CCM inabidi ijifunze kufanya siasa za uwazi kuvutia wanachama wapya

CCM inabidi ijifunze kufanya siasa za uwazi kuvutia wanachama wapya

Bando la wiki

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2023
Posts
911
Reaction score
3,017
Fikiria tarehe 19 na 20, ccm itafanya mkutano mkuu kumpata makamu mwenyekiti tanganyika lakini mpaka leo hakuna majina yaliomba hiyo nafasi ili wanachama wakayapigie kura!!

Haya ni maajabu kwa sababu wanachama watapata muda gani wa kumtathmini na kumchambua makamu mwenyekiti wao?
CCM njooni nendeni CHADEMA muone maana ya demokrasia na uwazi kwenye uchaguzi wa viongozi.

Lakini nimeshangaa CCM kutokuwa na mkakati madhubuti kuizima chadema kipropaganda kutokana na wao kutawala vyombo vya habari kwa takribani mwezi mzima wa uchaguzi wao wa mwenyekiti na makamu mwenyekiti wa chama.

Nilitegemea ili ccm kuzima kidogo harakati hizi za chadema nilitegemea na yenyewe ingeruhusu majina ya wanachama wao kwenda kuchukua fomu ili kugombea nafasi hiyo.

Sasa Tanzania ingekuwa surprised kuona majina ya viongozi hawa wameenda kuomba nafasi hiyo.

1. Januari Makamba
2. Humphrey Polepole
3. Luhaga Mpina
4. Nape Nnauye
5. Paul Makonda

Sasa hao jamaa kwa kipindi kama cha wiki mbili hizo kabla ya tarehe ya uchaguzi wangepata nafasi ya kujinadi kwa wapiga kura na kuomba nafasi hiyo hakika mngebalansisha angalau equation yenu na chadema ambayo imewaacha mbali.

Lakini tunajua hilo haliwezekani kwa sababu kuruhusu kampeni kwa viongozi wakubwa kama hao kupigana spana kwa uhuru kama ilivyo kwa chadema hilo haliwezekani abadani.

Kwa sababu ndani ya hicho chama ni kosa la jinai kumkosoa mwenyekiti hata kama kuna utapanyaji wa fedha za umma, uhuru huo huwezi kuupata huko kama ilivyo chadema.

CCM muwe ahead of time hasa kwa mpinzani wenu mkubwa kwa njia za amani na demokrasia sio kupigana risasi, siasa sio uadui ni kila mtu ni marehemu mtarajiwa.

Screenshot_20250115-194740.jpg
 
Wanachama wa ccm Wana moyo mie singeweza, Yaani jina la makamu litoke kwenye pochi😂😂
 
Naam wanachama wa kuendelea kushangilia hizi sarakasi na maigizo wakati in actual fact nothing is done ?

Kwahio unashauri kuongeza umahili kwenye script na acting ?; Kwahio badala ya kuongelea / Kushinikiza Uwazi kwenye Rasilimali zetu na Kodi zetu wewe unaona tuendelee muendelezo wa Politicking
 
Naam wanachama wa kuendelea kushangilia hizi sarakasi na maigizo wakati in actual fact nothing is done ?

Kwahio unashauri kuongeza umahili kwenye script na acting ?; Kwahio badala ya kuongelea / Kushinikiza Uwazi kwenye Rasilimali zetu na Kodi zetu wewe unaona tuendelee muendelezo wa Politicking
Kulinda rasilimali na ustawi wa wananchi hicho chama kilishashindwa kimebakiza drama tu. Sasa kwenye hizo drama nazo wanashindwa vibaya mno.
 
Fikiria tarehe 19 na 20, ccm itafanya mkutano mkuu kumpata makamu mwenyekiti tanganyika lakini mpaka leo hakuna majina yaliomba hiyo nafasi ili wanachama wakayapigie kura!!

Haya ni maajabu kwa sababu wanachama watapata muda gani wa kumtathmini na kumchambua makamu mwenyekiti wao?
CCM njooni nendeni CHADEMA muone maana ya demokrasia na uwazi kwenye uchaguzi wa viongozi.

Lakini nimeshangaa CCM kutokuwa na mkakati madhubuti kuizima chadema kipropaganda kutokana na wao kutawala vyombo vya habari kwa takribani mwezi mzima wa uchaguzi wao wa mwenyekiti na makamu mwenyekiti wa chama.

Nilitegemea ili ccm kuzima kidogo harakati hizi za chadema nilitegemea na yenyewe ingeruhusu majina ya wanachama wao kwenda kuchukua fomu ili kugombea nafasi hiyo.

Sasa Tanzania ingekuwa surprised kuona majina ya viongozi hawa wameenda kuomba nafasi hiyo.

1. Januari Makamba
2. Humphrey Polepole
3. Luhaga Mpina
4. Nape Nnauye
5. Paul Makonda

Sasa hao jamaa kwa kipindi kama cha wiki mbili hizo kabla ya tarehe ya uchaguzi wangepata nafasi ya kujinadi kwa wapiga kura na kuomba nafasi hiyo hakika mngebalansisha angalau equation yenu na chadema ambayo imewaacha mbali.

Lakini tunajua hilo haliwezekani kwa sababu kuruhusu kampeni kwa viongozi wakubwa kama hao kupigana spana kwa uhuru kama ilivyo kwa chadema hilo haliwezekani abadani.

Kwa sababu ndani ya hicho chama ni kosa la jinai kumkosoa mwenyekiti hata kama kuna utapanyaji wa fedha za umma, uhuru huo huwezi kuupata huko kama ilivyo chadema.

CCM muwe ahead of time hasa kwa mpinzani wenu mkubwa kwa njia za amani na demokrasia sio kupigana risasi, siasa sio uadui ni kila mtu ni marehemu mtarajiwa.

View attachment 3202769
IMG-20250116-WA0022.jpg
 
Kulinda rasilimali na ustawi wa wananchi hicho chama kilishashindwa kimebakiza drama tu. Sasa kwenye hizo drama nazo wanashindwa vibaya mno.
Nani anayeongoza nchi ? Na nani ataendelea kuongoza nchi hii ya watu wenye njaa na machawa na self serving politicians (on both sides)? Kwa taarifa yako muendelezo utaendelea mpaka pale ambapo Bomu wanalopanda leo la watu kukosa ujira wowote na matumaini ya kesho yao watakapoanza kuingia mtaani, for the time being usitegemee hawa hawa vibaka na wagawana matonge kama wanaweza kutoa taarifa za wizi wao; Case in Point kipindi Zito alivyosema watu wasilipwe Posho ya Kukaa vikao vya Bunge (hata kama alikuwa mnafiki na alisema hayo ili apate sifa) wote walimshambulia hata wa Chama chake...

Hivyo basi wakati tunaendelea kuburuzwa na hawa wezi wa pande zote labda tuangalie uwezekano wa wanahabari kutusaidia...

 
Embu acheni kuweweseka hapa.
Chama la wazee limechoka ile mbaya, halithubutu mdahalo wala uwazi. Cdm kinafanya siasa za demokrasia ya kweli ndio maana watu wanafunguka na kuambiana ukweli. Ukiruhusu hilo ndani ya chama la wauza bandari na wagaww raslimali itakuwa aibu. Chama la majizi wao wakizidiwa hoja wanaomba msaada wa kundi la watu wasiojulikana.
 
Chama la wazee limechoka ile mbaya, halithubutu mdahalo wala uwazi. Cdm kinafanya siasa za demokrasia ya kweli ndio maana watu wanafunguka na kuambiana ukweli. Ukiruhusu hilo ndani ya chama la wauza bandari na wagaww raslimali itakuwa aibu. Chama la majizi wao wakizidiwa hoja wanaomba msaada wa kundi la watu wasiojulikana.
Kweli ccm hawawezi uwazi, hivi ufisadi ulioko huko ungeongelewa wazi kama hizi chadema nadhani wangekuwa tayari wameshauana.
 
Back
Top Bottom