzania inatakiwa kuwa nchi muhimu Afrika na Dunia Kwa ujumla lakini hatuwezi kufika huko kama mfumo wetu wa uongozi umejaa watu wasio na sifa za uongozi.

Mungu Ibariki Afrika
Mungu Ibariki Tanzania

Mungu Mbariki Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan na serikali ya Tanzania.

Amen
We'll said
 
Ndani ya mfumo wa CCM na hata serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamejazana viongozi/watendaji wasio na uwezo na hii inatokana na kutokuwepo vetting system inayoeleweka.

Huwezi kujenga taifa Bora kama hauna vetting system.sisi hata vetting system hatujui maana yake.

Sifa pekee ya kupata nafasi ya uongozi ndani ya CCM ni kuwa na mtu mmoja au watu kadhaa wenye access kwa Rais na mamlaka zingine za uteuzi.huyu au hao watu wakikusemea basi game is over.

Sifa nyingine inaweza kuwa fitna,majungu na kujipendekeza na nyingine yenye nguvu ni kuwa mtoto wa au kimada wa wastaafu.

Unakuwaje na taifa lenye utitiri wa viongozi wasio waadilifu kiasi hiki? Wapiga dili kila Kona, viongozi wanaosaka umaarufu, washamba, waliojaa elements za ukabila na udini, wazembe, wenye kiburi na wasio na maono

Ubunifu uko wapi? Mbona hakuna mipango yenye akili kubwa ya muda mrefu?

Viongozi wetu wengi siyo analytical yaani hawana uwezo wa kuchambua mambo na hawana maarifa wala ujuzi katika kutatua matatizo ya wananchi

Nina uhakika kuwa CCM inaongozwa na watu wasio na uwezo, wenye uwezo wako nje ya mfumo.

si miaka ya hivi karibuni CCM ilimteua Kulwa Milonge kuwa katibu wa CCM mkoa wa Morogoro? Mtu ambaye baadaye ilibainika hajui kusoma na kuandika. Yeye alikuwa mcheza ndombolo pale VIJANA JAZZ BAND. Siku hizi ameshushwa kuwa katibu wa Wilaya.

Sasa huko wilayani anafanya nini?

Leo hii Jokate Mwegelo ndiyo mtendaji wa UVCCM taifa?Hivi hii inawezekana?

Lakini watazame watendaji wa CCM wilaya na Mikoa.wengi wao hawajui kabisa wanachokifanya na ndiyo maana CCM inaendelea kuongoza nchi kutokana na nguvu kubwa inayotumiwa na vyombo vya ulinzi na usalama na masuala mengine ya kimataifa, CCM kama chama haina uwezo tena wa kushinda uchaguzi bila kutegemea vyombo hivyo kwani mfumo wake ni wa hovyo ambao watu wajinga wamepewa madaraka makubwa.

CCM hawana database maalumu ya makada wao,mfano huyu ni nani hasa?yuko wapi? Anafanya nini,amesomea nini? Ana kipaji gani na kadhalika.Hii ingekisaidia Chama hicho katika vetting system.

Hata ndani ya mfumo wa serikali hakuna mfumo maalumu ambao ni independent na imara unaofanya Kazi kwa weledi na kwa kufikiria maslahi mapana ya taifa.

Rais Dr Samia Suluhu Hassan anapata shida anapofanya uteuzi kwani hakuna mfumo unaomwezesha kuwatambua watu ipasavyo na badala yake anaona majina yaleyale kila siku na hivyo kusababisha tatizo lingine la Leadership recycling.

Hivi unajua Petro Magoti juzijuzi tu ndiyo ametolewa ikulu? Hivi Petro Magoti anaweza kumshauri kitu gani Rais? Petro Magoti ana sifa ya kufanya kazi ikulu?

Sisemi haya kwasababu ni mlemavu lahasha, nasema kwa kuwa najua hana uwezo na ndiyo maana kitu pekee alichokuwa anafanya Ikulu ni kuwagombanisha wenzake.

Na kwasababu wanaoteua hawajui wanachokifanya Magoti leo hii ni DC wa Kisarawe.mimi nisingemteua nafasi hiyo.

Ningeweza kumteua nafasi ya Katibu Tawala wa Wilaya( DAS)ili akamsaidie DC kwenye masuala ya kijamii kwasababu hawezi pilikapilika za U-DC. na siyo Administrator mzuri.

Kwenye vetting system lazima muwe na uwezo wa kutenganisha nafasi za kisiasa na za utendaji.

Nataja majina machache tu kama mfano na majungu siyo sehemu yangu ya maisha

Ifike mahali tubadilike, tupunguze uswahili ili tuweze kujenga taifa bora.

Tazama viongozi wetu wengi wanapohutubia, hawahutubii Kwa hisia kali, kuzungumza kwa hisia ni muhimu sana kwani kunaonyesha "unaguswa"

Tuamke.

Tanzania inatakiwa kuwa nchi muhimu Afrika na Dunia Kwa ujumla lakini hatuwezi kufika huko kama mfumo wetu wa uongozi umejaa watu wasio na sifa za uongozi.

Mungu Ibariki Afrika
Mungu Ibariki Tanzania

Mungu Mbariki Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan na serikali ya Tanzania.

Amen
Bashungwa, Ndumbaro, Biteko, Mchengerwa, kihenzile, ndejembi..nk
Sifa: mnyenyekevu, hana makuu..
Nchi imejaa uharamia wa aina zote eti unahitaji mtu mnyenyekevu asiyependa makuu..! It's peculiar!
Wanaofanya vetting wanataka watu wenye sifa ya kondoo, hawezi kuhoji, mnafiki, a yes man..ili iwe rahisi kushika masikio..twende huku, pita kushoto..bila kuhoji WHY?? ili kulinda maslahi yao! CEO's na Board members wote kwenye mashirika ya umma ni watu wenye sifa ya kondoo..kondoo ni mnyama muoga mwenye hofu wakati wote..
 
Ndani ya mfumo wa CCM na hata serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamejazana viongozi/watendaji wasio na uwezo na hii inatokana na kutokuwepo vetting system inayoeleweka.

Huwezi kujenga taifa Bora kama hauna vetting system.sisi hata vetting system hatujui maana yake.

Sifa pekee ya kupata nafasi ya uongozi ndani ya CCM ni kuwa na mtu mmoja au watu kadhaa wenye access kwa Rais na mamlaka zingine za uteuzi.huyu au hao watu wakikusemea basi game is over.

Sifa nyingine inaweza kuwa fitna,majungu na kujipendekeza na nyingine yenye nguvu ni kuwa mtoto wa au kimada wa wastaafu.

Unakuwaje na taifa lenye utitiri wa viongozi wasio waadilifu kiasi hiki? Wapiga dili kila Kona, viongozi wanaosaka umaarufu, washamba, waliojaa elements za ukabila na udini, wazembe, wenye kiburi na wasio na maono

Ubunifu uko wapi? Mbona hakuna mipango yenye akili kubwa ya muda mrefu?

Viongozi wetu wengi siyo analytical yaani hawana uwezo wa kuchambua mambo na hawana maarifa wala ujuzi katika kutatua matatizo ya wananchi

Nina uhakika kuwa CCM inaongozwa na watu wasio na uwezo, wenye uwezo wako nje ya mfumo.

si miaka ya hivi karibuni CCM ilimteua Kulwa Milonge kuwa katibu wa CCM mkoa wa Morogoro? Mtu ambaye baadaye ilibainika hajui kusoma na kuandika. Yeye alikuwa mcheza ndombolo pale VIJANA JAZZ BAND. Siku hizi ameshushwa kuwa katibu wa Wilaya.

Sasa huko wilayani anafanya nini?

Leo hii Jokate Mwegelo ndiyo mtendaji wa UVCCM taifa?Hivi hii inawezekana?

Lakini watazame watendaji wa CCM wilaya na Mikoa.wengi wao hawajui kabisa wanachokifanya na ndiyo maana CCM inaendelea kuongoza nchi kutokana na nguvu kubwa inayotumiwa na vyombo vya ulinzi na usalama na masuala mengine ya kimataifa, CCM kama chama haina uwezo tena wa kushinda uchaguzi bila kutegemea vyombo hivyo kwani mfumo wake ni wa hovyo ambao watu wajinga wamepewa madaraka makubwa.

CCM hawana database maalumu ya makada wao,mfano huyu ni nani hasa?yuko wapi? Anafanya nini,amesomea nini? Ana kipaji gani na kadhalika.Hii ingekisaidia Chama hicho katika vetting system.

Hata ndani ya mfumo wa serikali hakuna mfumo maalumu ambao ni independent na imara unaofanya Kazi kwa weledi na kwa kufikiria maslahi mapana ya taifa.

Rais Dr Samia Suluhu Hassan anapata shida anapofanya uteuzi kwani hakuna mfumo unaomwezesha kuwatambua watu ipasavyo na badala yake anaona majina yaleyale kila siku na hivyo kusababisha tatizo lingine la Leadership recycling.

Hivi unajua Petro Magoti juzijuzi tu ndiyo ametolewa ikulu? Hivi Petro Magoti anaweza kumshauri kitu gani Rais? Petro Magoti ana sifa ya kufanya kazi ikulu?

Sisemi haya kwasababu ni mlemavu lahasha, nasema kwa kuwa najua hana uwezo na ndiyo maana kitu pekee alichokuwa anafanya Ikulu ni kuwagombanisha wenzake.

Na kwasababu wanaoteua hawajui wanachokifanya Magoti leo hii ni DC wa Kisarawe.mimi nisingemteua nafasi hiyo.

Ningeweza kumteua nafasi ya Katibu Tawala wa Wilaya( DAS)ili akamsaidie DC kwenye masuala ya kijamii kwasababu hawezi pilikapilika za U-DC. na siyo Administrator mzuri.

Kwenye vetting system lazima muwe na uwezo wa kutenganisha nafasi za kisiasa na za utendaji.

Nataja majina machache tu kama mfano na majungu siyo sehemu yangu ya maisha

Ifike mahali tubadilike, tupunguze uswahili ili tuweze kujenga taifa bora.

Tazama viongozi wetu wengi wanapohutubia, hawahutubii Kwa hisia kali, kuzungumza kwa hisia ni muhimu sana kwani kunaonyesha "unaguswa"

Tuamke.

Tanzania inatakiwa kuwa nchi muhimu Afrika na Dunia Kwa ujumla lakini hatuwezi kufika huko kama mfumo wetu wa uongozi umejaa watu wasio na sifa za uongozi.

Mungu Ibariki Afrika
Mungu Ibariki Tanzania

Mungu Mbariki Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan na serikali ya Tanzania.

Amen

..mfumo wetu unategemea sana uwezo na weledi wa RAIS.

..kwa maneno mengine RAIS ndio kila kitu ktk mfumo wetu.

..Raisi wa Tanzania akishaapishwa tu, tayari anakuwa mtu mwenye akili kuliko taifa zima.

..kwenye nchi za wenzetu kuna sheria, na vyombo vya kumdhibiti, na kumuongoza, Rais.

..kwa kifupi Tanzania hakuna mfumo, kuna RAIS. yote uliyoyalalamikia chanzo chake ni RAIS.
 
Ndani ya mfumo wa CCM na hata serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamejazana viongozi/watendaji wasio na uwezo na hii inatokana na kutokuwepo vetting system inayoeleweka.

Huwezi kujenga taifa Bora kama hauna vetting system.sisi hata vetting system hatujui maana yake.

Sifa pekee ya kupata nafasi ya uongozi ndani ya CCM ni kuwa na mtu mmoja au watu kadhaa wenye access kwa Rais na mamlaka zingine za uteuzi.huyu au hao watu wakikusemea basi game is over.

Sifa nyingine inaweza kuwa fitna,majungu na kujipendekeza na nyingine yenye nguvu ni kuwa mtoto wa au kimada wa wastaafu.

Unakuwaje na taifa lenye utitiri wa viongozi wasio waadilifu kiasi hiki? Wapiga dili kila Kona, viongozi wanaosaka umaarufu, washamba, waliojaa elements za ukabila na udini, wazembe, wenye kiburi na wasio na maono

Ubunifu uko wapi? Mbona hakuna mipango yenye akili kubwa ya muda mrefu?

Viongozi wetu wengi siyo analytical yaani hawana uwezo wa kuchambua mambo na hawana maarifa wala ujuzi katika kutatua matatizo ya wananchi

Nina uhakika kuwa CCM inaongozwa na watu wasio na uwezo, wenye uwezo wako nje ya mfumo.

si miaka ya hivi karibuni CCM ilimteua Kulwa Milonge kuwa katibu wa CCM mkoa wa Morogoro? Mtu ambaye baadaye ilibainika hajui kusoma na kuandika. Yeye alikuwa mcheza ndombolo pale VIJANA JAZZ BAND. Siku hizi ameshushwa kuwa katibu wa Wilaya.

Sasa huko wilayani anafanya nini?

Leo hii Jokate Mwegelo ndiyo mtendaji wa UVCCM taifa?Hivi hii inawezekana?

Lakini watazame watendaji wa CCM wilaya na Mikoa.wengi wao hawajui kabisa wanachokifanya na ndiyo maana CCM inaendelea kuongoza nchi kutokana na nguvu kubwa inayotumiwa na vyombo vya ulinzi na usalama na masuala mengine ya kimataifa, CCM kama chama haina uwezo tena wa kushinda uchaguzi bila kutegemea vyombo hivyo kwani mfumo wake ni wa hovyo ambao watu wajinga wamepewa madaraka makubwa.

CCM hawana database maalumu ya makada wao,mfano huyu ni nani hasa?yuko wapi? Anafanya nini,amesomea nini? Ana kipaji gani na kadhalika.Hii ingekisaidia Chama hicho katika vetting system.

Hata ndani ya mfumo wa serikali hakuna mfumo maalumu ambao ni independent na imara unaofanya Kazi kwa weledi na kwa kufikiria maslahi mapana ya taifa.

Rais Dr Samia Suluhu Hassan anapata shida anapofanya uteuzi kwani hakuna mfumo unaomwezesha kuwatambua watu ipasavyo na badala yake anaona majina yaleyale kila siku na hivyo kusababisha tatizo lingine la Leadership recycling.

Hivi unajua Petro Magoti juzijuzi tu ndiyo ametolewa ikulu? Hivi Petro Magoti anaweza kumshauri kitu gani Rais? Petro Magoti ana sifa ya kufanya kazi ikulu?

Sisemi haya kwasababu ni mlemavu lahasha, nasema kwa kuwa najua hana uwezo na ndiyo maana kitu pekee alichokuwa anafanya Ikulu ni kuwagombanisha wenzake.

Na kwasababu wanaoteua hawajui wanachokifanya Magoti leo hii ni DC wa Kisarawe.mimi nisingemteua nafasi hiyo.

Ningeweza kumteua nafasi ya Katibu Tawala wa Wilaya( DAS)ili akamsaidie DC kwenye masuala ya kijamii kwasababu hawezi pilikapilika za U-DC. na siyo Administrator mzuri.

Kwenye vetting system lazima muwe na uwezo wa kutenganisha nafasi za kisiasa na za utendaji.

Nataja majina machache tu kama mfano na majungu siyo sehemu yangu ya maisha

Ifike mahali tubadilike, tupunguze uswahili ili tuweze kujenga taifa bora.

Tazama viongozi wetu wengi wanapohutubia, hawahutubii Kwa hisia kali, kuzungumza kwa hisia ni muhimu sana kwani kunaonyesha "unaguswa"

Tuamke.

Tanzania inatakiwa kuwa nchi muhimu Afrika na Dunia Kwa ujumla lakini hatuwezi kufika huko kama mfumo wetu wa uongozi umejaa watu wasio na sifa za uongozi.

Mungu Ibariki Afrikaccm wanawaza kuiba
Mungu Ibariki Tanzania

Mungu Mbariki Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan na serikali ya Tanzania.

Amen
Ccm wanawaza kuiba tu.
Mtu kama nape anawezaje kuingia kwenye cabinet

Binti kiziwi mwenyewe ukimuuliza tuambie mwelekeo wa tz miaka 5 ijayo hajui,

Atakuambia Mimi nataka bandari walionitangulia tayari wameishachukua vingine
 
Ndani ya mfumo wa CCM na hata serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamejazana viongozi/watendaji wasio na uwezo na hii inatokana na kutokuwepo vetting system inayoeleweka.

Huwezi kujenga taifa Bora kama hauna vetting system.sisi hata vetting system hatujui maana yake.

Sifa pekee ya kupata nafasi ya uongozi ndani ya CCM ni kuwa na mtu mmoja au watu kadhaa wenye access kwa Rais na mamlaka zingine za uteuzi.huyu au hao watu wakikusemea basi game is over.

Sifa nyingine inaweza kuwa fitna,majungu na kujipendekeza na nyingine yenye nguvu ni kuwa mtoto wa au kimada wa wastaafu.

Unakuwaje na taifa lenye utitiri wa viongozi wasio waadilifu kiasi hiki? Wapiga dili kila Kona, viongozi wanaosaka umaarufu, washamba, waliojaa elements za ukabila na udini, wazembe, wenye kiburi na wasio na maono

Ubunifu uko wapi? Mbona hakuna mipango yenye akili kubwa ya muda mrefu?

Viongozi wetu wengi siyo analytical yaani hawana uwezo wa kuchambua mambo na hawana maarifa wala ujuzi katika kutatua matatizo ya wananchi

Nina uhakika kuwa CCM inaongozwa na watu wasio na uwezo, wenye uwezo wako nje ya mfumo.

si miaka ya hivi karibuni CCM ilimteua Kulwa Milonge kuwa katibu wa CCM mkoa wa Morogoro? Mtu ambaye baadaye ilibainika hajui kusoma na kuandika. Yeye alikuwa mcheza ndombolo pale VIJANA JAZZ BAND. Siku hizi ameshushwa kuwa katibu wa Wilaya.

Sasa huko wilayani anafanya nini?

Leo hii Jokate Mwegelo ndiyo mtendaji wa UVCCM taifa?Hivi hii inawezekana?

Lakini watazame watendaji wa CCM wilaya na Mikoa.wengi wao hawajui kabisa wanachokifanya na ndiyo maana CCM inaendelea kuongoza nchi kutokana na nguvu kubwa inayotumiwa na vyombo vya ulinzi na usalama na masuala mengine ya kimataifa, CCM kama chama haina uwezo tena wa kushinda uchaguzi bila kutegemea vyombo hivyo kwani mfumo wake ni wa hovyo ambao watu wajinga wamepewa madaraka makubwa.

CCM hawana database maalumu ya makada wao,mfano huyu ni nani hasa?yuko wapi? Anafanya nini,amesomea nini? Ana kipaji gani na kadhalika.Hii ingekisaidia Chama hicho katika vetting system.

Hata ndani ya mfumo wa serikali hakuna mfumo maalumu ambao ni independent na imara unaofanya Kazi kwa weledi na kwa kufikiria maslahi mapana ya taifa.

Rais Dr Samia Suluhu Hassan anapata shida anapofanya uteuzi kwani hakuna mfumo unaomwezesha kuwatambua watu ipasavyo na badala yake anaona majina yaleyale kila siku na hivyo kusababisha tatizo lingine la Leadership recycling.

Hivi unajua Petro Magoti juzijuzi tu ndiyo ametolewa ikulu? Hivi Petro Magoti anaweza kumshauri kitu gani Rais? Petro Magoti ana sifa ya kufanya kazi ikulu?

Sisemi haya kwasababu ni mlemavu lahasha, nasema kwa kuwa najua hana uwezo na ndiyo maana kitu pekee alichokuwa anafanya Ikulu ni kuwagombanisha wenzake.

Na kwasababu wanaoteua hawajui wanachokifanya Magoti leo hii ni DC wa Kisarawe.mimi nisingemteua nafasi hiyo.

Ningeweza kumteua nafasi ya Katibu Tawala wa Wilaya( DAS)ili akamsaidie DC kwenye masuala ya kijamii kwasababu hawezi pilikapilika za U-DC. na siyo Administrator mzuri.

Kwenye vetting system lazima muwe na uwezo wa kutenganisha nafasi za kisiasa na za utendaji.

Nataja majina machache tu kama mfano na majungu siyo sehemu yangu ya maisha

Ifike mahali tubadilike, tupunguze uswahili ili tuweze kujenga taifa bora.

Tazama viongozi wetu wengi wanapohutubia, hawahutubii Kwa hisia kali, kuzungumza kwa hisia ni muhimu sana kwani kunaonyesha "unaguswa"

Tuamke.

Tanzania inatakiwa kuwa nchi muhimu Afrika na Dunia Kwa ujumla lakini hatuwezi kufika huko kama mfumo wetu wa uongozi umejaa watu wasio na sifa za uongozi.

Mungu Ibariki Afrika
Mungu Ibariki Tanzania

Mungu Mbariki Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan na serikali ya Tanzania.

Amen
Umemaliza kila kitu ila ndo hivyo tena !
Wanasemaga business as Usual !
Na wengine wataongezea kwamba unawaonea wivu ! 🙄

Wale wenye mawazo mazuri na productive kwenye system huwa wanaonekana ni wasaliti !

Watawindwa mpaka wanyoroshwe !🙄
 
Hapo kwa Jokate umekosea mazima...huyo binti kichwani zina-charge sana, kwa andiko lako hili ni rahisi kabisa kung'amua kwamba IQ ya Jokate imekuzidi by far.
 
Ndani ya mfumo wa CCM na hata serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamejazana viongozi/watendaji wasio na uwezo na hii inatokana na kutokuwepo vetting system inayoeleweka.

Huwezi kujenga taifa Bora kama hauna vetting system.sisi hata vetting system hatujui maana yake.

Sifa pekee ya kupata nafasi ya uongozi ndani ya CCM ni kuwa na mtu mmoja au watu kadhaa wenye access kwa Rais na mamlaka zingine za uteuzi.huyu au hao watu wakikusemea basi game is over.

Sifa nyingine inaweza kuwa fitna,majungu na kujipendekeza na nyingine yenye nguvu ni kuwa mtoto wa au kimada wa wastaafu.

Unakuwaje na taifa lenye utitiri wa viongozi wasio waadilifu kiasi hiki? Wapiga dili kila Kona, viongozi wanaosaka umaarufu, washamba, waliojaa elements za ukabila na udini, wazembe, wenye kiburi na wasio na maono

Ubunifu uko wapi? Mbona hakuna mipango yenye akili kubwa ya muda mrefu?

Viongozi wetu wengi siyo analytical yaani hawana uwezo wa kuchambua mambo na hawana maarifa wala ujuzi katika kutatua matatizo ya wananchi

Nina uhakika kuwa CCM inaongozwa na watu wasio na uwezo, wenye uwezo wako nje ya mfumo.

si miaka ya hivi karibuni CCM ilimteua Kulwa Milonge kuwa katibu wa CCM mkoa wa Morogoro? Mtu ambaye baadaye ilibainika hajui kusoma na kuandika. Yeye alikuwa mcheza ndombolo pale VIJANA JAZZ BAND. Siku hizi ameshushwa kuwa katibu wa Wilaya.

Sasa huko wilayani anafanya nini?

Leo hii Jokate Mwegelo ndiyo mtendaji wa UVCCM taifa?Hivi hii inawezekana?

Lakini watazame watendaji wa CCM wilaya na Mikoa.wengi wao hawajui kabisa wanachokifanya na ndiyo maana CCM inaendelea kuongoza nchi kutokana na nguvu kubwa inayotumiwa na vyombo vya ulinzi na usalama na masuala mengine ya kimataifa, CCM kama chama haina uwezo tena wa kushinda uchaguzi bila kutegemea vyombo hivyo kwani mfumo wake ni wa hovyo ambao watu wajinga wamepewa madaraka makubwa.

CCM hawana database maalumu ya makada wao,mfano huyu ni nani hasa?yuko wapi? Anafanya nini,amesomea nini? Ana kipaji gani na kadhalika.Hii ingekisaidia Chama hicho katika vetting system.

Hata ndani ya mfumo wa serikali hakuna mfumo maalumu ambao ni independent na imara unaofanya Kazi kwa weledi na kwa kufikiria maslahi mapana ya taifa.

Rais Dr Samia Suluhu Hassan anapata shida anapofanya uteuzi kwani hakuna mfumo unaomwezesha kuwatambua watu ipasavyo na badala yake anaona majina yaleyale kila siku na hivyo kusababisha tatizo lingine la Leadership recycling.

Hivi unajua Petro Magoti juzijuzi tu ndiyo ametolewa ikulu? Hivi Petro Magoti anaweza kumshauri kitu gani Rais? Petro Magoti ana sifa ya kufanya kazi ikulu?

Sisemi haya kwasababu ni mlemavu lahasha, nasema kwa kuwa najua hana uwezo na ndiyo maana kitu pekee alichokuwa anafanya Ikulu ni kuwagombanisha wenzake.

Na kwasababu wanaoteua hawajui wanachokifanya Magoti leo hii ni DC wa Kisarawe.mimi nisingemteua nafasi hiyo.

Ningeweza kumteua nafasi ya Katibu Tawala wa Wilaya( DAS)ili akamsaidie DC kwenye masuala ya kijamii kwasababu hawezi pilikapilika za U-DC. na siyo Administrator mzuri.

Kwenye vetting system lazima muwe na uwezo wa kutenganisha nafasi za kisiasa na za utendaji.

Nataja majina machache tu kama mfano na majungu siyo sehemu yangu ya maisha

Ifike mahali tubadilike, tupunguze uswahili ili tuweze kujenga taifa bora.

Tazama viongozi wetu wengi wanapohutubia, hawahutubii Kwa hisia kali, kuzungumza kwa hisia ni muhimu sana kwani kunaonyesha "unaguswa"

Tuamke.

Tanzania inatakiwa kuwa nchi muhimu Afrika na Dunia Kwa ujumla lakini hatuwezi kufika huko kama mfumo wetu wa uongozi umejaa watu wasio na sifa za uongozi.

Mungu Ibariki Afrika
Mungu Ibariki Tanzania

Mungu Mbariki Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan na serikali ya Tanzania.

Amen
Naungana nawe 100%, kuwaulichoandika ni kweli.

Na hili ni tatizo kubwa na hatima yake vijana wasomi wanaumizwa sana.
 
Ndani ya mfumo wa CCM na hata serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamejazana viongozi/watendaji wasio na uwezo na hii inatokana na kutokuwepo vetting system inayoeleweka.

Huwezi kujenga taifa Bora kama hauna vetting system.sisi hata vetting system hatujui maana yake.

Sifa pekee ya kupata nafasi ya uongozi ndani ya CCM ni kuwa na mtu mmoja au watu kadhaa wenye access kwa Rais na mamlaka zingine za uteuzi.huyu au hao watu wakikusemea basi game is over.

Sifa nyingine inaweza kuwa fitna,majungu na kujipendekeza na nyingine yenye nguvu ni kuwa mtoto wa au kimada wa wastaafu.

Unakuwaje na taifa lenye utitiri wa viongozi wasio waadilifu kiasi hiki? Wapiga dili kila Kona, viongozi wanaosaka umaarufu, washamba, waliojaa elements za ukabila na udini, wazembe, wenye kiburi na wasio na maono

Ubunifu uko wapi? Mbona hakuna mipango yenye akili kubwa ya muda mrefu?

Viongozi wetu wengi siyo analytical yaani hawana uwezo wa kuchambua mambo na hawana maarifa wala ujuzi katika kutatua matatizo ya wananchi

Nina uhakika kuwa CCM inaongozwa na watu wasio na uwezo, wenye uwezo wako nje ya mfumo.

si miaka ya hivi karibuni CCM ilimteua Kulwa Milonge kuwa katibu wa CCM mkoa wa Morogoro? Mtu ambaye baadaye ilibainika hajui kusoma na kuandika. Yeye alikuwa mcheza ndombolo pale VIJANA JAZZ BAND. Siku hizi ameshushwa kuwa katibu wa Wilaya.

Sasa huko wilayani anafanya nini?

Leo hii Jokate Mwegelo ndiyo mtendaji wa UVCCM taifa?Hivi hii inawezekana?

Lakini watazame watendaji wa CCM wilaya na Mikoa.wengi wao hawajui kabisa wanachokifanya na ndiyo maana CCM inaendelea kuongoza nchi kutokana na nguvu kubwa inayotumiwa na vyombo vya ulinzi na usalama na masuala mengine ya kimataifa, CCM kama chama haina uwezo tena wa kushinda uchaguzi bila kutegemea vyombo hivyo kwani mfumo wake ni wa hovyo ambao watu wajinga wamepewa madaraka makubwa.

CCM hawana database maalumu ya makada wao,mfano huyu ni nani hasa?yuko wapi? Anafanya nini,amesomea nini? Ana kipaji gani na kadhalika.Hii ingekisaidia Chama hicho katika vetting system.

Hata ndani ya mfumo wa serikali hakuna mfumo maalumu ambao ni independent na imara unaofanya Kazi kwa weledi na kwa kufikiria maslahi mapana ya taifa.

Rais Dr Samia Suluhu Hassan anapata shida anapofanya uteuzi kwani hakuna mfumo unaomwezesha kuwatambua watu ipasavyo na badala yake anaona majina yaleyale kila siku na hivyo kusababisha tatizo lingine la Leadership recycling.

Hivi unajua Petro Magoti juzijuzi tu ndiyo ametolewa ikulu? Hivi Petro Magoti anaweza kumshauri kitu gani Rais? Petro Magoti ana sifa ya kufanya kazi ikulu?

Sisemi haya kwasababu ni mlemavu lahasha, nasema kwa kuwa najua hana uwezo na ndiyo maana kitu pekee alichokuwa anafanya Ikulu ni kuwagombanisha wenzake.

Na kwasababu wanaoteua hawajui wanachokifanya Magoti leo hii ni DC wa Kisarawe.mimi nisingemteua nafasi hiyo.

Ningeweza kumteua nafasi ya Katibu Tawala wa Wilaya( DAS)ili akamsaidie DC kwenye masuala ya kijamii kwasababu hawezi pilikapilika za U-DC. na siyo Administrator mzuri.

Kwenye vetting system lazima muwe na uwezo wa kutenganisha nafasi za kisiasa na za utendaji.

Nataja majina machache tu kama mfano na majungu siyo sehemu yangu ya maisha

Ifike mahali tubadilike, tupunguze uswahili ili tuweze kujenga taifa bora.

Tazama viongozi wetu wengi wanapohutubia, hawahutubii Kwa hisia kali, kuzungumza kwa hisia ni muhimu sana kwani kunaonyesha "unaguswa"

Tuamke.

Tanzania inatakiwa kuwa nchi muhimu Afrika na Dunia Kwa ujumla lakini hatuwezi kufika huko kama mfumo wetu wa uongozi umejaa watu wasio na sifa za uongozi.

Mungu Ibariki Afrika
Mungu Ibariki Tanzania

Mungu Mbariki Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan na serikali ya Tanzania.

Amen
Una hoja ya msingi.Kwenye mchakato wa kupitisha wagombea ubunge na udiwani ndiyo shida kabisa.Chama tunakipenda lakini sasa tumeamua kuwaachia watu wanaojiona wana haki miliki ya hicho chama.Yasipofanyika maamuzi magumu ya kutafuta think tankers,taifa letu litaendelea kuwa maskini miaka yote na itakuwa ndoto kuja kuwa taifa lenye nguvu kubwa kiuchumi na kijeshi
 
Sijajua ni vigezo gani umevitumia kumhusisha Jokate na ubumunda,ila kwa magoti uko sahihi maana lile ni bumunda lililotengenezwa wakati mtengeneza mabumunda amechoka.Ni kuidhalilisha ikulu kukaweka kajitu kama kamagoti ikulu eti ndio kashauri ka Rais kwenye mambo ya kisiasa
 
Ndani ya mfumo wa CCM na hata serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamejazana viongozi/watendaji wasio na uwezo na hii inatokana na kutokuwepo vetting system inayoeleweka.

Huwezi kujenga taifa Bora kama hauna vetting system.sisi hata vetting system hatujui maana yake.

Sifa pekee ya kupata nafasi ya uongozi ndani ya CCM ni kuwa na mtu mmoja au watu kadhaa wenye access kwa Rais na mamlaka zingine za uteuzi.huyu au hao watu wakikusemea basi game is over.

Sifa nyingine inaweza kuwa fitna,majungu na kujipendekeza na nyingine yenye nguvu ni kuwa mtoto wa au kimada wa wastaafu.

Unakuwaje na taifa lenye utitiri wa viongozi wasio waadilifu kiasi hiki? Wapiga dili kila Kona, viongozi wanaosaka umaarufu, washamba, waliojaa elements za ukabila na udini, wazembe, wenye kiburi na wasio na maono

Ubunifu uko wapi? Mbona hakuna mipango yenye akili kubwa ya muda mrefu?

Viongozi wetu wengi siyo analytical yaani hawana uwezo wa kuchambua mambo na hawana maarifa wala ujuzi katika kutatua matatizo ya wananchi

Nina uhakika kuwa CCM inaongozwa na watu wasio na uwezo, wenye uwezo wako nje ya mfumo.

si miaka ya hivi karibuni CCM ilimteua Kulwa Milonge kuwa katibu wa CCM mkoa wa Morogoro? Mtu ambaye baadaye ilibainika hajui kusoma na kuandika. Yeye alikuwa mcheza ndombolo pale VIJANA JAZZ BAND. Siku hizi ameshushwa kuwa katibu wa Wilaya.

Sasa huko wilayani anafanya nini?

Leo hii Jokate Mwegelo ndiyo mtendaji wa UVCCM taifa?Hivi hii inawezekana?

Lakini watazame watendaji wa CCM wilaya na Mikoa.wengi wao hawajui kabisa wanachokifanya na ndiyo maana CCM inaendelea kuongoza nchi kutokana na nguvu kubwa inayotumiwa na vyombo vya ulinzi na usalama na masuala mengine ya kimataifa, CCM kama chama haina uwezo tena wa kushinda uchaguzi bila kutegemea vyombo hivyo kwani mfumo wake ni wa hovyo ambao watu wajinga wamepewa madaraka makubwa.

CCM hawana database maalumu ya makada wao,mfano huyu ni nani hasa?yuko wapi? Anafanya nini,amesomea nini? Ana kipaji gani na kadhalika.Hii ingekisaidia Chama hicho katika vetting system.

Hata ndani ya mfumo wa serikali hakuna mfumo maalumu ambao ni independent na imara unaofanya Kazi kwa weledi na kwa kufikiria maslahi mapana ya taifa.

Rais Dr Samia Suluhu Hassan anapata shida anapofanya uteuzi kwani hakuna mfumo unaomwezesha kuwatambua watu ipasavyo na badala yake anaona majina yaleyale kila siku na hivyo kusababisha tatizo lingine la Leadership recycling.

Hivi unajua Petro Magoti juzijuzi tu ndiyo ametolewa ikulu? Hivi Petro Magoti anaweza kumshauri kitu gani Rais? Petro Magoti ana sifa ya kufanya kazi ikulu?

Sisemi haya kwasababu ni mlemavu lahasha, nasema kwa kuwa najua hana uwezo na ndiyo maana kitu pekee alichokuwa anafanya Ikulu ni kuwagombanisha wenzake.

Na kwasababu wanaoteua hawajui wanachokifanya Magoti leo hii ni DC wa Kisarawe.mimi nisingemteua nafasi hiyo.

Ningeweza kumteua nafasi ya Katibu Tawala wa Wilaya( DAS)ili akamsaidie DC kwenye masuala ya kijamii kwasababu hawezi pilikapilika za U-DC. na siyo Administrator mzuri.

Kwenye vetting system lazima muwe na uwezo wa kutenganisha nafasi za kisiasa na za utendaji.

Nataja majina machache tu kama mfano na majungu siyo sehemu yangu ya maisha

Ifike mahali tubadilike, tupunguze uswahili ili tuweze kujenga taifa bora.

Tazama viongozi wetu wengi wanapohutubia, hawahutubii Kwa hisia kali, kuzungumza kwa hisia ni muhimu sana kwani kunaonyesha "unaguswa"

Tuamke.

Tanzania inatakiwa kuwa nchi muhimu Afrika na Dunia Kwa ujumla lakini hatuwezi kufika huko kama mfumo wetu wa uongozi umejaa watu wasio na sifa za uongozi.

Mungu Ibariki Afrika
Mungu Ibariki Tanzania

Mungu Mbariki Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan na serikali ya Tanzania.

Amen
Chadema inayoongozwa na mwenyekiti asiekuwa na walau kadegree kamoja ndio mwenye uwezo?
 
kuwanyooshea ccm kidole ni rahisi tena bila shaka kwani kila maja amewashushudia kwa nafasi cake na kushuhudia madhaifu Yao kwa kila idara tofauti na wengine ambao hawajapata naasi ya kuwahudumia wananchi. (ni rahisi sana kurekebisha kilichoanzishwa kuliko kuanzisha kitu kipya)

katika muktadha huo ccm inafanya kila kilicho ndani ya uwezo wake kulinda nafasi yake ktk jamii , hii itajumuisha kuwarubuni na kuwahitaji wale wailio na ushawishi na ubora wktk Jamie kuwatumikia au kutumikia liana Yao na silo Uluru wa kutumikia jamii na wananchi.
ikumbukwe ccm inahakikisha jambo moja tu , kubakia madarakanai na sito kutumikia wananchi hii inatokana na uhalisia wa kuwa ndani ya ccm hakuna uwajibikaji bali kulindanda kitu ambacho ni hatari sana kwa ustawi wa taifa na hakika itatufikisha pabaya ktk nyanja zote usalama na kisiasa, pia kiuchumi kwani matendo haya hulea rushwa.
 
Moja ya andiko bora kabisa kwa mwezi huu wa saba.
Kongole na Mungu akubariki sana mleta bandiko.
Tuendelee kupiga kelele inawezekana siku moja kelele zetu zikafanya mambo yabadilike.
Hivi hawa viongozi hawajui kuwa hao wasaidizi wao wanawaona kuwa hawana uwezo kabisa ila ni unafiki tu ndio unaendelea!!?
Kuna mmoja ni msaidizi wa rais lakini ukimuona jinsi anavyompamba rais kwenye vyombo vya habari na ukimsikiliza anavyomchambua mkiwa private, ndio utaamini ni kwa kiwango gani kama taifa tuna tatizo kubwa la unafiki.
 
Back
Top Bottom