Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Huu utabiri ulitabiriwa miaka ya 2010-2015 wakati Jakaya Kikwete akiwa Rais na ufisadi, uzembe na upendeleo usio na tija uliposhika uskani na kusababisha CCM kuchukiwa na wananchi.
Yamejirudia yaleyale na CCM hii ipo mikononi mwa ...
Na inaenda kufa kama walivyotabiri wahenga.
Yamejirudia yaleyale na CCM hii ipo mikononi mwa ...
Na inaenda kufa kama walivyotabiri wahenga.