Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Wewe ndio unachukia. Wengine woote wameridhika na Mama na Mwakani Tunapata Katiba Mpya.Huu utabiri ulitabiriwa miaka ya 2010-2015 wakati Jakaya Kikwete akiwa rais na ufisadi,uzembe na upendeleo usio na tija uliposhika uskani na kusababisha CCM kuchukiwa na wananchi.
Yamaejirudia yaleyale na CCM hii ipo mikononi mwa ...
Na inaenda kufa kama walivyotabiri wahenga.
Ndoto za wafu... mtasubiri sana kwa upinzani huu uliopo CCM itaiongoza Tanzania miaka mingi ijayoHuu utabiri ulitabiriwa miaka ya 2010-2015 wakati Jakaya Kikwete akiwa rais na ufisadi,uzembe na upendeleo usio na tija uliposhika uskani na kusababisha CCM kuchukiwa na wananchi.
Yamaejirudia yaleyale na CCM hii ipo mikononi mwa ...
Na inaenda kufa kama walivyotabiri wahenga.
Siyo kwa upinzani huu bali kwa Katiba hii, huwezi kumuondoa madarakani aliyepo madarakani.Ndoto za wafu... mtasubiri sana kwa upinzani huu uliopo CCM itaiongoza Tanzania miaka mingi ijayo
Kama u mjini ni kukomaa na wizi na utapeli.nchini ngoja nijiunge na.washambaWashamba kubalini Watoto wa Mjini wamewashinda ndani ya chama chenu.
Mnalialia hovyo hovyo kwa kila jambo hata liwe la kipuuzi kiasi gani.
Malipo ni hapahapa dunianiHuu utabiri ulitabiriwa miaka ya 2010-2015 wakati Jakaya Kikwete akiwa rais na ufisadi,uzembe na upendeleo usio na tija uliposhika uskani na kusababisha CCM kuchukiwa na wananchi.
Yamaejirudia yaleyale na CCM hii ipo mikononi mwa ...
Na inaenda kufa kama walivyotabiri wahenga.
Wewe ndio unachukia. Wengine woote wameridhika na Mama na Mwakani Tunapata Katiba Mpya.
Acha uongo awamu Yako pendwa imeichimbia kaburi kabisa ilikuwa kiduchu ijizike yenyewe,hata macho huna,je masikio 😜Huu utabiri ulitabiriwa miaka ya 2010-2015 wakati Jakaya Kikwete akiwa Rais na ufisadi, uzembe na upendeleo usio na tija uliposhika uskani na kusababisha CCM kuchukiwa na wananchi.
Yamejirudia yaleyale na CCM hii ipo mikononi mwa ...
Na inaenda kufa kama walivyotabiri wahenga.
Enzi za Nape na Kinana watu walificha jezi ya chama kwa kuogopa kuzomewa!Acha uongo awamu Yako pendwa imeichimbia kaburi kabisa ilikuwa kiduchu ijizike yenyewe,hata macho huna,je masikio
Enzi zenu pendwa mlihakikishiwa ulinzi wa wazee wa pgo na mliweza mtendea chochote aliyewazomea,hivyo mkabaki kuzomewa kimoyomoyo huku mkijisifu kuzomewa kumeisha😜Enzi za Nape na Kinana watu walificha jezi ya chama kwa kuogopa kuzomewa!
Kwanini falsafa ya CCM ni ipi?Enzi zenu pendwa mlihakikishiwa ulinzi wa wazee wa pgo na mliweza mtendea chochote aliyewazomea,hivyo mkabaki kuzomewa kimoyomoyo huku mkijisifu kuzomewa kumeisha😜
Shamba la timu msoga hilo. Hawezi kukubali life kirahisi.Huu utabiri ulitabiriwa miaka ya 2010-2015 wakati Jakaya Kikwete akiwa Rais na ufisadi, uzembe na upendeleo usio na tija uliposhika uskani na kusababisha CCM kuchukiwa na wananchi.
Yamejirudia yaleyale na CCM hii ipo mikononi mwa ...
Na inaenda kufa kama walivyotabiri wahenga.
Katiba ipi? Kama ile waliyofinyanga? Kwa watawala hawa ndugu usitegemee katiba bora! Labda bora katiba!Kikwete was the best President, hakuogopa ushindani, kama siyo baadhi ya watu waoga ndani ya CCM leo hii tungekuwa na katiba mpya,
Sisi tunachotaka ni katiba mpya, whether CCM yupo madarakani, ACT, TADEA, CUF , CHADEMA au chama chochote, as far wameshinda kihalali,
Na mama Samia anaenda kutupa katiba mpya,
Kile kipindi uhuru ulikuepo... Wakati wa magu ungeweza je kuzomea mtu alievaa CCM mbna ungeshtakiwa kwa uhujumu uchumi.... In short wakati wa Magufuli alitengeneza siasa za kumuogopa na kukiogopa Chama cha CCM... Wakati wakina JK siasa ilikua huria sanaEnzi za Nape na Kinana watu walificha jezi ya chama kwa kuogopa kuzomewa!
Uongo mweupe! JPM alikitingeneza chama kwa misingi ya falsafa ya chama ilivyokuwa na mahudhui yake!, leo hii chama kinajinasibu ni cha wananchi lakini ni cha kikundi fulani! Usiseme ukiwa mjini nenda vijijini na watu wa kawaida kama machinga ndo watakuelewa Maana ya JPMKile kipindi uhuru ulikuepo... Wakati wa magu ungeweza je kuzomea mtu alievaa CCM mbna ungeshtakiwa kwa uhujumu uchumi.... In short wakati wa Magufuli alitengeneza siasa za kumuogopa na kukiogopa Chama cha CCM... Wakati wakina JK siasa ilikua huria sana