CCM ina wanachama wengi sana kupita maelezo

CCM ina wanachama wengi sana kupita maelezo

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Ni kweli CCM ilikuwa na wanachama wengi kupita maelezo na kwa sasa kusema kweli imepoteza nguvu na wanachama waliobaki ni waganga njaa ,sio wenye imani kama ilivyozoeleka,

Leo hii CCM imefikia kutegemea Tume ya Uchaguzi ambayo ni lazime iwe inatokana na wao kwa maana isiwe Tume huru, wanajua Tume ikiwa Huru vimeo wote wamekula hasara ,tukubalianeni kuwa ndani ya CCM kuna wasomi wa uhakika lakini wamebanwa na nafasi zao ni za kuweka saini tu sio maamuzi wala ushauri,kwani kuna vimeo waliojijenga kimikakati ndani ya CCM na Serikali yake ,wana nguvu na ushawishi kuliko majaji na mahakimu wachilia mbali makonstebo,tuliwaona wakati wa magu wakipelekeshwa puta na wakuu wa nyumba kumi kumi au wilaya.

Leo hii CCM wanategemea kubebwa na vyombo vya usalama,polisi na vya aina hiyo kama vikiwaacha mkono na kukihesabu sawa na vyama vingine vya siasa , basi CCM watabaki kulamba magalasa tu.

CCM wameiharibu nchi,tayari wameishaivuruga kwa kuwashirikisha vyombo vya ulinzi na usalama kuingia ndani ya siasa na kuonekeza wazi ni wa vyama gani,hili jambo ni baya sana na mwisho wake litawarudia wenyewe waanze kulana nyama,maana Mwalimu Nyerere alisema ukimaliza kuwagawa mwisho mtagawana wenyewe kwa wenyewe ,tunaona fukuto la ndani ya CCM huyu wa Kaskazini huyu wa kusini ,hawa wamo wengi hawa wamo kidogo ,mwisho wa hili ni kulana nyama CCM kwa CCM na hata dalili zipo wazi au zinaonekana chaguzi iliyopita tumeona mvutano ndani ya CCM sio kuanzia juu mpaka kwa madiwani,huu ni mziki wa kufungulia mziki mnene.
CCM hakuna au hawana tena Chama Cha siasa kukiunga inahitajika kazi ya ziada.
 
Ni kweli CCM ilikuwa na wanachama wengi kupita maelezo na kwa sasa kusema kweli imepoteza nguvu na wanachama waliobaki ni waganga njaa ,sio wenye imani kama ilivyozoeleka...
Umewagusa penyewe,CCM ilimfia Kikwete akakubali na kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya.Hiyo ndiyo iliyoihusha baada ya Resuscitation iliyofanywa na Mzee Kinana na Nappe ambao + NEC wakalazimisha JPM akawa Rais.Alipoingia akatoa mipira ya drip/Oxygen iliyokuwa ikitumika hatimaye mauti ikaikuta CCM.

Tunataka Katiba Mpya na Mh.Mbowe pamoja na wapigania Haki wote waachiwe huru na walipwe fidia.CCM ndiyo adui yetu.
 
Ni kweli CCM ilikuwa na wanachama wengi kupita maelezo na kwa sasa kusema kweli imepoteza nguvu na wanachama waliobaki ni waganga njaa ,sio wenye imani kama ilivyozoeleka ,

Leo hii CCM imefikia kutegemea Tume ya Uchaguzi ambayo ni lazime iwe inatokana na wao kwa maana isiwe Tume huru,wanajua Tume ikiwa Huru vimeo wote wamekula hasara ,tukubalianeni kuwa ndani ya CCM kuna wasomi wa uhakika lakini wamebanwa na nafasi zao ni za kuweka saini tu sio maamuzi wala ushauri,kwani kuna vimeo waliojijenga kimikakati ndani ya CCM na serikali yake ,wanaguvu na ushawishi kuliko majaji na mahakimu wachilia mbali makonstebo,tuliwaona wakati wa magu wakipelekeshwa puta na wakuu wa nyumba kumi kumi au wilaya.

Leo hii CCM wanategemea kubebwa na vyombo vya usalama,polisi na vya aina hiyo kama vikiwaacha mkono na kukihesabu sawa na vyama vingine vya siasa , basi CCM watabaki kulamba magalasa tu .

CCM wameiharibu nchi,tayari wameishaivuruga kwa kuwashirikisha vyombo vya ulinzi na usalama kuingia ndani ya siasa na kuonekeza wazi ni wa vyama gani,hili jambo ni baya sana na mwisho wake litawarudia wenyewe waanze kulana nyama,maana Mwalimu Nyerere alisema ukimaliza kuwagawa mwisho mtagawana wenyewe kwa wenyewe ,tunaona fukuto la ndani ya CCM huyu wa Kaskazini huyu wa kusini ,hawa wamo wengi hawa wamo kidogo ,mwisho wa hili ni kulana nyama CCM kwa CCM na hata dalili zipo wazi au zinaonekana chaguzi iliyopita tumeona mvutano ndani ya CCM sio kuanzia juu mpaka kwa madiwani,huu ni mziki wa kufungulia mziki mnene.
CCM hakuna au hawana tena Chama Cha siasa kukiunga inahitajika kazi ya ziada.
Ukubwa wa pua si wingi wa kamasi. Pamoja na wingi wao bali wamejaa wachawi, washirikina, washenzi, mafedhuli, madhalimu, wanafiki, malimbukeni, wasengenyaji, waongo, wezi, wanyang'anyi, mafisadi, vilaza, watu waovu wasiokuwa na hofu yoyote ile mbele za Mungu na kila aina ya jina baya ambalo mtu anaweza kulifikiria.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Ina wanachama wengi sana kupita maelezo halafu inakuwa vipi tena wanaiba kura sana kupita maelezo?
109_20210724_194836.jpg
109_20210724_194739.jpg
109_20210724_194857.jpg
 
Hizi ni dalili za kukata tamaa kwa wapinzani'Chama gani chenye wanachama wengi kuzidi CCM?
Akuna mwanasiasa atakupa unafuu wa maisha,wanasiasa wote wanajali maslahi yao.
 
Hizi ni dalili za kukata tamaa kwa wapinzani'Chama gani chenye wanachama wengi kuzidi CCM?
Akuna mwanasiasa atakupa unafuu wa maisha,wanasiasa wote wanajali maslahi yao.

sasa kwa nn mnamuogopa mbowe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kufika kutumia polisi ujue CCM wanazama na maji yameanza kugusa puwa zao ,aminia maji yatakapoanza kuingia kwenye tundu watattumia jeshi ,polisi wataekwa pembeni,majaribio yamefanywa Znz, hivyo waTanganyika jiandaeni,hakuna anelala akaota huo ndio ukweli.
 
Ni kweli CCM ilikuwa na wanachama wengi kupita maelezo na kwa sasa kusema kweli imepoteza nguvu na wanachama waliobaki ni waganga njaa ,sio wenye imani kama ilivyozoeleka,

Leo hii CCM imefikia kutegemea Tume ya Uchaguzi ambayo ni lazime iwe inatokana na wao kwa maana isiwe Tume huru, wanajua Tume ikiwa Huru vimeo wote wamekula hasara ,tukubalianeni kuwa ndani ya CCM kuna wasomi wa uhakika lakini wamebanwa na nafasi zao ni za kuweka saini tu sio maamuzi wala ushauri,kwani kuna vimeo waliojijenga kimikakati ndani ya CCM na Serikali yake ,wana nguvu na ushawishi kuliko majaji na mahakimu wachilia mbali makonstebo,tuliwaona wakati wa magu wakipelekeshwa puta na wakuu wa nyumba kumi kumi au wilaya.

Leo hii CCM wanategemea kubebwa na vyombo vya usalama,polisi na vya aina hiyo kama vikiwaacha mkono na kukihesabu sawa na vyama vingine vya siasa , basi CCM watabaki kulamba magalasa tu.

CCM wameiharibu nchi,tayari wameishaivuruga kwa kuwashirikisha vyombo vya ulinzi na usalama kuingia ndani ya siasa na kuonekeza wazi ni wa vyama gani,hili jambo ni baya sana na mwisho wake litawarudia wenyewe waanze kulana nyama,maana Mwalimu Nyerere alisema ukimaliza kuwagawa mwisho mtagawana wenyewe kwa wenyewe ,tunaona fukuto la ndani ya CCM huyu wa Kaskazini huyu wa kusini ,hawa wamo wengi hawa wamo kidogo ,mwisho wa hili ni kulana nyama CCM kwa CCM na hata dalili zipo wazi au zinaonekana chaguzi iliyopita tumeona mvutano ndani ya CCM sio kuanzia juu mpaka kwa madiwani,huu ni mziki wa kufungulia mziki mnene.
CCM hakuna au hawana tena Chama Cha siasa kukiunga inahitajika kazi ya ziada.
wengi lkn wahovyo na hawana akili
 
Ni kweli CCM ilikuwa na wanachama wengi kupita maelezo na kwa sasa kusema kweli imepoteza nguvu na wanachama waliobaki ni waganga njaa ,sio wenye imani kama ilivyozoeleka,

Leo hii CCM imefikia kutegemea Tume ya Uchaguzi ambayo ni lazime iwe inatokana na wao kwa maana isiwe Tume huru, wanajua Tume ikiwa Huru vimeo wote wamekula hasara ,tukubalianeni kuwa ndani ya CCM kuna wasomi wa uhakika lakini wamebanwa na nafasi zao ni za kuweka saini tu sio maamuzi wala ushauri,kwani kuna vimeo waliojijenga kimikakati ndani ya CCM na Serikali yake ,wana nguvu na ushawishi kuliko majaji na mahakimu wachilia mbali makonstebo,tuliwaona wakati wa magu wakipelekeshwa puta na wakuu wa nyumba kumi kumi au wilaya.

Leo hii CCM wanategemea kubebwa na vyombo vya usalama,polisi na vya aina hiyo kama vikiwaacha mkono na kukihesabu sawa na vyama vingine vya siasa , basi CCM watabaki kulamba magalasa tu.

CCM wameiharibu nchi,tayari wameishaivuruga kwa kuwashirikisha vyombo vya ulinzi na usalama kuingia ndani ya siasa na kuonekeza wazi ni wa vyama gani,hili jambo ni baya sana na mwisho wake litawarudia wenyewe waanze kulana nyama,maana Mwalimu Nyerere alisema ukimaliza kuwagawa mwisho mtagawana wenyewe kwa wenyewe ,tunaona fukuto la ndani ya CCM huyu wa Kaskazini huyu wa kusini ,hawa wamo wengi hawa wamo kidogo ,mwisho wa hili ni kulana nyama CCM kwa CCM na hata dalili zipo wazi au zinaonekana chaguzi iliyopita tumeona mvutano ndani ya CCM sio kuanzia juu mpaka kwa madiwani,huu ni mziki wa kufungulia mziki mnene.
CCM hakuna au hawana tena Chama Cha siasa kukiunga inahitajika kazi ya ziada.
CCM asili
CCM maslahi
CCM wafia chama
CCM makinikia
CCM toleo la mwisho
 
Ni kweli CCM ilikuwa na wanachama wengi kupita maelezo na kwa sasa kusema kweli imepoteza nguvu na wanachama waliobaki ni waganga njaa ,sio wenye imani kama ilivyozoeleka,

Leo hii CCM imefikia kutegemea Tume ya Uchaguzi ambayo ni lazime iwe inatokana na wao kwa maana isiwe Tume huru, wanajua Tume ikiwa Huru vimeo wote wamekula hasara ,tukubalianeni kuwa ndani ya CCM kuna wasomi wa uhakika lakini wamebanwa na nafasi zao ni za kuweka saini tu sio maamuzi wala ushauri,kwani kuna vimeo waliojijenga kimikakati ndani ya CCM na Serikali yake ,wana nguvu na ushawishi kuliko majaji na mahakimu wachilia mbali makonstebo,tuliwaona wakati wa magu wakipelekeshwa puta na wakuu wa nyumba kumi kumi au wilaya.

Leo hii CCM wanategemea kubebwa na vyombo vya usalama,polisi na vya aina hiyo kama vikiwaacha mkono na kukihesabu sawa na vyama vingine vya siasa , basi CCM watabaki kulamba magalasa tu.

CCM wameiharibu nchi,tayari wameishaivuruga kwa kuwashirikisha vyombo vya ulinzi na usalama kuingia ndani ya siasa na kuonekeza wazi ni wa vyama gani,hili jambo ni baya sana na mwisho wake litawarudia wenyewe waanze kulana nyama,maana Mwalimu Nyerere alisema ukimaliza kuwagawa mwisho mtagawana wenyewe kwa wenyewe ,tunaona fukuto la ndani ya CCM huyu wa Kaskazini huyu wa kusini ,hawa wamo wengi hawa wamo kidogo ,mwisho wa hili ni kulana nyama CCM kwa CCM na hata dalili zipo wazi au zinaonekana chaguzi iliyopita tumeona mvutano ndani ya CCM sio kuanzia juu mpaka kwa madiwani,huu ni mziki wa kufungulia mziki mnene.
CCM hakuna au hawana tena Chama Cha siasa kukiunga inahitajika kazi ya ziada.
Tume huru ni nini?

Lini palishakuwa na tume huru?

Wapi ambako wana tume huru?

Wanaoongoza tume huru wanatoka jamii ipi?

Tume huru inapatikanaje?

Wanasiasa wanakuwa miongoni mwa wajumbe wa tume huru?

Ni nani anaidhibiti tume huru?
 
CCM ni chama kikongwe tena kilichounganisha vyama vya ukombozi.
Ninachoshangaa badala ya chama hicho kuendelea kufanya mapinduzi ya kifikra, kielimu na kuondoa umasikini baina ya watu, chenyewe kinapindua tu wananchi bila kujari hali zao
 
Ni kweli CCM ilikuwa na wanachama wengi kupita maelezo na kwa sasa kusema kweli imepoteza nguvu na wanachama waliobaki ni waganga njaa ,sio wenye imani kama ilivyozoeleka,

Leo hii CCM imefikia kutegemea Tume ya Uchaguzi ambayo ni lazime iwe inatokana na wao kwa maana isiwe Tume huru, wanajua Tume ikiwa Huru vimeo wote wamekula hasara ,tukubalianeni kuwa ndani ya CCM kuna wasomi wa uhakika lakini wamebanwa na nafasi zao ni za kuweka saini tu sio maamuzi wala ushauri,kwani kuna vimeo waliojijenga kimikakati ndani ya CCM na Serikali yake ,wana nguvu na ushawishi kuliko majaji na mahakimu wachilia mbali makonstebo,tuliwaona wakati wa magu wakipelekeshwa puta na wakuu wa nyumba kumi kumi au wilaya.

Leo hii CCM wanategemea kubebwa na vyombo vya usalama,polisi na vya aina hiyo kama vikiwaacha mkono na kukihesabu sawa na vyama vingine vya siasa , basi CCM watabaki kulamba magalasa tu.

CCM wameiharibu nchi,tayari wameishaivuruga kwa kuwashirikisha vyombo vya ulinzi na usalama kuingia ndani ya siasa na kuonekeza wazi ni wa vyama gani,hili jambo ni baya sana na mwisho wake litawarudia wenyewe waanze kulana nyama,maana Mwalimu Nyerere alisema ukimaliza kuwagawa mwisho mtagawana wenyewe kwa wenyewe ,tunaona fukuto la ndani ya CCM huyu wa Kaskazini huyu wa kusini ,hawa wamo wengi hawa wamo kidogo ,mwisho wa hili ni kulana nyama CCM kwa CCM na hata dalili zipo wazi au zinaonekana chaguzi iliyopita tumeona mvutano ndani ya CCM sio kuanzia juu mpaka kwa madiwani,huu ni mziki wa kufungulia mziki mnene.
CCM hakuna au hawana tena Chama Cha siasa kukiunga inahitajika kazi ya ziada.

umenikumbusha chadema ile ya slaa, ambayo bungeni ccm walionekana kweli hamna kitu, mpaka pale wafanya biashara walipopewa 49% ya chadema
 
Ukiwaangalia vigogo wa CCM usoni achana na mbugilambugila wapiga kelele kiukweli kabisa kuanzia mwenyekiti,kamati zote,jumiya zote na makundi yote ndani ya CCM hakuna wanaotamani kwa dhati kabisa hii nchi kuwa na maendeleo endelevu.
Angalia wanahamasisha ujenzi wa shule na vyuo mbalimbali lakini asilimia kubwa watoto wao hawasomi huko kwa sababu ya ubora mdogo wa elimu inayotolewa huko na taasisi zetu za elimu.
Angalia wanahamasisha ujenzi wa vitua vya afya,zahanati na hospitali lakini asilimia kubwa hawaendi kutibiwa huko kwaiyo wao suala la ukosefu wa dawa,wataalamu na vifaa vingine kwao ni Kama chombeza ya kuomba kura kwenye uchaguzi
Angalia ongezeko la upungufu wa ajira wao na familia zao Hilo suala ya la ajira ndio maana wanawambia vijana wajiajiri ikiwa hakuna nyenzo,miundombinu,sera,sheria na rasilimali za kuwawezesha kujiajiri.
Angalia misingi ya CCM kuanzishwa kwake ilikua kumsaidia mkulima na mfanyakazi lakini sasa hivi asilimia kubwa la wanaCCM wapo kulinda maslahi yao binafsi na familia zao
 
Back
Top Bottom