Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,419
Watumishi wa umma hawajapata nyongeza ya mishahara kwa miaka mitano, kupanda madaraja na vyeo ni ndoto, uhamisho wa kubadilishana ni hadithi
Wahitimu wengi sana wa vyuo hawana ajira tangu 2015 mpaka sasa, ajira ya moja kwa moja ilikoma Mei 01, 2015 enzi za Jakaya. Wakulima wanadhulumiwa mazao yao, hawalipwi kwa wakati hadi wengine huitwa kangomba.
Wafanyabiashara wanalia na kodi kubwa, wengine waliamua kuhamishia biashara zao nchi za nje. Kuna wengine wanaagiza mizigo kupitia bandari ya Dar kuwa inaenda tuseme Uganda, lakini ilivuka mpaka tu inapiga U-Turn kurudi Tz, hapa ndipo tulipofika. Kodi ya bandari kwa mizigo ya nchi za nje ni ndogo sana ukilinganisha na mizigo inayobaki nchini.
Oktoba 28, 2020 wakati mwafaka wa maamzi mwafaka
Wahitimu wengi sana wa vyuo hawana ajira tangu 2015 mpaka sasa, ajira ya moja kwa moja ilikoma Mei 01, 2015 enzi za Jakaya. Wakulima wanadhulumiwa mazao yao, hawalipwi kwa wakati hadi wengine huitwa kangomba.
Wafanyabiashara wanalia na kodi kubwa, wengine waliamua kuhamishia biashara zao nchi za nje. Kuna wengine wanaagiza mizigo kupitia bandari ya Dar kuwa inaenda tuseme Uganda, lakini ilivuka mpaka tu inapiga U-Turn kurudi Tz, hapa ndipo tulipofika. Kodi ya bandari kwa mizigo ya nchi za nje ni ndogo sana ukilinganisha na mizigo inayobaki nchini.
Oktoba 28, 2020 wakati mwafaka wa maamzi mwafaka