CCM ina watu Vichwa sana

Hamna mtu anayetokea manyoni, akawa na akili
 
Umeukimbia ule uzi wako mwingine kule ulioandika kama bata anaji-help
 
Chaya naona unajipigia promo

Kaza Mwanangu πŸ˜€πŸ˜„,Mama samia mteue kijana
Hamna kitu pale 🀣🀣

Jamaa kazi ni kutafuna tu wake za watu,

Ila Manyoni mnahasara sana,

Kuna Mwaka nilikuwa hapo Upinzani ndio ulikuwa na vijana smart sana,

Ila huyu mbunge asithubutu ata kugombea tena atapoteza Kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…