CCM inajiandaa Na UMWAGAJI WA DAMU

CCM inajiandaa Na UMWAGAJI WA DAMU

Eng. Y. Bihagaze

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2011
Posts
1,487
Reaction score
910
Ndugu zangu Watanzania

Nilichokiona Leo kinanipa Picha halisi Kwamba CCM pasina shaka inajiandaa Na Mauaji ya Halaiki Kama Yale ya Kimbari Rwanda.

Wengine hawajui niseme nilichokiona Leo Hakina tofauti Na nilichokiona nilipotembelea Rwanda febr 1993 ambapo wananchi Kwenye vijiji mbalimbali walipatiwa mafunzo ya Ukakamavu Kwa kile kilichoitwa Mgambo. Lakini wananchi hawa ambao wengi walikuwa wahutu waligeuka Kuwa waasi wa intarahamwe Na kutekeleza mauaji ya halaiki Kwa jina la ukabila, Leo CCM wanafanya kile kile Kwa jina la Siasa huku Nyuma kuna watu wanaofadhili mafunzo haya Kwa maksudi maalum, hata wanamgambo wa intarahamwe hawakujua Kwamba Mwisho wa mafunzo Yao ni kutekeleza azimio la wafadhili Wao la kuwaua watusi zaidi ya million moja Na nusu zoezi lililoanza kipindi Cha Masika April 1994.

Nikiwa Ndani ya wilaya moja, Kwa research zangu, Ndani ya kijiji kimoja Na Kwa bahati mbaya hakuna Nyumba ya wageni nikapata hifadhi Kwa mwananchi. Asubuhi nikaamswa Na vishindo vya kijeshi Na Sauti Za nyimbo. Asubuhi Ya siku hiyo nikamuuliza mwenyeji wangu Kama kuna kambi ya Kijeshi hapa akasema hao ni Vijana wa CCM, akaenda Mbali Na kunambia wanajiandaa kulinda kura Kwenye uchaguzi ni agizo kila kijiji kuwa Na mafunzo hayo. Interest yangu ikapenya kufuatilia nyendo zao asubuhi iliyofuata yaani Leo, nimedamka asubuhi Na kujifanya nafanya mazoezi nikawafuatilia Hadi Kwenye uwanja wao, niliona mazoezi ya Kuchoma singe Na matumizi ya Panga. Ghafla Picha ile niliyoiona Rwanda ikanijia, niliondoka eneo Hilo haraka Na Kwa bahati mbaya sikuwa Na movie camera, najiandaa kurudi tena huko nikiwa Na Movie Camera Na nitarekodi mazoezi Yao wadau mseme Kama mazoezi hayo ni ya Kulindia kura.

What I believe raia Hawa maskini ya Mungu hawajui what next, kuna Mastermind wako Nyuma ya kitu hii Na Nyuma ya mastermind hawa kuna wafadhili wa mchezo huu Na naamini hata CCM wengi hawajui kitu hii..

Kwa Sauti naomba Serikali ipige haraka Marufuku ya Vikosi hivi ni HATARI SANA. Tunalo Jeshi, wapo Polisi ni Ulinzi unaojitosheleza. Jina na sehemu ya Kambi hii Bado iko Kwenye parandesi Hadi nitapochukua all Details.
 
Tulia tu mkuu. Watanzania wengi wameshakufa kiakili bado miili tu ambayo itamalizwa 2015. Upinzani hauwezi kushika dola pasipo umwagaji wa damu.
 
Kwa uongozi wa Chama wa Mwigulu Nchemba lolote linawezekana. CCM ambao majeshi yote yako nyuma yao sielewi mantiki ya mafunzo ya kulinda kura kwani wamekuwa wapinzani au wanajiandaa kuwa Wapinzani?!!!.
 
Somebody please, somebody out there please stop this!! Viongozi wetu macho, maskio Na pua zao zimeshaziba, hawasikii Chochote! Oh God who gonna stop this ..!

Watu hawajui, Leo Mtu anaweza sema Mauaji yakianza mie siui Mtu yeyote, au Mtu atasema mauaji yakianza mie ntatoroka dear.. Mauaji ni kitu kingine, wakati wa tekelezo la La Kimbari, Rais Habrymana aliKuwa Mhutu, alipotunguliwa Kwa maksudi Na mastermind za kihutu Wapate sababu ya kuwalazimisha walee wahutu maskini waliofanyishwa mazoezi kushika mapanga Na kuwaua watutsi plus wahutu wenye msimamo wa kati ati Kwa kulipa kisasi Eti Kipenzi Rais Wao Ameuawa Na Watusi (waliowaita Mende au tall trees) Kumbe ni hira tu ya kutekeleza azimio Lao la Ukabila ambao Leo tunashangikia CCM wanavyo ukampeign..
 
Tangu lini kura ikalindwa kwa panga? Tujiandae kushudia yaliyotokea nchi za wenzetu kama wahutu na watusi
 
Athari za Machafuko ni mbaya sana, nachokichukia ni mass raping Kwa wanawake. Watu wanabakwa kiholela Na mauaji ya Kutisha mno.
 
hizi ni sera za bavicha na kundi lake ndiyo maana kutembea na sumu ni kawaida sana.
 
Nchi haiwezi kuachiwa mbwa hata siku moja,lazima wajiandae kwa ukakamavu.
 
Ndugu zangu Watanzania

Nilichokiona Leo kinanipa Picha halisi Kwamba CCM pasina shaka inajiandaa Na Mauaji ya Halaiki Kama Yale ya Kimbari Rwanda.

Wengine hawajui niseme nilichokiona Leo Hakina tofauti Na nilichokiona nilipotembelea Rwanda febr 1993 ambapo wananchi Kwenye vijiji mbalimbali walipatiwa mafunzo ya Ukakamavu Kwa kile kilichoitwa Mgambo. Lakini wananchi hawa ambao wengi walikuwa wahutu waligeuka Kuwa waasi wa intarahamwe Na kutekeleza mauaji ya halaiki Kwa jina la ukabila, Leo CCM wanafanya kile kile Kwa jina la Siasa huku Nyuma kuna watu wanaofadhili mafunzo haya Kwa maksudi maalum, hata wanamgambo wa intarahamwe hawakujua Kwamba Mwisho wa mafunzo Yao ni kutekeleza azimio la wafadhili Wao la kuwaua watusi zaidi ya million moja Na nusu zoezi lililoanza kipindi Cha Masika April 1994.

Nikiwa Ndani ya wilaya moja, Kwa research zangu, Ndani ya kijiji kimoja Na Kwa bahati mbaya hakuna Nyumba ya wageni nikapata hifadhi Kwa mwananchi. Asubuhi nikaamswa Na vishindo vya kijeshi Na Sauti Za nyimbo. Asubuhi Ya siku hiyo nikamuuliza mwenyeji wangu Kama kuna kambi ya Kijeshi hapa akasema hao ni Vijana wa CCM, akaenda Mbali Na kunambia wanajiandaa kulinda kura Kwenye uchaguzi ni agizo kila kijiji kuwa Na mafunzo hayo. Interest yangu ikapenya kufuatilia nyendo zao asubuhi iliyofuata yaani Leo, nimedamka asubuhi Na kujifanya nafanya mazoezi nikawafuatilia Hadi Kwenye uwanja wao, niliona mazoezi ya Kuchoma singe Na matumizi ya Panga. Ghafla Picha ile niliyoiona Rwanda ikanijia, niliondoka eneo Hilo haraka Na Kwa bahati mbaya sikuwa Na movie camera, najiandaa kurudi tena huko nikiwa Na Movie Camera Na nitarekodi mazoezi Yao wadau mseme Kama mazoezi hayo ni ya Kulindia kura.

What I believe raia Hawa maskini ya Mungu hawajui what next, kuna Mastermind wako Nyuma ya kitu hii Na Nyuma ya mastermind hawa kuna wafadhili wa mchezo huu Na naamini hata CCM wengi hawajui kitu hii..

Kwa Sauti naomba Serikali ipige haraka Marufuku ya Vikosi hivi ni HATARI SANA. Tunalo Jeshi, wapo Polisi ni Ulinzi unaojitosheleza. Jina na sehemu ya Kambi hii Bado iko Kwenye parandesi Hadi nitapochukua all Details.

Mungu wangu. Pengine kuna baadhi ya watu maisha yana maana zaidi ya kuishi na kufa.
 
Haya ni mwendelezo wao wa kiu ya damu,kwani hata kwenye uchaguzi mkuu wa 2010 mgambo wanasema waliwekwa stand by kwa lolote kama wapinzani watakataa matokeo na kuanzisha fujo.,cha kusikitisha katika hao wapo migambo wengine ambao ninawafaham ni machizi au kwa maneno mengine 'haziwatoshi'"SIO RAHISI CCM KUKUBALI MATOKEO YA KUSHINDWA KWA SANDUKU LA KURA".
 
hizi ni sera za bavicha na kundi lake ndiyo maana kutembea na sumu ni kawaida sana.
Can you be a human hata Robo saa.. ! Can you please can you ..!??! Kwa hili tushirikiane please, Kama tunaipenda nchi Yetu tuache mambo ya Uvccm Na Ubavicha hii kitu iondolewe, please I can pm mkoa,Wilaya, Kijiji and place and make a visit uangalie Je kinachofundishwa hapo ni ulinzi Kweli wa Kura au something else behind the scene.

chama kinachoshika hatam -CCM
Serikali YA CCM
Jeshi liko Chini ya CCM
Polisi -CCM.
Usalama -CCM
Bunge Ccm>
Bado Mna kila kitu CCM Sasa Vikosi hivi ni vya Nini.!???????
 
Athari za Machafuko ni mbaya sana, nachokichukia ni mass raping Kwa wanawake. Watu wanabakwa kiholela Na mauaji ya Kutisha mno.

Usihofu..Mbeya,Arusha,Kilimanjaro, Mwanza, Iringa, hata dar, manyara yote,kigoma na kwingine CCM watashughudia wenyewe jinsi dhambi walizofanya zitakavyowatafuta....watanzania watakuja pamoja na kuwa crash CCM katikati.


CCM walinyea kambi mbaya nyingi sana.Wana wa walio na haki watapiga gwaride Tanzania la kutosha.
 
Wanajiandaa kuiba kura siyo kulinda kura. Wanazilinda kwani nani anaibaga kama siyo wao?
 
Back
Top Bottom