Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Yule yule ambae ikija mambo ya miradi ya barabara,madaraja,viwanja vya ndege,reli anasemaga tuna mapesa mengi sana lkn ikija kwny annual increaments,kuajiri,kulipa wastaafu anakua hana pesa.Hivi ni nani huwa anaamua watumishi wa umma wapate walau nyongeza za mshahara, mapunjo, madaraja hela za rikizo na stahiki nyingine??
Wamesahaurika sana eti
Hahah aiseeWatu unaowaongelea kwanza ni proportion ndogo sana ya Watanzania.Na hata hao unaowaongelea,wafanyakazi,wahitimu,wafanyabiashara na wakulima ambao hawajalipwa wengi ni waelewa,wanaona uhalisia wa mambo anayofanya Maguguli.Wanaona kwamba hili ni kipindi cha mpito tu,anafukia mashimo.Mkuu tuna ongea nao,we hear what they are saying,so yours is wishful thinking.
Punguza sautiHuo ndo ukweli mchungu........
Uchumi wa kati fekeroooo.....
😂😂😀😀✌️✌️💪💪Punguza sauti