CCM ina tatizo la kuwa-brand watu wasio na uwezo.

CCM ina tatizo la kuwa-brand watu wasio na uwezo.

Mbaya zaidi ndio imekua kama Role Model ya taasisi nyingine hata zisizokua za kiserikali kufanya teuzi za watu wa aina na kariba ya sifa kama ulizoziandika humu.
 
Ndani ya mfumo wa CCM na hata serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamejazana viongozi/watendaji wasio na uwezo na hii inatokana na kutokuwepo vetting system inayoeleweka.

Huwezi kujenga taifa Bora kama hauna vetting system.sisi hata vetting system hatujui maana yake.

Sifa pekee ya kupata nafasi ya uongozi ndani ya CCM ni kuwa na mtu mmoja au watu kadhaa wenye access kwa Rais na mamlaka zingine za uteuzi.huyu au hao watu wakikusemea basi game is over.

Sifa nyingine inaweza kuwa fitna,majungu na kujipendekeza na nyingine yenye nguvu ni kuwa mtoto wa au kimada wa wastaafu.

Unakuwaje na taifa lenye utitiri wa viongozi wasio waadilifu kiasi hiki? Wapiga dili kila Kona, viongozi wanaosaka umaarufu, washamba, waliojaa elements za ukabila na udini, wazembe, wenye kiburi na wasio na maono

Ubunifu uko wapi? Mbona hakuna mipango yenye akili kubwa ya muda mrefu?

Viongozi wetu wengi siyo analytical yaani hawana uwezo wa kuchambua mambo na hawana maarifa wala ujuzi katika kutatua matatizo ya wananchi

Nina uhakika kuwa CCM inaongozwa na watu wasio na uwezo, wenye uwezo wako nje ya mfumo.

si miaka ya hivi karibuni CCM ilimteua Kulwa Milonge kuwa katibu wa CCM mkoa wa Morogoro? Mtu ambaye baadaye ilibainika hajui kusoma na kuandika. Yeye alikuwa mcheza ndombolo pale VIJANA JAZZ BAND. Siku hizi ameshushwa kuwa katibu wa Wilaya.

Sasa huko wilayani anafanya nini?

Leo hii Jokate Mwegelo ndiyo mtendaji wa UVCCM taifa?Hivi hii inawezekana?

Lakini watazame watendaji wa CCM wilaya na Mikoa.wengi wao hawajui kabisa wanachokifanya na ndiyo maana CCM inaendelea kuongoza nchi kutokana na nguvu kubwa inayotumiwa na vyombo vya ulinzi na usalama na masuala mengine ya kimataifa, CCM kama chama haina uwezo tena wa kushinda uchaguzi bila kutegemea vyombo hivyo kwani mfumo wake ni wa hovyo ambao watu wajinga wamepewa madaraka makubwa.

CCM hawana database maalumu ya makada wao,mfano huyu ni nani hasa?yuko wapi? Anafanya nini,amesomea nini? Ana kipaji gani na kadhalika.Hii ingekisaidia Chama hicho katika vetting system.

Hata ndani ya mfumo wa serikali hakuna mfumo maalumu ambao ni independent na imara unaofanya Kazi kwa weledi na kwa kufikiria maslahi mapana ya taifa.

Rais Dr Samia Suluhu Hassan anapata shida anapofanya uteuzi kwani hakuna mfumo unaomwezesha kuwatambua watu ipasavyo na badala yake anaona majina yaleyale kila siku na hivyo kusababisha tatizo lingine la Leadership recycling.

Hivi unajua Petro Magoti juzijuzi tu ndiyo ametolewa ikulu? Hivi Petro Magoti anaweza kumshauri kitu gani Rais? Petro Magoti ana sifa ya kufanya kazi ikulu?

Sisemi haya kwasababu ni mlemavu lahasha, nasema kwa kuwa najua hana uwezo na ndiyo maana kitu pekee alichokuwa anafanya Ikulu ni kuwagombanisha wenzake.

Na kwasababu wanaoteua hawajui wanachokifanya Magoti leo hii ni DC wa Kisarawe.mimi nisingemteua nafasi hiyo.

Ningeweza kumteua nafasi ya Katibu Tawala wa Wilaya( DAS)ili akamsaidie DC kwenye masuala ya kijamii kwasababu hawezi pilikapilika za U-DC. na siyo Administrator mzuri.

Kwenye vetting system lazima muwe na uwezo wa kutenganisha nafasi za kisiasa na za utendaji.

Nataja majina machache tu kama mfano na majungu siyo sehemu yangu ya maisha

Ifike mahali tubadilike, tupunguze uswahili ili tuweze kujenga taifa bora.

Tazama viongozi wetu wengi wanapohutubia, hawahutubii Kwa hisia kali, kuzungumza kwa hisia ni muhimu sana kwani kunaonyesha "unaguswa"

Tuamke.

Tanzania inatakiwa kuwa nchi muhimu Afrika na Dunia Kwa ujumla lakini hatuwezi kufika huko kama mfumo wetu wa uongozi umejaa watu wasio na sifa za uongozi.

Mungu Ibariki Afrika
Mungu Ibariki Tanzania

Mungu Mbariki Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan na serikali ya Tanzania.

Amen
Mafikunyungu ni mengi serikalini hasa wakuu wa Idara nyeti. N
Vye0 vinapatikana kwa ndumba,ushirikina,majungu nk na siyo uwezo binafsi. Wenye uwezo hawaamini macho yao anapopewa ukuu wa Mkoa form four failure hasa Mikoa nyeti na ya Kimkakati!!.
 
Hapo kwa Jokate umekosea mazima...huyo binti kichwani zina-charge sana, kwa andiko lako hili ni rahisi kabisa kung'amua kwamba IQ ya Jokate imekuzidi by far.
Ila Yuko CCM, hapo ndio IQ yake inapokua ndogo
 
Ndani ya mfumo wa CCM na hata serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamejazana viongozi/watendaji wasio na uwezo na hii inatokana na kutokuwepo vetting system inayoeleweka.
Very true Mkuu.
Na ndio maana kauli za viongozi wengi wa ccm hujaa ulimbukeni ujinga na dhararu kwa walio chini yao.
 
Hii shida haipo CCM bali hadi Serikalini.

Wenye uwezo na akili hawapewi nafasi. Wenye upeo mkubwa na mawazo yenye kuifanya hii nchi kuwa bora hawapewi nafasi. Wanaopewa nafasi ni chawa, watu wasio na uwezo kwa sababu ya kujipendekeza.

Tanzania ina watu wengi sana wenye upeo, maarifa na akili za kuifanya nchi yetu kuwa nchi bora zaidi kimaisha na kiuchumi hapa Afrika ila kamwe huwezi ona wakipewa nafasi zaidi ya wajinga wajinga tu!
 
Bashungwa, Ndumbaro, Biteko, Mchengerwa, kihenzile, ndejembi..nk
Sifa: mnyenyekevu, hana makuu..
Nchi imejaa uharamia wa aina zote eti unahitaji mtu mnyenyekevu asiyependa makuu..! It's peculiar!
Wanaofanya vetting wanataka watu wenye sifa ya kondoo, hawezi kuhoji, mnafiki, a yes man..ili iwe rahisi kushika masiio..twende huku, pita kushoto..bila kuhoji WHY?? ili kulinda maslahi yao! CEO's na Board members wote kwenye mashirika ya umma ni watu wenye sifa ya kondoo..kondoo ni mnyama muoga mwenye hofu wakati wote..
Simply sifa ya uchawa ndo sifa mama
 
Kwenye Mawizara niliwahi sikia wale watumishi ambao huwa wana uwezo wa kuandika maandiko, mipango mizuri kwa maendeleo ya kweli huwa wanapigwa vita sana na hata siku moja huwezi waona wakiwa wanapendekezwa kushika nafasi za juu za uongozi kwenye Mawizara na Maofisi ya Serikali.

Siku ya mwisho huwa wanastaafu wakiwa watu wa kawaida na wanaondoka Serikalini na mawazo yao mazuri. Wengine wanakufa wakiwa na vitu vyao vizuri kichwani.

Serikalini huko watu wanasoma Masters na PHD ili wapande vyeo. Wakati watu wenye uwezo wanaachwa kabisa.

Mbaya zaidi wengine wanapewa vyeo eti kwa sababu hawezi wabishia au kuwashauri kwa kujiamini wakubwa wake, ni chawa, undugu, kujuana n.k.

Hii nchi kwa kweli inahitaji Factory setting ili tuanze upya kwa sehemu kubwa. Na hili ni rahisi tukianzia kwenye Katiba Mpya tu.
 
Uko sahihi...ila Hilo neno kajitu ,linadhalilisha...litoe please..utaambiwa unadhalilisha Kwa maumbile yake!
Sijajua ni vigezo gani umevitumia kumhusisha Jokate na ubumunda,ila kwa magoti uko sahihi maana lile ni bumunda lililotengenezwa wakati mtengeneza mabumunda amechoka.Ni kuidhalilisha ikulu kukaweka kajitu kama kamagoti ikulu eti ndio kashauri ka Rais kwenye mambo ya kisiasa
 
Ndani ya mfumo wa CCM na hata serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamejazana viongozi/watendaji wasio na uwezo na hii inatokana na kutokuwepo vetting system inayoeleweka.

Huwezi kujenga taifa Bora kama hauna vetting system.sisi hata vetting system hatujui maana yake.

Sifa pekee ya kupata nafasi ya uongozi ndani ya CCM ni kuwa na mtu mmoja au watu kadhaa wenye access kwa Rais na mamlaka zingine za uteuzi.huyu au hao watu wakikusemea basi game is over.

Sifa nyingine inaweza kuwa fitna,majungu na kujipendekeza na nyingine yenye nguvu ni kuwa mtoto wa au kimada wa wastaafu.

Unakuwaje na taifa lenye utitiri wa viongozi wasio waadilifu kiasi hiki? Wapiga dili kila Kona, viongozi wanaosaka umaarufu, washamba, waliojaa elements za ukabila na udini, wazembe, wenye kiburi na wasio na maono

Ubunifu uko wapi? Mbona hakuna mipango yenye akili kubwa ya muda mrefu?

Viongozi wetu wengi siyo analytical yaani hawana uwezo wa kuchambua mambo na hawana maarifa wala ujuzi katika kutatua matatizo ya wananchi

Nina uhakika kuwa CCM inaongozwa na watu wasio na uwezo, wenye uwezo wako nje ya mfumo.

si miaka ya hivi karibuni CCM ilimteua Kulwa Milonge kuwa katibu wa CCM mkoa wa Morogoro? Mtu ambaye baadaye ilibainika hajui kusoma na kuandika. Yeye alikuwa mcheza ndombolo pale VIJANA JAZZ BAND. Siku hizi ameshushwa kuwa katibu wa Wilaya.

Sasa huko wilayani anafanya nini?

Leo hii Jokate Mwegelo ndiyo mtendaji wa UVCCM taifa?Hivi hii inawezekana?

Lakini watazame watendaji wa CCM wilaya na Mikoa.wengi wao hawajui kabisa wanachokifanya na ndiyo maana CCM inaendelea kuongoza nchi kutokana na nguvu kubwa inayotumiwa na vyombo vya ulinzi na usalama na masuala mengine ya kimataifa, CCM kama chama haina uwezo tena wa kushinda uchaguzi bila kutegemea vyombo hivyo kwani mfumo wake ni wa hovyo ambao watu wajinga wamepewa madaraka makubwa.

CCM hawana database maalumu ya makada wao,mfano huyu ni nani hasa?yuko wapi? Anafanya nini,amesomea nini? Ana kipaji gani na kadhalika.Hii ingekisaidia Chama hicho katika vetting system.

Hata ndani ya mfumo wa serikali hakuna mfumo maalumu ambao ni independent na imara unaofanya Kazi kwa weledi na kwa kufikiria maslahi mapana ya taifa.

Rais Dr Samia Suluhu Hassan anapata shida anapofanya uteuzi kwani hakuna mfumo unaomwezesha kuwatambua watu ipasavyo na badala yake anaona majina yaleyale kila siku na hivyo kusababisha tatizo lingine la Leadership recycling.

Hivi unajua Petro Magoti juzijuzi tu ndiyo ametolewa ikulu? Hivi Petro Magoti anaweza kumshauri kitu gani Rais? Petro Magoti ana sifa ya kufanya kazi ikulu?

Sisemi haya kwasababu ni mlemavu lahasha, nasema kwa kuwa najua hana uwezo na ndiyo maana kitu pekee alichokuwa anafanya Ikulu ni kuwagombanisha wenzake.

Na kwasababu wanaoteua hawajui wanachokifanya Magoti leo hii ni DC wa Kisarawe.mimi nisingemteua nafasi hiyo.

Ningeweza kumteua nafasi ya Katibu Tawala wa Wilaya( DAS)ili akamsaidie DC kwenye masuala ya kijamii kwasababu hawezi pilikapilika za U-DC. na siyo Administrator mzuri.

Kwenye vetting system lazima muwe na uwezo wa kutenganisha nafasi za kisiasa na za utendaji.

Nataja majina machache tu kama mfano na majungu siyo sehemu yangu ya maisha

Ifike mahali tubadilike, tupunguze uswahili ili tuweze kujenga taifa bora.

Tazama viongozi wetu wengi wanapohutubia, hawahutubii Kwa hisia kali, kuzungumza kwa hisia ni muhimu sana kwani kunaonyesha "unaguswa"

Tuamke.

Tanzania inatakiwa kuwa nchi muhimu Afrika na Dunia Kwa ujumla lakini hatuwezi kufika huko kama mfumo wetu wa uongozi umejaa watu wasio na sifa za uongozi.

Mungu Ibariki Afrika
Mungu Ibariki Tanzania

Mungu Mbariki Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan na serikali ya Tanzania.

Amen
Ili upate uteuzi ccm lazima uwe mbumbumbu ama ukubali kuishi kimbumbumbu hata kama ni msomi.
The problem of Africans, those with ideas have no power, and those with power have no ideas.
 
Kwenye Mawizara niliwahi sikia wale watumishi ambao huwa wana uwezo wa kuandika maandiko, mipango mizuri kwa maendeleo ya kweli huwa wanapigwa vita sana na hata siku moja huwezi waona wakiwa wanapendekezwa kushika nafasi za juu za uongozi kwenye Mawizara na Maofisi ya Serikali.

Siku ya mwisho huwa wanastaafu wakiwa watu wa kawaida na wanaondoka Serikalini na mawazo yao mazuri. Wengine wanakufa wakiwa na vitu vyao vizuri kichwani.

Serikalini huko watu wanasoma Masters na PHD ili wapande vyeo. Wakati watu wenye uwezo wanaachwa kabisa.

Mbaya zaidi wengine wanapewa vyeo eti kwa sababu hawezi wabishia au kuwashauri kwa kujiamini wakubwa wake, ni chawa, undugu, kujuana n.k.

Hii nchi kwa kweli inahitaji Factory setting ili tuanze upya kwa sehemu kubwa. Na hili ni rahisi tukianzia kwenye Katiba Mpya tu.
Kwenye taasisi na idara zote kabisa za Serikali na hata katikà baadhi ya Makampuni binafsi hali iko hivyo. Mtumishi au Mfanyakazi yoyote yule ambaye atabainika kuwa yuko smart Sana kichwani, ni mbunifu au mwenye mawazo na fikra chanya zenye uwezo wa kuleta tija au mabadiliko mahala pa kazi, basi huyo ajiandae kupigwa Vita kubwa Sana kutoka kwa Wafanyakazi wenzake ambao ni vilaza au mbumbumbu. Atafanyiwa kila aina ya fitina, chuki, hujuma na kila aina ya uovu ili ashindwe kazi. Afrika ni mahali pagumu Sana kwa kuishi kwa Watu wenye akili timamu sawa sawa kabisa kichwani mwao, ni pagumu haswa.
 
CCM huwa hawaangalii Merit wao wachoangalia ni mkata kiuno mzuri wa Chama na mwenye uwezo wa kuongea kama Chrehani
 
Kwa mtu mwenye uchungu na mzalendo akisoma hili andiko na kufananisha na yanayoendelea basi anaweza kulia.
 
Mungu Mbariki Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan na serikali ya Tanzania.
Huu ni Msiba mzito yaan nimesoma hadi nimemaliza nikajihisi km nimefiwa na Ndugu yangu wa karibu sana
 
Ndani ya mfumo wa CCM na hata serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamejazana viongozi/watendaji wasio na uwezo na hii inatokana na kutokuwepo vetting system inayoeleweka.

Huwezi kujenga taifa Bora kama hauna vetting system.sisi hata vetting system hatujui maana yake.

Sifa pekee ya kupata nafasi ya uongozi ndani ya CCM ni kuwa na mtu mmoja au watu kadhaa wenye access kwa Rais na mamlaka zingine za uteuzi.huyu au hao watu wakikusemea basi game is over.

Sifa nyingine inaweza kuwa fitna,majungu na kujipendekeza na nyingine yenye nguvu ni kuwa mtoto wa au kimada wa wastaafu.

Unakuwaje na taifa lenye utitiri wa viongozi wasio waadilifu kiasi hiki? Wapiga dili kila Kona, viongozi wanaosaka umaarufu, washamba, waliojaa elements za ukabila na udini, wazembe, wenye kiburi na wasio na maono

Ubunifu uko wapi? Mbona hakuna mipango yenye akili kubwa ya muda mrefu?

Viongozi wetu wengi siyo analytical yaani hawana uwezo wa kuchambua mambo na hawana maarifa wala ujuzi katika kutatua matatizo ya wananchi

Nina uhakika kuwa CCM inaongozwa na watu wasio na uwezo, wenye uwezo wako nje ya mfumo.

si miaka ya hivi karibuni CCM ilimteua Kulwa Milonge kuwa katibu wa CCM mkoa wa Morogoro? Mtu ambaye baadaye ilibainika hajui kusoma na kuandika. Yeye alikuwa mcheza ndombolo pale VIJANA JAZZ BAND. Siku hizi ameshushwa kuwa katibu wa Wilaya.

Sasa huko wilayani anafanya nini?

Leo hii Jokate Mwegelo ndiyo mtendaji wa UVCCM taifa?Hivi hii inawezekana?

Lakini watazame watendaji wa CCM wilaya na Mikoa.wengi wao hawajui kabisa wanachokifanya na ndiyo maana CCM inaendelea kuongoza nchi kutokana na nguvu kubwa inayotumiwa na vyombo vya ulinzi na usalama na masuala mengine ya kimataifa, CCM kama chama haina uwezo tena wa kushinda uchaguzi bila kutegemea vyombo hivyo kwani mfumo wake ni wa hovyo ambao watu wajinga wamepewa madaraka makubwa.

CCM hawana database maalumu ya makada wao,mfano huyu ni nani hasa?yuko wapi? Anafanya nini,amesomea nini? Ana kipaji gani na kadhalika.Hii ingekisaidia Chama hicho katika vetting system.

Hata ndani ya mfumo wa serikali hakuna mfumo maalumu ambao ni independent na imara unaofanya Kazi kwa weledi na kwa kufikiria maslahi mapana ya taifa.

Rais Dr Samia Suluhu Hassan anapata shida anapofanya uteuzi kwani hakuna mfumo unaomwezesha kuwatambua watu ipasavyo na badala yake anaona majina yaleyale kila siku na hivyo kusababisha tatizo lingine la Leadership recycling.

Hivi unajua Petro Magoti juzijuzi tu ndiyo ametolewa ikulu? Hivi Petro Magoti anaweza kumshauri kitu gani Rais? Petro Magoti ana sifa ya kufanya kazi ikulu?

Sisemi haya kwasababu ni mlemavu lahasha, nasema kwa kuwa najua hana uwezo na ndiyo maana kitu pekee alichokuwa anafanya Ikulu ni kuwagombanisha wenzake.

Na kwasababu wanaoteua hawajui wanachokifanya Magoti leo hii ni DC wa Kisarawe.mimi nisingemteua nafasi hiyo.

Ningeweza kumteua nafasi ya Katibu Tawala wa Wilaya( DAS)ili akamsaidie DC kwenye masuala ya kijamii kwasababu hawezi pilikapilika za U-DC. na siyo Administrator mzuri.

Kwenye vetting system lazima muwe na uwezo wa kutenganisha nafasi za kisiasa na za utendaji.

Nataja majina machache tu kama mfano na majungu siyo sehemu yangu ya maisha

Ifike mahali tubadilike, tupunguze uswahili ili tuweze kujenga taifa bora.

Tazama viongozi wetu wengi wanapohutubia, hawahutubii Kwa hisia kali, kuzungumza kwa hisia ni muhimu sana kwani kunaonyesha "unaguswa"

Tuamke.

Tanzania inatakiwa kuwa nchi muhimu Afrika na Dunia Kwa ujumla lakini hatuwezi kufika huko kama mfumo wetu wa uongozi umejaa watu wasio na sifa za uongozi.

Mungu Ibariki Afrika
Mungu Ibariki Tanzania

Mungu Mbariki Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan na serikali ya Tanzania.

Amen
Kwa namna unavyoona post za kuwabrand sijui Mwigulu, January, Makonda, Polepole mara Doto Biteko kuwa Marais wa JMT ndo unaamini kuwa kuna shida kubwa sana huko chama cha Mapinduzi na endapo tuaipopata Katiba Mpya haraka hii nchi itaelekea shimoni.

Kuna watu wanaaandika mambo mazuri ya kuisaidia hii nchi ila huwezi wasikia popote unawasikia wajinga wajinga wanaojua kupiga mdomo kila siku.
 
Hapo kwenye vimada inakwenda mbali mpaka watoto na ndugu wa vimada pia.

Kuna watu ni Waziri, makatibu, MaRC nk kwasababu tu baba yake/mama yake alikuwa kwenye utumishi.
Hatupimi tena uwezo bali tunaangalia connection yako mbaya zaidi hili mpaka kwenye taasisi nyeti kabisa ambazo akili, uwezo na uelewa kinapaswa kuwa kipaumbele number Moja.

Watu hawa na ajira hizi ndio zimetufikisha hapa, maana watu wako busy kutengeneza utajiri binafsi na wavizazi vyao na sio kufikiria Leo na kesho ya Tanzania na Watanzania.
Watu hawa wamefanya siasa kuwa ajira inayolipa sana na utumishi wa umma kuwa ni ajira inayolipa sana kwa wizi na usanii na sio tena professional jobs nk, matokeo yake vijana wote wanawaza kuwa wanasiasa na watumishi waumma ili wawe matajiri na sio kutumikia wananchi.

Leo hii mfanyakazi wa kawaidak TRA, TPA nk anakuwa milionea bila kufanya biashara yeyote, mtumishi wa umma anawezaje kuwa millionea na si mfanyabiashara au experts wa field fulani kwenye sekta binafsi?
 
Hapo kwenye vimada inakwenda mbali mpaka watoto na ndugu wa vimada pia.

Kuna watu ni Waziri, makatibu, MaRC nk kwasababu tu baba yake/mama yake alikuwa kwenye utumishi.
Hatupimi tena uwezo bali tunaangalia connection yako mbaya zaidi hili mpaka kwenye taasisi nyeti kabisa ambazo akili, uwezo na uelewa kinapaswa kuwa kipaumbele number Moja.

Watu hawa na ajira hizi ndio zimetufikisha hapa, maana watu wako busy kutengeneza utajiri binafsi na wavizazi vyao na sio kufikiria Leo na kesho ya Tanzania na Watanzania.
Watu hawa wamefanya siasa kuwa ajira inayolipa sana na utumishi wa umma kuwa ni ajira inayolipa sana kwa wizi na usanii na sio tena professional jobs nk, matokeo yake vijana wote wanawaza kuwa wanasiasa na watumishi waumma ili wawe matajiri na sio kutumikia wananchi.

Leo hii mfanyakazi wa kawaidak TRA, TPA nk anakuwa milionea bila kufanya biashara yeyote, mtumishi wa umma anawezaje kuwa millionea na si mfanyabiashara au experts wa field fulani kwenye sekta binafsi?
Nimelia sana kwa hio nini kifanyike?
 
Hii shida haipo CCM bali hadi Serikalini.

Wenye uwezo na akili hawapewi nafasi. Wenye upeo mkubwa na mawazo yenye kuifanya hii nchi kuwa bora hawapewi nafasi. Wanaopewa nafasi ni chawa, watu wasio na uwezo kwa sababu ya kujipendekeza.

Tanzania ina watu wengi sana wenye upeo, maarifa na akili za kuifanya nchi yetu kuwa nchi bora zaidi kimaisha na kiuchumi hapa Afrika ila kamwe huwezi ona wakipewa nafasi zaidi ya wajinga wajinga tu!
Unajua kwanini wenye uwezo hawapewi nafasi na hata wakijitokeza wanapigwa vita? Si rahis ku control mtu mwenye akili, ila ni rahisi kum control chawa,mnafki.

Wanachotaka wao ni watu rahisi ku control na si efficient
 
Ndani ya mfumo wa CCM na hata serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamejazana viongozi/watendaji wasio na uwezo na hii inatokana na kutokuwepo vetting system inayoeleweka.

Huwezi kujenga taifa Bora kama hauna vetting system.sisi hata vetting system hatujui maana yake.

Sifa pekee ya kupata nafasi ya uongozi ndani ya CCM ni kuwa na mtu mmoja au watu kadhaa wenye access kwa Rais na mamlaka zingine za uteuzi.huyu au hao watu wakikusemea basi game is over.

Sifa nyingine inaweza kuwa fitna,majungu na kujipendekeza na nyingine yenye nguvu ni kuwa mtoto wa au kimada wa wastaafu.

Unakuwaje na taifa lenye utitiri wa viongozi wasio waadilifu kiasi hiki? Wapiga dili kila Kona, viongozi wanaosaka umaarufu, washamba, waliojaa elements za ukabila na udini, wazembe, wenye kiburi na wasio na maono

Ubunifu uko wapi? Mbona hakuna mipango yenye akili kubwa ya muda mrefu?

Viongozi wetu wengi siyo analytical yaani hawana uwezo wa kuchambua mambo na hawana maarifa wala ujuzi katika kutatua matatizo ya wananchi

Nina uhakika kuwa CCM inaongozwa na watu wasio na uwezo, wenye uwezo wako nje ya mfumo.

si miaka ya hivi karibuni CCM ilimteua Kulwa Milonge kuwa katibu wa CCM mkoa wa Morogoro? Mtu ambaye baadaye ilibainika hajui kusoma na kuandika. Yeye alikuwa mcheza ndombolo pale VIJANA JAZZ BAND. Siku hizi ameshushwa kuwa katibu wa Wilaya.

Sasa huko wilayani anafanya nini?

Leo hii Jokate Mwegelo ndiyo mtendaji wa UVCCM taifa?Hivi hii inawezekana?

Lakini watazame watendaji wa CCM wilaya na Mikoa.wengi wao hawajui kabisa wanachokifanya na ndiyo maana CCM inaendelea kuongoza nchi kutokana na nguvu kubwa inayotumiwa na vyombo vya ulinzi na usalama na masuala mengine ya kimataifa, CCM kama chama haina uwezo tena wa kushinda uchaguzi bila kutegemea vyombo hivyo kwani mfumo wake ni wa hovyo ambao watu wajinga wamepewa madaraka makubwa.

CCM hawana database maalumu ya makada wao,mfano huyu ni nani hasa?yuko wapi? Anafanya nini,amesomea nini? Ana kipaji gani na kadhalika.Hii ingekisaidia Chama hicho katika vetting system.

Hata ndani ya mfumo wa serikali hakuna mfumo maalumu ambao ni independent na imara unaofanya Kazi kwa weledi na kwa kufikiria maslahi mapana ya taifa.

Rais Dr Samia Suluhu Hassan anapata shida anapofanya uteuzi kwani hakuna mfumo unaomwezesha kuwatambua watu ipasavyo na badala yake anaona majina yaleyale kila siku na hivyo kusababisha tatizo lingine la Leadership recycling.

Hivi unajua Petro Magoti juzijuzi tu ndiyo ametolewa ikulu? Hivi Petro Magoti anaweza kumshauri kitu gani Rais? Petro Magoti ana sifa ya kufanya kazi ikulu?

Sisemi haya kwasababu ni mlemavu lahasha, nasema kwa kuwa najua hana uwezo na ndiyo maana kitu pekee alichokuwa anafanya Ikulu ni kuwagombanisha wenzake.

Na kwasababu wanaoteua hawajui wanachokifanya Magoti leo hii ni DC wa Kisarawe.mimi nisingemteua nafasi hiyo.

Ningeweza kumteua nafasi ya Katibu Tawala wa Wilaya( DAS)ili akamsaidie DC kwenye masuala ya kijamii kwasababu hawezi pilikapilika za U-DC. na siyo Administrator mzuri.

Kwenye vetting system lazima muwe na uwezo wa kutenganisha nafasi za kisiasa na za utendaji.

Nataja majina machache tu kama mfano na majungu siyo sehemu yangu ya maisha

Ifike mahali tubadilike, tupunguze uswahili ili tuweze kujenga taifa bora.

Tazama viongozi wetu wengi wanapohutubia, hawahutubii Kwa hisia kali, kuzungumza kwa hisia ni muhimu sana kwani kunaonyesha "unaguswa"

Tuamke.

Tanzania inatakiwa kuwa nchi muhimu Afrika na Dunia Kwa ujumla lakini hatuwezi kufika huko kama mfumo wetu wa uongozi umejaa watu wasio na sifa za uongozi.

Mungu Ibariki Afrika
Mungu Ibariki Tanzania

Mungu Mbariki Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan na serikali ya Tanzania.

Amen
Daaaah! umeongea kwa hisia kali sana. Na huo ndiyo ukweli.👏👏👏
 
Back
Top Bottom